sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,368
Nashauri tu mimi kama raia! Kwa kuwa Lissu ni mtanzania mwenzetu na kwa kuwa Tanzania hatuna utaratibu wa kutekana na kuuana na kwa kuwa mimi naamini walio taka kumuumua walitoka nje ya NCHI
Basi Nashauri akirejea Tanzania tu, serikali yetu siku ya wanyonge inayopenda raia wake na wa hali ya chini.
IMRUHUSU TUNDU LISU AZUNGUKE NCHI ZIMA KUWAELEZEA WANANCHI WA TANZANIA KILICHOTOKEA SIKU HIYO MPK AENDE KUTIBIWA ULAYA!
PIA NASHAURI IMPE ULINZI MKUBWA SANAAA WA KESHI
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi Nashauri akirejea Tanzania tu, serikali yetu siku ya wanyonge inayopenda raia wake na wa hali ya chini.
IMRUHUSU TUNDU LISU AZUNGUKE NCHI ZIMA KUWAELEZEA WANANCHI WA TANZANIA KILICHOTOKEA SIKU HIYO MPK AENDE KUTIBIWA ULAYA!
PIA NASHAURI IMPE ULINZI MKUBWA SANAAA WA KESHI
Sent using Jamii Forums mobile app