wewe nimekuzoea, hata madaraka uliandika hatuwezi kumvua na kamati kuu ikamvua sauti ya wengi ni sauti ya mungu na hata uanachama tutamfuta, poor zzk
Sipendi mnapomtaja Mungu kwa kufurahia udharimu. Jipambeni muwezavyo lakini msimtaje Mungu kama dhihaka, Mungu ana heshima ya pekee.