johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,900
- 141,836
Naomba wataalamu wa masoko mnisaidie maana hivi vyama vya siasa vinajiuza kwa kunadi sera zao nasi tunanunua sera hizo kupitia mfumo wa ruzuku.
Mimi siyo market researcher lakini nimeona graph moja ikielezea stages katika product life cycle kama R&D, Introduction, Growth, Maturity na Decline.
Kwa kufikiri kwangu nikaona kama ACT wazalendo wako hatua ya 3 yaani Growth
Nikaiona CCM ikiwa stage ya 4 yaani Maturity
Na " nikadhani" Chadema wako stage ya 5 yaani Decline.
Naomba wataalam wa Marketing mje hapa kunielimisha tafadhali ili nisiteseke na chama changu pendwa.
Maendeleo hayana vyama!
Mimi siyo market researcher lakini nimeona graph moja ikielezea stages katika product life cycle kama R&D, Introduction, Growth, Maturity na Decline.
Kwa kufikiri kwangu nikaona kama ACT wazalendo wako hatua ya 3 yaani Growth
Nikaiona CCM ikiwa stage ya 4 yaani Maturity
Na " nikadhani" Chadema wako stage ya 5 yaani Decline.
Naomba wataalam wa Marketing mje hapa kunielimisha tafadhali ili nisiteseke na chama changu pendwa.
Maendeleo hayana vyama!