Kwa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA anatuhumiwa kwa ugaidi, usajili wa CHADEMA usitishwe mpaka pale Mahakama itakapotoa uamuzi

Huko ndipo akina msajili na wazee wa PGO wanapo lenga, wamekutuma kufikisha ujumbe Kiana au, ni mmoja wa waratibu wa mpango wenyewe.
Sijatumwa, ila vyama vyenye asili ya ugaidi visiruhusiwe
 
Haya ni maoni yangu, usajili was CHADEMA kama Chama cha Siasa ufutwe au usitishwe kwa kuwa shughuli zake kwa tuhuma zilizopo, ni za kigaidi.

Vyombo vya dola vikifanyie ukaguzi was kina, na kwa kipindi cha ukaguzi huo,usajili wao kama chama cha siasa usimamishwe.

Pia, kama ambavyo mtumishi wa umma anavyosimamishwa kazi akiwa na tuhuma za jinai, pia usajili wa CHADEMA ufutwe mpaka pale mahakama itakapowasafisha
Mwenyekiti wa CCM Magufuli alipofariki ilibidi usajili wa CCM usitishwe.
 
Neno "chemistry" linasomwa "kemistri" kwa mujibu wa kamusi!
Sasa tusaidia hiyo ID inasomwaje?
Watu wengine ukiangalia ID zao basi ni direct proportional na ubongo wao unavyofikiri!
Linasomeka "shinembe" Kama huko Bangladesh 🏌️🏌️
 
Haya ni maoni yangu, usajili was CHADEMA kama Chama cha Siasa ufutwe au usitishwe kwa kuwa shughuli zake kwa tuhuma zilizopo, ni za kigaidi.

Vyombo vya dola vikifanyie ukaguzi was kina, na kwa kipindi cha ukaguzi huo,usajili wao kama chama cha siasa usimamishwe.

Pia, kama ambavyo mtumishi wa umma anavyosimamishwa kazi akiwa na tuhuma za jinai, pia usajili wa CHADEMA ufutwe mpaka pale mahakama itakapowasafisha
Akili za MaCCM hazina akili kabisa ,vipi CCM ya GAIDI Hamza aliukumiwa kifo na PoliCCM, ifutwe au?!
 
Kwahiyo mtuhumiwa ni Mbowe au CHADEMA? Kwa akili zako ni sawa na kusema kwakuwa mwenyekiti wa CCM alifariki hivyo na chama kifutwe kwakuwa mwenyekiti wake kafa. Hizo ni akili za mtu mjinga kuliko wajinga wote duniani.
Haya ni maoni yangu, usajili was CHADEMA kama Chama cha Siasa ufutwe au usitishwe kwa kuwa shughuli zake kwa tuhuma zilizopo, ni za kigaidi.

Vyombo vya dola vikifanyie ukaguzi was kina, na kwa kipindi cha ukaguzi huo,usajili wao kama chama cha siasa usimamishwe.

Pia, kama ambavyo mtumishi wa umma anavyosimamishwa kazi akiwa na tuhuma za jinai, pia usajili wa CHADEMA ufutwe mpaka pale mahakama itakapowasafisha
 
Hivi haya mawazo tope tope huwa yanatifuliwa tokea wapi ? Shule za kata , mseto au private ?
Pia umasikini wa kipato wa familia, huchangia sana kwani watoto wakati wa ukuaji hupata lishe duni, hivyo kupelekea ubongo wa watoto kutokuwa vizuri na hatimaye kusababisha mtoto huyo akiwa mkubwa kuwa na matatizo ya kiakili pamoja na "umasikini wa akili".
 
Back
Top Bottom