Hiyo taarifa umeipata wapi?unadhani Mbowe anaweza kuacha pesa?Mara ghafla tukapata taarifa kuwa hawapokei ruzuku na wala hawana mpango nayo.
Hiyo taarifa umeipata wapi?unadhani Mbowe anaweza kuacha pesa?Mara ghafla tukapata taarifa kuwa hawapokei ruzuku na wala hawana mpango nayo.
Duniani hakuna haki.Haki itapatikana kwa Mungu Baba wa Mbinguni.Mnawaza ruzuku tu? Haki yao iliyoporwa kwenye uchaguzi je?
Ndo hivyo mkuu.Kwa serikali hii, yaweza pora ruzuku ya CHADEMA, itakuwa ni mwendelezo wao ktk kukidhoofisha, walianza kwenye uchaguzi s/mitaa, uchaguzi mkuu, viti maalumu, sitashangaa wakichukua ruzuku, hawana aibu, hakuna cha kufanya!