BRUCE LEE
JF-Expert Member
- Dec 11, 2010
- 2,096
- 1,332
Habari zenu wakuu?ndugu zangu mi na maoni yafuatayo, kwa kutumia kura kamwe hatuwawezi mafisadi, pia kikwete ndio kinara wa ufisadi na kamwe hawezi watosa wenzie hivyo basi tusitaraji hukum ya haki dhidi ya akina chenge,lowasa,mramba na wengineo. Pia CCM,haitakubali kamwe kuachia madaraka,wamerithi utajiri mkubwa wa rasilimali frm tanu,na pia mafisadi wakubwa wamewekeza kwenye chama hicho.na mashaka na maisha ya DR SLAA,naamini kabisa wana mipango mibaya dhidi na hawako tayari kumuona akikubalika kiasi hiki, ni wajibu wetu kumpa na kumuombea ulinzi kwa mungu. Wakuu mi naona ni wakati muafaka wa kufikiri njia mbadala za kuwahukum watu hawa? kwanini tusi wa assasnet?inawezekana kabisa kama tukiamua, otherwise tutaendelea kuumia roho zetu, hao watu sio wengi sana tunaweza panga mipango ya kuwa uwa na kuifanikisha kirahisi tu, au nyinyi mna maoni gani? Ninacho amini people's power haindindwi kama ikiamua. Asanteni sana.