Mwenyekiti wa CCM Magufuli alipofariki ilibidi usajili wa CCM usitishwe.Haya ni maoni yangu, usajili was CHADEMA kama Chama cha Siasa ufutwe au usitishwe kwa kuwa shughuli zake kwa tuhuma zilizopo, ni za kigaidi.
Vyombo vya dola vikifanyie ukaguzi was kina, na kwa kipindi cha ukaguzi huo,usajili wao kama chama cha siasa usimamishwe.
Pia, kama ambavyo mtumishi wa umma anavyosimamishwa kazi akiwa na tuhuma za jinai, pia usajili wa CHADEMA ufutwe mpaka pale mahakama itakapowasafisha
Linasomeka "shinembe" Kama huko Bangladesh 🏌️🏌️Neno "chemistry" linasomwa "kemistri" kwa mujibu wa kamusi!
Sasa tusaidia hiyo ID inasomwaje?
Watu wengine ukiangalia ID zao basi ni direct proportional na ubongo wao unavyofikiri!
Akili za MaCCM hazina akili kabisa ,vipi CCM ya GAIDI Hamza aliukumiwa kifo na PoliCCM, ifutwe au?!Haya ni maoni yangu, usajili was CHADEMA kama Chama cha Siasa ufutwe au usitishwe kwa kuwa shughuli zake kwa tuhuma zilizopo, ni za kigaidi.
Vyombo vya dola vikifanyie ukaguzi was kina, na kwa kipindi cha ukaguzi huo,usajili wao kama chama cha siasa usimamishwe.
Pia, kama ambavyo mtumishi wa umma anavyosimamishwa kazi akiwa na tuhuma za jinai, pia usajili wa CHADEMA ufutwe mpaka pale mahakama itakapowasafisha
Haya ni maoni yangu, usajili was CHADEMA kama Chama cha Siasa ufutwe au usitishwe kwa kuwa shughuli zake kwa tuhuma zilizopo, ni za kigaidi.
Vyombo vya dola vikifanyie ukaguzi was kina, na kwa kipindi cha ukaguzi huo,usajili wao kama chama cha siasa usimamishwe.
Pia, kama ambavyo mtumishi wa umma anavyosimamishwa kazi akiwa na tuhuma za jinai, pia usajili wa CHADEMA ufutwe mpaka pale mahakama itakapowasafisha
Pia umasikini wa kipato wa familia, huchangia sana kwani watoto wakati wa ukuaji hupata lishe duni, hivyo kupelekea ubongo wa watoto kutokuwa vizuri na hatimaye kusababisha mtoto huyo akiwa mkubwa kuwa na matatizo ya kiakili pamoja na "umasikini wa akili".Hivi haya mawazo tope tope huwa yanatifuliwa tokea wapi ? Shule za kata , mseto au private ?
Vyama vyenye asili ya kishetani navyo jee!??Sijatumwa, ila vyama vyenye asili ya ugaidi visiruhusiwe