Chattle.Kwani pesa ya vitambulisho vya chinga inaenda wapi?
Wadau wa JF na Wazalendo.
Hivi karibuni zimeibuka habari zinazochanganya sana. Maana gazeti la mwananchi lilichapisha habari likionyesha kuwa CHADEMA wanatakiwa kupata ruzuku mil 104 hii ni sababu wana wabunge 20 bungeni.
Mara ghafla tukapata taarifa kuwa hawapokei ruzuku na wala hawana mpango nayo.
Sasa kama zilitengwa mil 104 kwa ajili ya CHADEMA ili wawe wanajilipa na wao hawazitaki kisa tu wanadai walionewa Oktoba 28 mwaka 2020. Kwa nini zisihamishiwe kwenye sekta ya elimu?
Juzi hapa Naibu Waziri wa Tamisemi ameonekana kwa aibu huko Mtwara watoto wakimlilia wakitaka madawati na madarasa. Hizi pesa zikipelekwa huko zitasaidia watoto wetu.
Nakupongeza kwa kukubali kwamba Chadema haijihusishi na ruzuku haramu iliyojaa dhulma , sasa mwambie Ndugai naye ili aelewe kwamba Chadema haichukui ruzuku ya damuWadau wa JF na Wazalendo.
Hivi karibuni zimeibuka habari zinazochanganya sana. Maana gazeti la mwananchi lilichapisha habari likionyesha kuwa CHADEMA wanatakiwa kupata ruzuku mil 104 hii ni sababu wana wabunge 20 bungeni.
Mara ghafla tukapata taarifa kuwa hawapokei ruzuku na wala hawana mpango nayo.
Sasa kama zilitengwa mil 104 kwa ajili ya CHADEMA ili wawe wanajilipa na wao hawazitaki kisa tu wanadai walionewa Oktoba 28 mwaka 2020. Kwa nini zisihamishiwe kwenye sekta ya elimu?
Juzi hapa Naibu Waziri wa Tamisemi ameonekana kwa aibu huko Mtwara watoto wakimlilia wakitaka madawati na madarasa. Hizi pesa zikipelekwa huko zitasaidia watoto wetu.
Kalime mihogo na kuvuta kokoro maana ndiyo kazi unayoweza,huku kwenye mambo yanayo hitaji kutumia akili tuwachie sisi wanaume wa shokaMbona unaumia juu ya ruzuku? Si mmesema hamuitaki?
Kwapu kwapu hao hawatoshekiKwahiyo hata milioni 104 za Chadema mnazitaka
Hatutakupa teuzi yoyote ile maishani mwakoSawa kabisa, lakini ujumbe si umeupata.
Kwa uiyo hakuna tena haja ya bunge, bajeti iwe inapangwa hapa jf?Wadau wa JF na Wazalendo.
Hivi karibuni zimeibuka habari zinazochanganya sana. Maana gazeti la mwananchi lilichapisha habari likionyesha kuwa CHADEMA wanatakiwa kupata ruzuku mil 104 hii ni sababu wana wabunge 20 bungeni.
Mara ghafla tukapata taarifa kuwa hawapokei ruzuku na wala hawana mpango nayo.
Sasa kama zilitengwa mil 104 kwa ajili ya CHADEMA ili wawe wanajilipa na wao hawazitaki kisa tu wanadai walionewa Oktoba 28 mwaka 2020. Kwa nini zisihamishiwe kwenye sekta ya elimu?
Juzi hapa Naibu Waziri wa Tamisemi ameonekana kwa aibu huko Mtwara watoto wakimlilia wakitaka madawati na madarasa. Hizi pesa zikipelekwa huko zitasaidia watoto wetu.
Hakuna la maana uloliandikaWadau wa JF na Wazalendo.
Hivi karibuni zimeibuka habari zinazochanganya sana. Maana gazeti la mwananchi lilichapisha habari likionyesha kuwa CHADEMA wanatakiwa kupata ruzuku mil 104 hii ni sababu wana wabunge 20 bungeni.
Mara ghafla tukapata taarifa kuwa hawapokei ruzuku na wala hawana mpango nayo.
Sasa kama zilitengwa mil 104 kwa ajili ya CHADEMA ili wawe wanajilipa na wao hawazitaki kisa tu wanadai walionewa Oktoba 28 mwaka 2020. Kwa nini zisihamishiwe kwenye sekta ya elimu?
Juzi hapa Naibu Waziri wa Tamisemi ameonekana kwa aibu huko Mtwara watoto wakimlilia wakitaka madawati na madarasa. Hizi pesa zikipelekwa huko zitasaidia watoto wetu.
Kama halali kwa Ccm, basi huna haja ya kuiuliza ya Cdm ni halali yao pia.Halali yao.
Hata hivyo CDM inapewa ruzuku ya nini wakati haina wabunge?Wadau wa JF na Wazalendo.
Hivi karibuni zimeibuka habari zinazochanganya sana. Maana gazeti la mwananchi lilichapisha habari likionyesha kuwa CHADEMA wanatakiwa kupata ruzuku mil 104 hii ni sababu wana wabunge 20 bungeni.
Mara ghafla tukapata taarifa kuwa hawapokei ruzuku na wala hawana mpango nayo.
Sasa kama zilitengwa mil 104 kwa ajili ya CHADEMA ili wawe wanajilipa na wao hawazitaki kisa tu wanadai walionewa Oktoba 28 mwaka 2020. Kwa nini zisihamishiwe kwenye sekta ya elimu?
Juzi hapa Naibu Waziri wa Tamisemi ameonekana kwa aibu huko Mtwara watoto wakimlilia wakitaka madawati na madarasa. Hizi pesa zikipelekwa huko zitasaidia watoto wetu.
Ruzuku ni haki ya msingi ya Chadema!
Mbowe yupo UAE Mkuu ,Mmempora Ubunge,Billcanas ,Mashamba ya maua ,sasa yupo kwenye biashara zake za nje ambazo hamna mkono nazo.Hi Mbowe yupo kweli?? simsikii kABISAAAAAAAAAAAAAAAAA..............................
Na idadi ya kura alizopata mgombea UraisChadema ina wabunge wawili tu wakuchaguliwa, hao wengine 19 walishatimuliwa - Ni wabunge wasio na Chama.
Pia hakunaga ruzuku ya wabunge wa viti maalum. Hivyo Ruzuku halali kwa Chadema ni kutokana na wabunge wawili tu.
Kwa nini usipendekeze upatiwe wewe Kama ujira wa utumbo wako unaopostiposti huku JFWadau wa JF na Wazalendo.
Hivi karibuni zimeibuka habari zinazochanganya sana. Maana gazeti la mwananchi lilichapisha habari likionyesha kuwa CHADEMA wanatakiwa kupata ruzuku mil 104 hii ni sababu wana wabunge 20 bungeni.
Mara ghafla tukapata taarifa kuwa hawapokei ruzuku na wala hawana mpango nayo.
Sasa kama zilitengwa mil 104 kwa ajili ya CHADEMA ili wawe wanajilipa na wao hawazitaki kisa tu wanadai walionewa Oktoba 28 mwaka 2020. Kwa nini zisihamishiwe kwenye sekta ya elimu?
Juzi hapa Naibu Waziri wa Tamisemi ameonekana kwa aibu huko Mtwara watoto wakimlilia wakitaka madawati na madarasa. Hizi pesa zikipelekwa huko zitasaidia watoto wetu.