Kwa kuwa MH Tundu Antipas anatembea ulimwenguni kote;akirejea serikali ifanye hivi dhidi yake kabla ya 2020!

sifi leo

JF-Expert Member
Mar 30, 2012
5,013
8,368
Nashauri tu mimi kama raia! Kwa kuwa Lissu ni mtanzania mwenzetu na kwa kuwa Tanzania hatuna utaratibu wa kutekana na kuuana na kwa kuwa mimi naamini walio taka kumuumua walitoka nje ya NCHI

Basi Nashauri akirejea Tanzania tu, serikali yetu siku ya wanyonge inayopenda raia wake na wa hali ya chini.

IMRUHUSU TUNDU LISU AZUNGUKE NCHI ZIMA KUWAELEZEA WANANCHI WA TANZANIA KILICHOTOKEA SIKU HIYO MPK AENDE KUTIBIWA ULAYA!
PIA NASHAURI IMPE ULINZI MKUBWA SANAAA WA KESHI


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lissu anajisumbua subiri BBC waanze kumchoka kama Bobi, kwani ni kipi kisichokuwa na mwisho?

Kwa anayoyafanya Lissu yameongeza ujasiri wangu wa kuendelea kumpuuza na kuona elimu aliyonayo haimsaidii kitu,

Nakwambia kufika 2022 hatutakuwa na habari za Lissu tena, zitakuwa zinatrend nyingine, hivo na Lissu atakuwa kapigika sana kipindi hicho,
 
Nashauri tu mimi kama raia! Kwa kuwa Lissu ni mtanzania mwenzetu na kwa kuwa Tanzania hatuna utaratibu wa kutekana na kuuana na kwa kuwa mimi naamini walio taka kumuumua walitoka nje ya NCHI

Basi Nashauri akirejea Tanzania tu, serikali yetu siku ya wanyonge inayopenda raia wake na wa hali ya chini.

IMRUHUSU TUNDU LISU AZUNGUKE NCHI ZIMA KUWAELEZEA WANANCHI WA TANZANIA KILICHOTOKEA SIKU HIYO MPK AENDE KUTIBIWA ULAYA!
PIA NASHAURI IMPE ULINZI MKUBWA SANAAA WA KESHI


Sent using Jamii Forums mobile app

Makonda atasamia ulinzi mkubwa wa Lissu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom