Hapa hakuna kitu, nimeshangaa hata wabunge wa CDM wamekubali kupanda hilo pipa.
Hope watakuja na statement tofauti na ile ya kimagamba magamba.
Na kwa nini Barrick wamewazuia wawakilishi wa wananchi? kuna kitu wanaficha? au kuna mgao huko ndani.
Hiyo picha inatufundisha kuwa matumizi mabaya sana ya fedha za walipa kodi,watu 3 wanakodiwa ndege siku zaidi 5 kuzunguka nayo tu,kwa nini wasitumie magari yao??kuna ulazima gani kutumia ndege wakati barabara zipo tena safi tu?