Brightman Jr
JF-Expert Member
- Mar 22, 2009
- 1,225
- 232
Jamani hakuna Kipengele cha Kumburuza Mahakaman mtu kama Magufuli kwa kosa kama Hili?? Kwani ndo watajifunza na wengine,wataogopa!!! Otherwise 2015 ni Mbali mno
Mbona MARY NAGU hamtaji jina lake au kwakuwa mlishinda kule Arumeru..!!? Naye anastahili kuburuzwa mahakamani kwa matumizi mabaya ya madaraka.