Kwa kuwa CHADEMA wamesusia ruzuku, hizo pesa zielekezwe kwenye elimu

Chadema ina wabunge wawili tu wakuchaguliwa, hao wengine 19 walishatimuliwa - Ni wabunge wasio na Chama.

Pia hakunaga ruzuku ya wabunge wa viti maalum.
Ruzuku halali kwa Chadema ni kutokana na wabunge wawili tu na wingi wa kura za Lisu.
 
Wadau wa JF na Wazalendo.

Hivi karibuni zimeibuka habari zinazochanganya sana. Maana gazeti la mwananchi lilichapisha habari likionyesha kuwa CHADEMA wanatakiwa kupata ruzuku mil 104 hii ni sababu wana wabunge 20 bungeni.

Mara ghafla tukapata taarifa kuwa hawapokei ruzuku na wala hawana mpango nayo.

Sasa kama zilitengwa mil 104 kwa ajili ya CHADEMA ili wawe wanajilipa na wao hawazitaki kisa tu wanadai walionewa Oktoba 28 mwaka 2020. Kwa nini zisihamishiwe kwenye sekta ya elimu?

Juzi hapa Naibu Waziri wa Tamisemi ameonekana kwa aibu huko Mtwara watoto wakimlilia wakitaka madawati na madarasa. Hizi pesa zikipelekwa huko zitasaidia watoto wetu.

Msipeleke kwenye elimu, pelekeni Chato kabisa kwa yesu.
 
Wadau wa JF na Wazalendo.

Hivi karibuni zimeibuka habari zinazochanganya sana. Maana gazeti la mwananchi lilichapisha habari likionyesha kuwa CHADEMA wanatakiwa kupata ruzuku mil 104 hii ni sababu wana wabunge 20 bungeni.

Mara ghafla tukapata taarifa kuwa hawapokei ruzuku na wala hawana mpango nayo.

Sasa kama zilitengwa mil 104 kwa ajili ya CHADEMA ili wawe wanajilipa na wao hawazitaki kisa tu wanadai walionewa Oktoba 28 mwaka 2020. Kwa nini zisihamishiwe kwenye sekta ya elimu?

Juzi hapa Naibu Waziri wa Tamisemi ameonekana kwa aibu huko Mtwara watoto wakimlilia wakitaka madawati na madarasa. Hizi pesa zikipelekwa huko zitasaidia watoto wetu.
Nakupongeza kwa kukubali kwamba Chadema haijihusishi na ruzuku haramu iliyojaa dhulma , sasa mwambie Ndugai naye ili aelewe kwamba Chadema haichukui ruzuku ya damu
 
Mbona unaumia juu ya ruzuku? Si mmesema hamuitaki?
Kalime mihogo na kuvuta kokoro maana ndiyo kazi unayoweza,huku kwenye mambo yanayo hitaji kutumia akili tuwachie sisi wanaume wa shoka
 
Wadau wa JF na Wazalendo.

Hivi karibuni zimeibuka habari zinazochanganya sana. Maana gazeti la mwananchi lilichapisha habari likionyesha kuwa CHADEMA wanatakiwa kupata ruzuku mil 104 hii ni sababu wana wabunge 20 bungeni.

Mara ghafla tukapata taarifa kuwa hawapokei ruzuku na wala hawana mpango nayo.

Sasa kama zilitengwa mil 104 kwa ajili ya CHADEMA ili wawe wanajilipa na wao hawazitaki kisa tu wanadai walionewa Oktoba 28 mwaka 2020. Kwa nini zisihamishiwe kwenye sekta ya elimu?

Juzi hapa Naibu Waziri wa Tamisemi ameonekana kwa aibu huko Mtwara watoto wakimlilia wakitaka madawati na madarasa. Hizi pesa zikipelekwa huko zitasaidia watoto wetu.
Kwa uiyo hakuna tena haja ya bunge, bajeti iwe inapangwa hapa jf?
 
Vyovyote vile, si lazima tujadili - CDM ipo ilipo si kwa sababu ya hela ya umma ya masimango.
 
Wadau wa JF na Wazalendo.

Hivi karibuni zimeibuka habari zinazochanganya sana. Maana gazeti la mwananchi lilichapisha habari likionyesha kuwa CHADEMA wanatakiwa kupata ruzuku mil 104 hii ni sababu wana wabunge 20 bungeni.

Mara ghafla tukapata taarifa kuwa hawapokei ruzuku na wala hawana mpango nayo.

Sasa kama zilitengwa mil 104 kwa ajili ya CHADEMA ili wawe wanajilipa na wao hawazitaki kisa tu wanadai walionewa Oktoba 28 mwaka 2020. Kwa nini zisihamishiwe kwenye sekta ya elimu?

Juzi hapa Naibu Waziri wa Tamisemi ameonekana kwa aibu huko Mtwara watoto wakimlilia wakitaka madawati na madarasa. Hizi pesa zikipelekwa huko zitasaidia watoto wetu.
Hakuna la maana uloliandika
 
Wadau wa JF na Wazalendo.

Hivi karibuni zimeibuka habari zinazochanganya sana. Maana gazeti la mwananchi lilichapisha habari likionyesha kuwa CHADEMA wanatakiwa kupata ruzuku mil 104 hii ni sababu wana wabunge 20 bungeni.

Mara ghafla tukapata taarifa kuwa hawapokei ruzuku na wala hawana mpango nayo.

Sasa kama zilitengwa mil 104 kwa ajili ya CHADEMA ili wawe wanajilipa na wao hawazitaki kisa tu wanadai walionewa Oktoba 28 mwaka 2020. Kwa nini zisihamishiwe kwenye sekta ya elimu?

Juzi hapa Naibu Waziri wa Tamisemi ameonekana kwa aibu huko Mtwara watoto wakimlilia wakitaka madawati na madarasa. Hizi pesa zikipelekwa huko zitasaidia watoto wetu.
Hata hivyo CDM inapewa ruzuku ya nini wakati haina wabunge?
Covid-19 walishavuliwa uanachama, hapo ni mtego, wakipokea maana yake bado wanawatambua kama wanachama wa CDM.
 
Hi Mbowe yupo kweli?? simsikii kABISAAAAAAAAAAAAAAAAA..............................
Mbowe yupo UAE Mkuu ,Mmempora Ubunge,Billcanas ,Mashamba ya maua ,sasa yupo kwenye biashara zake za nje ambazo hamna mkono nazo.
 
Chadema ina wabunge wawili tu wakuchaguliwa, hao wengine 19 walishatimuliwa - Ni wabunge wasio na Chama.

Pia hakunaga ruzuku ya wabunge wa viti maalum. Hivyo Ruzuku halali kwa Chadema ni kutokana na wabunge wawili tu.
Na idadi ya kura alizopata mgombea Urais
 
Wadau wa JF na Wazalendo.

Hivi karibuni zimeibuka habari zinazochanganya sana. Maana gazeti la mwananchi lilichapisha habari likionyesha kuwa CHADEMA wanatakiwa kupata ruzuku mil 104 hii ni sababu wana wabunge 20 bungeni.

Mara ghafla tukapata taarifa kuwa hawapokei ruzuku na wala hawana mpango nayo.

Sasa kama zilitengwa mil 104 kwa ajili ya CHADEMA ili wawe wanajilipa na wao hawazitaki kisa tu wanadai walionewa Oktoba 28 mwaka 2020. Kwa nini zisihamishiwe kwenye sekta ya elimu?

Juzi hapa Naibu Waziri wa Tamisemi ameonekana kwa aibu huko Mtwara watoto wakimlilia wakitaka madawati na madarasa. Hizi pesa zikipelekwa huko zitasaidia watoto wetu.
Kwa nini usipendekeze upatiwe wewe Kama ujira wa utumbo wako unaopostiposti huku JF
 
Back
Top Bottom