Kwa kuwa CHADEMA wamesusia ruzuku, hizo pesa zielekezwe kwenye elimu

Kwa serikali hii, yaweza pora ruzuku ya CHADEMA, itakuwa ni mwendelezo wao ktk kukidhoofisha, walianza kwenye uchaguzi s/mitaa, uchaguzi mkuu, viti maalumu, sitashangaa wakichukua ruzuku, hawana aibu, hakuna cha kufanya!
Ndo hivyo mkuu.
 
Back
Top Bottom