Kwa waliosoma vizuri mkakati Wa siri (conspiracy) Wa Zitto na wenzake Samson Mwigamba, Kitila Mkumbo na 'M' watakubaliana nami -pasi shaka yeyote kuwa huu ni mkakati wa Uhaini ndani ya chama. Huu mkakati ulikuwa Na lengo la -kuanzisha uasi ndani ya chama. Ushahidi wote pamoja na wa kimazingira unaonyesha kuwa -muasisi wake na mhusika mkuu wa haya mapinduzi ni Zitto. Ni mjinga tu awezaye kuamini mapinduzi yanaweza kupangwa bila mhusika Mkuu kufahamu.
Utetezi wa Zitto kusema hahusiki Na Mipango ya usaliti, ambayo ingeishia kwenye mapinduzi, -wakati ye ndiye mhusika mkuu ni -dharau kubwa kwa viongozi wa Chadema, wanachama na wananchi wote wa Tanzania wanaopenda haki na kutaka mabadiliko ya kweli -kwa ajili ya maendeleo.
Zitto ameonyesha dharau kubwa kwa kufikiria kwamba yeye ni mwelevu na viongozi wote wa chadema, wanachama -na watanzania wote ni vilaza na hawawezi kuelewa kwamba siku zote kinara wa mapinduzi hufichwa kama alivyofichwa yeye ingawa sasa keshabainika.
Kwa ufupi huu mkakati -ni mkakati wa siri (conspiracy) -unaopanga njama za kuondosha viongozi wote Wa chama katika ngazi zote kuanzia ngazi za Chini hadi taifa na kuweka viongozi wenye ufuasi -kwa mtu mmoja-yaani Zitto Kambwe.-Huu ni mpango wa siri ambao umekiuka taratibu zote za kidemokrasia.
Huu ni mkakati wa Uhaini ndani ya chama na si mkakati wa kidemokrasia au kukuza demokrasia ndani ya chama kama inavyodaiwa na wahusika. Huu ni mkakati unaokiuka misingi yote na taratibu zote za kidemokrasia. Ni mkakati unaoua demokrasia Na kuanzisha mfumo wa kidikteta unaofuata maelekezo ya mtu mmoja-Zitto ambaye ndiye angekuwa amewaweka hao vibaraka anaowataka katika ngazi mbali mbali-hii si demokrasia.
Kibaya zaidi ni unapoona mashabiki wa huu mkakati asilimia zaidi ya 99 ni wana CCM na watu ambao wamefukuzwa Chadema kwa kosa la usaliti.
Utetezi wa zitto na wahaini wenzake kwamba lengo lao lilikuwa kutumia demokrasia ndani ya chama ni kejeli kwa mana Chadema Kwani -Demokrasia haianzi Na uwepo wa mwenyekiti ambaye tayari amekwishajichagua na anatumia uchaguzi kujihalalisha. Huu ni ukiukwaji mkubwa wa demokrasia ambayo Zitto mwenyewe anadai kuipigania ndani ya chama.
Yumkini kabisa hata ushawishi wa wafuasi ambao Zitto angeshawishi wamfuate ungekuwa ni kwa kutumia hila na pesa. Ingawa hili halijaelezwa -moja kwa moja kwenye waraka lakini ni dhahiri Kwani hata wale viongozi wake Wa kitaifa wanaahidiwa kupewa milioni2 kila mmoja ili waanzishe miradi Na wajitosheleze kifamilia (ingawa siamini pesa halisi ambazo wangepewa ili wajitegemee ingalikuwa milioni hizo 2). Pia huu mkakati unatoa jukumu la 'kutafuta' Pesa ili kufanikisha njama. 'Kutafuta' ni neno lililotumika makusudi kwani hii njama tayari ina wafadhili na ukitaka kuwajuwa wafadhili angalia 'wanaoomboleza' kwa kulia sana wakati hawana undugu hata wa chembe.
Mkakati -huu umeandikwa kwa mafumbo sana na 'cleverly' umekwepa kuonyesha kwamba hiki kikundi tayari kina pesa nyingi Au kimeahidiwa kupewa pesa kwa ajili ya mapinduzi haya. Pia 'cleverly' waandishi Wa mkakati huu wa uhaini wamekwepa kwa makusudi kuonyesha kuwa Zitto ndiye 'mastermind' Wa mapinduzi haya in case mpango wa usaliti ungevuja Au kunaswa. Mkakati wa Mapinduzi usingeweza kuanzishwa bila mawasiliano ya awali Na makubaliano ( yaani 'Memorandum of Understanding') kati ya mhusika mkuu ambaye ni Zitto Kabwe -kina 'M'.
Hitimisho langu ni kwamba Zitto na viongozi wengine na hata wanachama ambao ni wasaliti lazima wafukuzwe wote na kunyang'anywa uanachama. Hakuna katiba inayoruhusu usaliti ndani ya chama Na vile vile hakuna maadili ya chama chochote yanayoruhusu usaliti au Uhaini ndani ya chama.
Zitto akifukuzwa uanachama sasa hivi chama kitapata madhara lakini kwa kiasi kidogo sana kwani mabomu yaliyoandaliwa na Zitto kuua Chadema -yatalipuka kabla ya kutegwa (prematurely) na hivyo kutokuwa na madhara makubwa. Hii sababu ndio inafanya wafadhili wa huu mpango kulia kuliko 'wafiwa'
Chadema ikisubiri kumfukuza baadae Au asipofukuzwa madhara yatakuwa makubwa zaidi. Atakuwa ameshawishi viongozi wengi zaidi na wanachama wengi zaidi kwa kutumia platform hii hii ya CHADEMA. Wakati huo chama hakitakuwa na muda wa kuwaeleza wanachama ukweli.-
Ataendelea kuvuruga chama na hasa kwenye chaguzi za chama. chaguzi za serikali za mitaa na kwenye uchaguzi mkuu.
Hivyo chama -kina uchaguzi; kuwafukuza kabisa sasa hivi Zitto pamoja na wasaliti wote ili kupoteza -kidogo Au kumwacha Zitto na wasaliti waendelee kuwa ndani ya chama ili-hatima yake iwe ni madhara makubwa kwa chama hapo baadae.-
Napenda nitahadhalishe viongozi wa Chadema, wanachama Na wapenzi wote Wa Chadema kwamba mhaini au msaliti yeyote anapothibitika moja kwa moja au kwa ushahidi wa mazingira hana tena utetezi. Kilichobaki ni kufuata taratibu za kikatiba na kuwaondosha wasaliti wote bila kujali nyadhifa zao ndani ya chama.
Na Kama Zitto ameweza kusaliti chama chake anachodai kimemlea tangu akiwa na miaka 16 hadi sasa amekuwa mwanasiasa anayefahamika nini kitamzuia kuuza nchi Kama atapata nafasi ya kuongoza nchi? Kwa sababu hii kiongozi yeyote Anayeweza kujiingiza kwenye Mipango ya usaliti na mapinduzi hafai kuaminiwa Na jamii yoyote.-
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Chadema.
Utetezi wa Zitto kusema hahusiki Na Mipango ya usaliti, ambayo ingeishia kwenye mapinduzi, -wakati ye ndiye mhusika mkuu ni -dharau kubwa kwa viongozi wa Chadema, wanachama na wananchi wote wa Tanzania wanaopenda haki na kutaka mabadiliko ya kweli -kwa ajili ya maendeleo.
Zitto ameonyesha dharau kubwa kwa kufikiria kwamba yeye ni mwelevu na viongozi wote wa chadema, wanachama -na watanzania wote ni vilaza na hawawezi kuelewa kwamba siku zote kinara wa mapinduzi hufichwa kama alivyofichwa yeye ingawa sasa keshabainika.
Kwa ufupi huu mkakati -ni mkakati wa siri (conspiracy) -unaopanga njama za kuondosha viongozi wote Wa chama katika ngazi zote kuanzia ngazi za Chini hadi taifa na kuweka viongozi wenye ufuasi -kwa mtu mmoja-yaani Zitto Kambwe.-Huu ni mpango wa siri ambao umekiuka taratibu zote za kidemokrasia.
Huu ni mkakati wa Uhaini ndani ya chama na si mkakati wa kidemokrasia au kukuza demokrasia ndani ya chama kama inavyodaiwa na wahusika. Huu ni mkakati unaokiuka misingi yote na taratibu zote za kidemokrasia. Ni mkakati unaoua demokrasia Na kuanzisha mfumo wa kidikteta unaofuata maelekezo ya mtu mmoja-Zitto ambaye ndiye angekuwa amewaweka hao vibaraka anaowataka katika ngazi mbali mbali-hii si demokrasia.
Kibaya zaidi ni unapoona mashabiki wa huu mkakati asilimia zaidi ya 99 ni wana CCM na watu ambao wamefukuzwa Chadema kwa kosa la usaliti.
Utetezi wa zitto na wahaini wenzake kwamba lengo lao lilikuwa kutumia demokrasia ndani ya chama ni kejeli kwa mana Chadema Kwani -Demokrasia haianzi Na uwepo wa mwenyekiti ambaye tayari amekwishajichagua na anatumia uchaguzi kujihalalisha. Huu ni ukiukwaji mkubwa wa demokrasia ambayo Zitto mwenyewe anadai kuipigania ndani ya chama.
Yumkini kabisa hata ushawishi wa wafuasi ambao Zitto angeshawishi wamfuate ungekuwa ni kwa kutumia hila na pesa. Ingawa hili halijaelezwa -moja kwa moja kwenye waraka lakini ni dhahiri Kwani hata wale viongozi wake Wa kitaifa wanaahidiwa kupewa milioni2 kila mmoja ili waanzishe miradi Na wajitosheleze kifamilia (ingawa siamini pesa halisi ambazo wangepewa ili wajitegemee ingalikuwa milioni hizo 2). Pia huu mkakati unatoa jukumu la 'kutafuta' Pesa ili kufanikisha njama. 'Kutafuta' ni neno lililotumika makusudi kwani hii njama tayari ina wafadhili na ukitaka kuwajuwa wafadhili angalia 'wanaoomboleza' kwa kulia sana wakati hawana undugu hata wa chembe.
Mkakati -huu umeandikwa kwa mafumbo sana na 'cleverly' umekwepa kuonyesha kwamba hiki kikundi tayari kina pesa nyingi Au kimeahidiwa kupewa pesa kwa ajili ya mapinduzi haya. Pia 'cleverly' waandishi Wa mkakati huu wa uhaini wamekwepa kwa makusudi kuonyesha kuwa Zitto ndiye 'mastermind' Wa mapinduzi haya in case mpango wa usaliti ungevuja Au kunaswa. Mkakati wa Mapinduzi usingeweza kuanzishwa bila mawasiliano ya awali Na makubaliano ( yaani 'Memorandum of Understanding') kati ya mhusika mkuu ambaye ni Zitto Kabwe -kina 'M'.
Hitimisho langu ni kwamba Zitto na viongozi wengine na hata wanachama ambao ni wasaliti lazima wafukuzwe wote na kunyang'anywa uanachama. Hakuna katiba inayoruhusu usaliti ndani ya chama Na vile vile hakuna maadili ya chama chochote yanayoruhusu usaliti au Uhaini ndani ya chama.
Zitto akifukuzwa uanachama sasa hivi chama kitapata madhara lakini kwa kiasi kidogo sana kwani mabomu yaliyoandaliwa na Zitto kuua Chadema -yatalipuka kabla ya kutegwa (prematurely) na hivyo kutokuwa na madhara makubwa. Hii sababu ndio inafanya wafadhili wa huu mpango kulia kuliko 'wafiwa'
Chadema ikisubiri kumfukuza baadae Au asipofukuzwa madhara yatakuwa makubwa zaidi. Atakuwa ameshawishi viongozi wengi zaidi na wanachama wengi zaidi kwa kutumia platform hii hii ya CHADEMA. Wakati huo chama hakitakuwa na muda wa kuwaeleza wanachama ukweli.-
Ataendelea kuvuruga chama na hasa kwenye chaguzi za chama. chaguzi za serikali za mitaa na kwenye uchaguzi mkuu.
Hivyo chama -kina uchaguzi; kuwafukuza kabisa sasa hivi Zitto pamoja na wasaliti wote ili kupoteza -kidogo Au kumwacha Zitto na wasaliti waendelee kuwa ndani ya chama ili-hatima yake iwe ni madhara makubwa kwa chama hapo baadae.-
Napenda nitahadhalishe viongozi wa Chadema, wanachama Na wapenzi wote Wa Chadema kwamba mhaini au msaliti yeyote anapothibitika moja kwa moja au kwa ushahidi wa mazingira hana tena utetezi. Kilichobaki ni kufuata taratibu za kikatiba na kuwaondosha wasaliti wote bila kujali nyadhifa zao ndani ya chama.
Na Kama Zitto ameweza kusaliti chama chake anachodai kimemlea tangu akiwa na miaka 16 hadi sasa amekuwa mwanasiasa anayefahamika nini kitamzuia kuuza nchi Kama atapata nafasi ya kuongoza nchi? Kwa sababu hii kiongozi yeyote Anayeweza kujiingiza kwenye Mipango ya usaliti na mapinduzi hafai kuaminiwa Na jamii yoyote.-
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Chadema.