Elections 2010 Kwa kutomwogopa mumgu amepania kuiba kura

Sita Sita

JF-Expert Member
Aug 25, 2008
1,393
511
Wana JF nimepita kwenye web link HII HAPA nikakuta document moja dated 26 Oct posted at 12:03pm

Inaonesha muandishi alikua ana hasira kali, its very interesting ila sijui kama ina ukweli wowote,

Wenye data watupatie
 

Attachments

  • HAKUNA.doc
    113.5 KB · Views: 234
kweli jamaa ana hasira kwelio

Sio hasira,jamaa kakereka kama wengi walivyokerwa na mfumo mbaya wa utawala na kuendekeza ushikaji kwenye mambo ya msingi yanayohusu mustakabali wa watanzania na Taifa kwa ujumla.
 
Kwa wasioweza kudownload the attached doc, nime-cut na kupaste hapo chini.

Wana JF nimepita kwenye web link HII HAPA nikakuta document moja dated 26 Oct posted at 12:03pm

Inaonesha muandishi alikua ana hasira kali, its very interesting ila sijui kama ina ukweli wowote,

Wenye data watupatie


HAKUNA TUME HURU YA UCHAGUZI MWAKA HUU (2010)


VIONGOZI WOTE WA VYAMA SAHIHI VYA UPINZANI TANZANIA NA WATETEZI WA HAKI ZA BINADAMU KOTE ULIMWENGUNI Jueni kuwa hakuna tume huru ya uchaguzi Tanzania isipokuwa kuna utapeli wa kifisadi wa CCM kama ifuatavyo:
1. CCM inajua kuwa zaidi ya asilimia 40 ya Watanzania hawajui kusoma na kuandika na kundika na zaidi ya 90% ya Watanzania hawajui haki zao na hawajui jinsi katiba ya nchi ilivombovu, katiba inayolinda ufisadi wa chama kimoja (CCM).
kubwa zaidi ya hayo wanaishi kijijini wanaishi maisha magumu kama wako JEHANAMU kutokana na kunyonywa na mafisadi wa CCM. Lakini ndio wapambe wakubwa wa CCM wakidhani kuwa mafisadi hawa ni wakombozi wa walala hoi hawa.
CCM imewatapeli maskini hawa kwa kuwadanganya kwamba wakiwachagua wapinzani wataleta vita nchini. Kutokana na uongo huo wa CCM, maskini hawa wanaishi maisha magumu kama wako AHERA, HUKU WATOTO WAO WAKIFIA MAJUMBANI KWA KUKOSA USAFIRI WA KWENDA HOSPITALINI AMA KUFIA MAPOKEZI AMA MILANGONI MWA MADAKITARI AMA MADUKA BINAFSI YA MADAWA KWA KUOSA FEDHA YA KUMWONA DAKITARI(Tsh 3000 hadi 5000) AMA KUNUNUA DAWA. MAFISADI YANATIBIWA NJE YA NCHI (ASIA, ULAYA, INDIA, MAREKANI). Watoto wa maskini hawa wanasoma shule za YEBOYEBO SENYE WAALIMU YEBOYEBO NA ZISIZO NA MAABALA, WAKATI WATOTO WA MAFISADI WAKISOMA MAJUU (OVERSEAS) KWA GHARAMA YA KODI YA MASKINI HAWA.
TUNATOA ANGALIZO HILO KWANI TUNATAKA RAIS AHAYEKUJA AWEZE KUFANYA HAYA YAFUATAYO:

(a) KUSOMESHA WATANZANIA WOTE WENYE SIFA ZA KUSOMA SHULE ZA MSINGI, SEKONDARI , VYOUNI NA VYUO VIKUU
(b) KUBORESHA HUDUMA ZA HOPITALINI , KUPUNGUZA VIFO VYA WATOTO, AKINA MAMA WAJA WAZITO, WAZEE NA WAGONJWA WA RIKA ZOTE
(c) KUBORESHA KILIMO, MIFUGO KWA FAIDA YA WAFUGAJI NA WATANZANIA WOTE. FEDHA HII ITAWAONDOA WATANZANIA KATIKA KILIMO CHA UJIMA CHA JEMBE LA MKONO ( ADHA NA ADHABU YA MKULIMA WA TANZANIA)
(d) KUBORESHA HUDUMA ZA USAFIRI NA MAWASIRIANO KUHARAKISHA MAENDELEO KWA TAIFA ZIMA
(e) KUBORESHA MISHAHARA YA WAFANYAKAZI KATIKA WIZARA ZOTE NA KUONDOA TOFAUTI KUBWA YA MISHAHARA KATI YA WATUMISHI SERIKALINI
(f) KUBORESHA UTALII ILI KUVUTIA WATALII ZAIDI KWA FAIDA YA TAIFA LOTE SIO AKINA MWANGUNGA NA FAMILIA ZAO
(g) KUBORESHA TECHNOLOJIA KATIKA SEHAMU ZOTE ZA KAZI
(h) LUWAONDOA WATANZANIA KATIKA UMASKINI WA KUTUPWA. ZAIDI YA 70% YA WATANZNIA WANAKULA MLO MMOJA, WANAKUFA KWA KUKOSA TSH 1000/- YA KUNUNUA DAWA ZA MARALIA NA MAGONJWA MENGINE YA TROPIKI, HAWAWEZI KUSOMESHA WATOTO WAO VYUONI.. WANAISHI KAMA WAKO GEREZANI.
2 KIKWETE AMEONA UPEPO UNAMWENDEA VIBAYA, KWA KUTOMWOGOPA MUNGU AMEAMUA KUWA ANAKUSANYA NA KUWAPAKIA WATU KWENYE FUSO, KENTA NA MAGARI MENGINE MAKUBWA NA KUWAPELEKA KWENYE ENEO ANALOTAKA KWENDA KUWADANGANYA NA AHADI ZAKE FISADISHI NA ZA KIULAGHAI ILI IONEKANE KUWA BADO ANAPENDWA NA WATANZANIA. WATU HAWA HULIPWA LANCHI (LUNCH) NA MATUMIZI MENGINE KWENDA KUMSHANGILIA MHUNI HUYU. Mbinu hii itamsaidia kuibia kura, maana atakapoiba kura watu watakubali kuwa alikuwa anajaza umati mkubwa kwenye kampeni zake kumbe ni MBUMBU NA MAMLUKI NA MASKINI WALIOKUSANYWA KUTOKA MAENEO MENGINE. MAMLUKI HAWA WAELEWE KUWA MAISHA YA WATANZANIA YATAPANDA MARA ASILIMIA MIA MBILI KAMA WATAFANIKISHA KUTUMIKA KAMA DARAJA LA KUIMWINGIZA IKULU HUYU MHUNI.

HATUTAKI MHUNI , FUSIKA, ANAYEFUNGA WATU KAMA BABUSEA NA LIUMBA KWA KUGOMBANIA WANAWAKE , MABAMEDI.. BADALA YA KUFUNGA MAFISADI , YEYE ANAFUNGA WATU ALIOWANYANGANYA WANAWAKE. Kwa kuwa hakuna tume huru, KIKWETE

3 Waandikishaji wa wasimaizi wa uchaguzi wa mwaka huu 2010 ni wanachama damu damu wa CCM (CHAMA CHA MAFISADI). Ili mtu apate kupewa nafasi ya kusimamia siku ya uchaguzi lazima awe MCCM (MFISADI CCM)
KWA HIYO VYAMA VYA UPINZANI NA WANA HARAKATI ZA HAKI ZA BINADAMU PAMOJA NA WASIMAMIZI WA KIMATAIFA WA UCHAGUZI HUU LIJUENI HILO. NA KUSIMAMIA HAKI YA MASKINI HAWA WANAOTAPELIWA KILA CHAGUZI FISADISHI

4. Watendaji wa vijiji na makatibu kata ni wanachama wa CCM , Hawa ni mamluki wa CCM. Hutumia mbinu zote kuwarubuni wanakijiji ili wakipende chama tawala hata kama kinawasulubu na kuwafanya waishi kama wako AHERA. Viongozi hawa wameruhusiwa kufanya ufisadi mdogo mdogo kama vile kukusanya kodi za mifugo na kutafuna sehemu kubwa kabla ya kuiwakilisha serikalinji. Wakati wa kampeinI viongozi hawa kijijini na mijini hawana aibu KAMA MAFISI, wanapita nyumba kwa nyumba wakiuza sera ndanganishi kwa MAAMUMA hawa wa kisomo na kisiasa. Viongozi hawa ni sehemu ya vidole vya tume ya uchaguzi.
KWA HIYO VYAMA VYA UPINZANI NA WANA HARAKATI ZA HAKI ZA BINADAMU PAMOJA NA WASIMAMIZI WA KIMATAIFA WA UCHAGUZI HUU LIJUENI HILO. NA KUSIMAMIA HAKI YA MASKINI HAWA WANAOTAPELIWA KILA CHAGUZI FISADISHI

5. Makatibu tarafa ni wana CCM na mara nyingi hutummika kama wasaidizi wa mkuu wa wilaya (DC). Kwa hiyo wakati wa uchaguzi huuu wapewa TAKRIMA na Chama Cha Maangamizi (CCM) ili kuhadaa maskini waishio vijijini na mijini waweze kuendelea kujidanganya kuwa CCM bado ni yao, kumbe ni ya Matajiri , mafisadi


6, MSIMAMIZI MKUU (PRESIDENT) WA TUME YA UCHAGUZI Tanzania ana kadi ya CCM, Amechaguliwa na rais ambaye ni M-CCM, Kwa hiyo anachofanya ni kupidisha sheria ili kila jimbo apite mbunge ama diwani wa CCM. Kwa mfano, anapingana na uamuzi wa MAHAKAMA ULIOBARIKI MGOMBEA BINAFSI. Yeye anafanya hivyo kwa manufaa ya chama chake (CCM).
NDIYO MAANA AMERUHUSU 90% YA MATANGAZO NA TAARIFA ZA HABARI KUTOKA TBC ZIMNADI BABA WA MAFISADI (JK). Wengine kama Lipumba na Dr. Slaa (-the hill of the nation) wanatajwa tu kama kuna taarifa pandikizi za kuwachafua. Kwa mfano pale Maswa walimkamata SHIBUDA gadala ya kumkamata kiongozi wa wilaya wa CHADEMA wilayani maswa.
. KWA HIYO VYAMA VYA UPINZANI NA WANA HARAKATI ZA HAKI ZA BINADAMU PAMOJA NA WASIMAMIZI WA KIMATAIFA WA UCHAGUZI HUU LIJUENI HILO. NA KUSIMAMIA HAKI YA MASKINI HAWA WANAOTAPELIWA KILA CHAGUZI FISADISHI


7. UDIKITETA WA KURUGENZI ZA MANISAPA NCHINI
Sasa hivi kuna udikiteta mkubwa sana katika Manispa zote nchini. Wakurugenzi na viongozi wilayani wamekuwa matapeli na mafisadi waliokubuhu wakijivunia MLINZI WAO MATAPELI (JK). Hivyo wanajichotea fedha hovyo ovyo za miradi ya maendeleo zinazoletwa wilayani. Hivyo wanamtisha kila mfanyakazi aliyepo wilayani anapotaka kukosoa UFISADI WA SERIKALI YA AWAMU YA NNE ( AWAMU YA VIONGOZI MAFISADI MATAPELI). Kurugenzi ziko tayari kumfukuza kazi mfanyakazi anayelalamikia ugumu wa maisha unaosababishwa na serikali inayolinda mafisadi na kujifisadisha yenyewe. Kwa mfano , taarifa za wazi zinasemekana kuwa, wafanyakazi wa kada ya chini wana kipato kidogo sana na sio rahisi kuhusishwa kwenye mafungu ya fedha za miradi. Hivyo wanatakiwa wanyamaze tu. Akipiga kelele anaonekana kama mwiba ama kenge kwenye msafara wa mamba. Hivyo huhamishiwa porini ili kuwafanya waliobaki Manispa wanyamaze kimya . Kwa hiyo faulo yoyote ikifanywa na mkurugenzi katika kuiba kura, wafanyakazi wote wanatakiwa wanyamaze kimya. Haya nimeyaona kwa macho yangu. KURUGENZI za wilaya mbalimbali katika MIKOA WA TABORA, SHINYANGA, MWANZA, KIGOMA, SINGIDA, DODOMA, MOROGORO, KAGERA, RUVUMA , MANYARA NA LINDI NDIZO ZINAOGOZA KWA UNYANYAPAA HUO. Mikoa hiyo ndiyo ngome za CCM, Maana licha tu ya Unyanyapaa wa manispa zilizomo humo. Vilevile ndiyo mikoa yenye watu wengi wasio na elimu ya kutosha. Ndiyo mikoa yenye wajinga wengi, ambao bado wanadai CCM ni chama kizuri tu , eti isipokuwa viongozi wake ndio wabaya. Kwamba CHAMA CHA MATAPELI (CCM) hawakiachi kwa ajili hiyo. Ni tofauti na Mikoa ya Mbeya, Mara na Kilimanjaro ambako Matapeli hawa wamekuwa wakizomewa kila kukicha.. Kwa hiyo kila Mkurugenzi hujitahidi kupindisha matokeo kwa kuhakikisha mgombea wa CCM (rais, mbunge, diwani) anapita kwa kishindi fisadishi , hii ni kulinda vyeo na masilahi ya familia zao. MAKURUGENZI HAWA NDIO WANAOPIKA MATOKEO FEKI NA KUYATANGAZA OVYO HOVYO KWA FAIDA YA FAMILIA ZAO NA LWA FAIDA YA BABA YAO (JK)

. KWA HIYO VYAMA VYA UPINZANI NA WANA HARAKATI ZA HAKI ZA BINADAMU PAMOJA NA WASIMAMIZI WA KIMATAIFA WA UCHAGUZI HUU LIJUENI HILO. NA KUSIMAMIA HAKI YA MASKINI HAWA WANAOTAPELIWA KILA CHAGUZI FISADISHI

8.: Makamanda wa polisi wa mikoa (RPCs), Wilaya (OCDs), wakuu wa wilaya (DCs) ni wana CCM damu damu na wanateuliwa na Rais wa CCM. Pia polisi wanaosindikiza masanduku ya kupigia kura pamoja na askari wasimamizi wakuu wa vituo vya kupigia kura huwa ni wanaCCM waliojificha .Kwa hiyo huweza kubadilisha matokeo ya kura hixo kirahisi tu kwa manufaa ya chama chao fisadishi- CCM. Askari hawa hutetea nafasi zao za ajira kwa hufanya kila liwezekanalo ili CCM ipite kwa kura za Urais, wabunge na madiwani. Hivyo Tanzania hatuna tume huru ya uchaguzi. Ni tume Mufilisi-pandikizi ya mafisadi ama matapeli ya kimataifa.
Licha ya maisha magumu na makazi ya ovyo wanayoishi maaskari wa vyeo vya chini , lakini wanajikuta ni wahanga wa kutetea MAFISADI HAWA(CCM ) WAPITE KWENYE CHAGUZI FISADISHI ILI WASIPOTEZE KAZI AMA VYEO VYAO
Pia viongozi hawa pandikizi wa CCM HUPELEKA MAASKARI WENGI KWENYE VITUO VYA UCHAGUZI HASA VIJIJINI ILI KUWA NI TISHIO KWA WAPIGA KURA. HIVYO WENGINE HUOGOPA KWENDA KUPIGA KURA KWA UGAIDI (TERA (TERROSIM ) HUO NA MADUDU MENGINE MENGI.

JE, WATANZANIA TUTAFIKA?

9. Wakuu wa mikoa (RC), RAS, wakuu wa wilaya (DCs) , DAS na wasaidizi wao wilayani ni wana-CCM hai. Hivyo kila mkuu i.e. RC, RAS, DC, DAS na vigogo wengine huwa wametishiwa kuwa akipita mgombea kutoka chama cha upinzani watawajibishwa na baba yao wa ufisadi ( Kwa hiyo mamluki hawa hushirikiana vizuri kabisa kuhakikisha kuwa wanaharibu matokeo in favour of their corrupt party (CCM) .Viongozi hawa hushirikiana na Mkurugenzi (mtangazaji matokeo), RC, OCD na polisi/askari wanaosimamia na kusindikiza matokeo , hii ni kuhakikisha kwamba CCM inapita kwa UNYAMA WOWOTE. . Vile vile hutoa fedha za kuwahonga wawakilishi wa vyama vingine ili matokeo yakitangazwa kinyume kabisa na hali halisi, wahanga hawa wa UMASKINI HUNYAMAZA KIMYA.
KWA HIYO VYAMA VYA UPINZANI NA WANA HARAKATI ZA HAKI ZA BINADAMU PAMOJA NA WASIMAMIZI WA KIMATAIFA WA UCHAGUZI HUU LIJUENI HILO. NA KUSIMAMIA HAKI YA MASKINI HAWA WANAOTAPELIWA KILA CHAGUZI FISADISHI


10. KUNDI LA WAALIMU WA SHULE ZA MISINGI
Kundi la waalimu wa shule za msingi ni ngome ya wizi wa kura kwa niaba ya CHAMA CHA MATAPELI. Waalimu hawa wanaibiwa maslahi yao mengi tu na CCM, yakiwamo mapunjo ya mishahara. Wanamishara hovyo licha tu ya kuwa midogo kuliko mishahara ya waalimu wenzao katika nchi za Africka mashariki. Pia wanapunjwa malipo ya rikizo ama ya uhamisho. Lakini kutokana na kuwa wengi wao ni SEMI-EDUCATED, Wamekuwa ndio wasimamizi na wezi wa kura kwa niaba ya CCM. Na mbaya zaidi vijijini, waalimu wanatishiwa na maafisa elimu wao na kuwafanya kuwa mbumbumbu hata kwenye haki zao.Kwa hiyo viongozi wa vyama vya upinzani jueni kuwa wizi wa kura uko deep-rooted kiasi msicho kifikiria. Mnapofanya operation elimishi, kumbukeni tena kuwaahidi waalimu wa shule za msinmgi maisha bora mkiingia ikulu. waambie kipato wanachopewa hakiwawezeshi hata kula mlo kamili kwa siku 7 katika mwezi. wajue kuwa wanapojenga taifa la watoto wenye utapia mlo , watakuwa wanajenga watu wenye fikra finyu.



11 UNYANYAPAA WA BERNARD. MEMBE, PHILIP MARMO NA TUME YA UCHAGUZI DHIDI YA .MGOMBRA BINAFSI –NAFASI YA URAIS
Licha ya mahakama kuu ya Tanzania kubariki nafasi ya mgombea binafsi kwa kiti cha urais mnamo mwaka 2006, jambo hilo limenyanyapishwa na chama cha matapeli (CCM) mpaka leo. Huo ni uvunjaji wa haki za binadamu , haki ya mtu kujieleza na kuwa na ridhaa ya kukubarika kupewa nafasi ya kuiongoza jamii inayompenda. Huu ni udikiteta MUFILISI NA FISADISHI unaofanywa na chama tawala . Chama ambacho kimejaa mamluki yanayopinga uwepo wa haki ya mtu kuchaguliwa na haki ya raia kuchagua kiongozi wanayemtaka. Unyama huu unaendeshwa na bunge la CCM, Mamluki ya CCM kama Makamba, B, Membe, Marmo, P. Msekwa, M. Pinda na wengine wengi wasiyoitakia mema nchi yetu, Wanatengeneza Pressure ambayo ikifikia Tension ya kupasuka italeta maafa makubwa sana Tanzania.
WITO WA VIONGOZI WOTE WA VYAMA SAHIHI VYA UPINZANI TANZANIA NA WATETEZI WA HAKI ZA BINADAMU KOTE ULIMWENGUNI TUNAOMBA MSHINIKISHE MAREKEBISHO YA KATIBA TANZANIA ILI KUWE NA TUME HURU YA UCHAGUZI.

BAADHI YA MATAPELI WA TAIFA HILI NI MAFISADI WAFUATAO:
(i) Dr.I. Rashid –Mhanga wa TANESCO na sakata la ununuzi wa RADA (ii) J.PATEL –kwapuaji kubwa EPA(iv) A..F. Magoma EX-Mhasibu feki SUA –Fisadi la fedha za mataifa wanaofadhili SUA, zadi ya Tsh millioni 21,532,000,000/-kati ya mwaka 1995 na 2009 (v) PROFESA PETER MSOLLA(Waziri-Sayansi na Tech)- Kalinyofolea taifa zaidi ya Tsh 30,569,176,000 tangu akiwa SUA hadi leo (vi) JUMA NGASONGWA- Aliipotezea TZ K zaidi ya Tsh billioni 45 kwa kuuza wanyama pori (vii) KAPUYA-Kalipotezea taifa zaidi ya Tsh 35 billioni miradi ya madini( Nzega na Arusha) na bendi yake aliyoidanganya ya jeshi
(viii) Mwangunga –kalipotezea taifa zaidi ya Tsh 125 billion (Mali asili na Utalii)
(ix) ROSTAM AZIZI-Tapeli na fisadi la kimataifa Kalipotezea taifa hili zaidi ya Tsh 546.7 billion kupitia EPA ya BOT, UBIA FISADISHI NA JAPAN na ufisadi kupitia makampuni fisadishi manane (x) (g) MEGHDI-Alifanikisha ukwepuaji wa Tsh billion 20 kwa vitalu vya uwindaji haramu vya wanyama pori na Tsh za EPA/BOT zaidi ya Billion Tsh 133 (xii) KINGUNGE NGOMBALEMWILO-Fisadi papa -amelipotezea taifa hili zaidi ya Tsh 980 billion kupitia iliyokuwa kampuni yake ya ulinzi jijini Dar na stand ya Ubungo terminal kwa kukwepa kulipa ushuru halisi (xiii) ABDALLAH KIGODA-Kalipotezea taifa zaidi ya Tsh 6.1 trillion kupitia uuzaji mashirika ya umma, na jinai la globolisation akishirikiana na Mkapa (xiv) Yona , kalipotezea taifa ya Tsh Trillion 5.9 kwa kipindi chake akiwa na Mkapa kupitia sakata la RADA ,EPA,, KIWIRA, mikataba mibovu ya madini (xv) Edward Hosea (TAKUKURU- Taasis ya kukuza na kurutubisha rushwa) KaipotezeaTZ zaidi ya Tsh billion 298.2 kupitia kulinda RICHMOND, EPA (BOT), kuharalisha vitalu haramu vya uvunaji wanyama pori NA kupitisha mikataba feki kama ya TICS, TRL, Mikataba mibovu ya madini (xvi) ANDREW CHENGE- Fisadi la vijicebt, Kalipotezea taifa zaidi ya Tsh trillion 133.7 kupitia yafuatayo> EPA, RADA FEKI, ndege feki ya rais, mikataba mibovu ya madini, uuzwaji tupatupa wa mashirika ya umma, ufichaji fedha nje ya nchi, kula rushwa nzito nzito kwa matapeli wa kihindi n.k.(xvii) Karamagi-Kaipotezea TZ zaidi ya Tsh 9,824,000,000 Kwa ufisadi wa RICHMOND, DOWANS na TICS alimojificha KARUMEKENGE (JK) (xviii) E. Lowassa-Alikuwa akilipotezea taifa zaidi ya Tsh 1,824,000,000 Kwa mwaka kwa uhanga wa RICHMOND (xix) Msabaha-Amelipotezea taifa zaidi ya Tsh 1,824,000,000 Kwa mwaka wake wa RICHMOND (xx) GWAMI (mshirika wa RIWADHI na JK) lilikuwa fisadi TRA baadaye mhasibu fisadishi Bagamoyo –rejea magorofa yanayoota kama uyoga Morogoro standi, Pwani na DAR, Kaipotezea TZ zaidi ya Tsh 284.5 billion (xxi) MASHA,-wizara ya wizi wa ndani-Amelipotezea taifa zaidi ya Tsh billion 458.7 sakata la EPA na kwa kampuni yake inayodaiwa ni kampuni ya jeshi la wana na sakata la vitambulisho fisdadishi vya taifa (xxii) Pro MAGHEMBE-Amelipotezea taifa zaidi ya Tsh 130,000,000/- kwa kulea wauzaji wa mitihani ya NECTA na uuzaji wa vyeti bandia (xxiii) WILLIAM NGEREJA:-Ameeendela kulipotezea taifa Tsh 35,561,602,550/-Kwa mwaka kupitia kukumbatia ufisadi wa mikataba mibovu ya madini, utapeli wa vigogo wa TANESCO, DOWANS, IPTL, APR, KIWIRA POWER RESOURCE, SONGAS n.k. (xxiv) BENJAMINI MKAPA-Kalipotezea taifa zaidi ya Tsh Trillion 98.5 kwa miaka yake akiwa ikulu kwa miaka 10 (1995-2005) kwa kupitia uanzishaji wa EPA,, Kampuni za familia yake (ANGEN, FOSNIK, TANPOWER,) Ndege feki ya rais, RADA, utupaji mashirika ya umma, mikataba mibovu ya madini kwa masrahi binafsi,kuweka rais pandikizi-karumekenge badala ya Dr. Salim/Dr. Mwandosya, na kulea kampuni angamizi ya ITPL rooted from JK'S kasheshe (xxvi) WASIRA-Waziri - kilimo na chakula. -Alikiua kilimo tangu miaka ya sitini kwa maslahi yake binafsi. Kasambaza mbolea ya Minjingu iliyoua mazao ya mahindi, maharage, viazi mviringo nyanda za juu za kusini na kuuza mbolea ya zuku mwaka 2008.. a amekiua kilimo kwa kusambaza mbolea angamizi ya Minjingu hufanya mimea ivie ama kuzuia kukua ikichanganywa na mbolea zingine kama vile CAN, TAP, TSP,SA, UREA. Mbolea ya minjingu imewaliza wakulima wengi. (xxvii) MWANYIKA , MWANASHERIA MKUU Mstaafu,-Aliipotezea TZ zaidi ya billioni 987 kubariki RICHMOND na DOWANS, ,Buzwagi skando, kula rushwa kwa Wahindi ili waishi kwenye nyumba nzuri za National Housing kuliko wazawa, Ni fisadi anayetakiwa ajiuzuru mara moja.. Pia lilikuwa kwenye kamati ya kuchunguza wizi wa fedha za BOT (kupitia EPA), Je fisi anaweza kumchunguza fisi mwezie au kujihukumu mwenyewe? NEVER!!!!. Hiyo ni danganya toto (xxviii) SHUKRURU KAWAMBWA- Waziri Wizara zisizoelewka. Ametumikia wizara nne kwa muda wa miaka miwili na nusu na kila alipopita ameboronga 100%. Mfano , akiwa Wizara ya mifugo alisababisha upotevu wa zaidi ya Tsh million 1235 kwa kuzembea kuzuia makongamano,washa na semina mufilisi na safari za vigogo Ulaya, Americas na Asia kwa manufaa binafsi., Katika Wizara ya Miundo mbinu/Mibovu. Analea kampuni fisadishi ya Wahini reli ya kati (TRL) inayoligharimu taifa mamillioni ya fedha. Anavuruga kila mahali kwa vile amewekwa na mjombaye(Karumekenge )
(xxix) MKULO-GWIJI LA FEDHA- Anaendelea kupoteza zaidi ya Tsh billion 133/- kwa kushindwa kuelezea kuwa fedha hizo za EPA ziko wapi zinafanya nini. WANAZUONI wanabaini kuwa Mkulo ameamua kuunda EPA ya uchaguzi wa UCHAGUZI WA MWAKA 2010 ambapo atajumuisha na fedha aliyowaibia wacheza kamali wa DECI . Hyuyu ni fisadi al kutupwa. Pia ameshindwa kueleza mabillion ya Karumekenge yanafanya nini. Wataalamu wa kusoma nyakati wanabaini kuwa hiyo pesa imetunzwa kwa ajili ya EPA YA uchaguzi wa mwaka kesho 2010 MUNGU AKIWARUHUSU.. Anastahili kujiuzuru lakini kwa kiburi chake anasema hajiuzuru mtu. Yale yale ya fisadi ( papa)MRAMBA AKIWA WAZIRI WA FEDHA

(xxx) MAPAPA/MAGWIJI WA UFISADI (PINDA NA KARUMEKENGE-JK)
Ufisadi wote huu unasababishwa na Ndugu Pinda na Karumekenge kujihusisha na kuulinda ufisadi. Kwa mfano Pinda aliinfizwa mkenge na Mkulo katika saka la Kunyang'anya fedha ya walala hoi wa upatuDECI. Pinda aliingia kichwa kichwa. Akachukua Tsh zaidi ya billioni 40 za wala hoi, yatima, wajane na masikini wa taifa hili na kuwadanganya kuwa wanaziokoa na kuwarudishia pesa yao maskini hawa, Kumbe inasemekana ilikuwa mbinu ya kuongeza mfuko wa fedha za kampeini za uchaguzi wa CCM mwaka huu 2010.

Prof . MAGHEMBE
AMEAMUA KUUA ELIMU KAMA IFUATAVYO:
1a) VITUKO VYA MITIHANI KIDATO CHA NNE MWAKA 2010
Mitihani ming imeriki . ilikuwa imezagaa kama karatasi za kufungia maandazi ya mama LISHE

1b) VITUKO VYA MITIHANI YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2009 NA MATOKEO YAKE TAREHE 06/02/2010
(A) UONGO MKUBWA NA MBAYA
(i) Maghembe ulidanganya kuwa mitihani ya kidato cha nne mwaka 2009 hayakuvuja. Huu ulikuwa ni uongo MKUBWA kabisa kwani vijana walikuwa wakitembea nayo mitaani hiyo kama LESSO ya kujifutia uchafu. Mitihani ilisambaa kwenye SMS ya simu za watahiniwa katika mikoa mingi tu , hususani katika mikoa ya kanda ya mwahariki mwa Tanzania. Ndiyo maana Shule moja katika Manisipa ya Morogoro na nyingine mkoani Pwani ilibidi zifanye mitihani tofauti. Lakini wewe, maswahiba na wafuasi wako NECTA mlienndelea kuudanganya umma kuwa mitihani ya kuhitimu kidato cha nne 2009 haikuvuja. Hii kashifa kwa mtu mwenye akili timamu ilitosha kujiuzulu na kuachia walio na uwezo wa kudhibiti uozo huo uliokushinda.
(ii) Serikali ilipitisha kuwa wanafunzi wa kidato cha nne walipe ada ya shule tu
(school fees) , wasilipe ada ya mitihani (Exam fees). Serikali ilisema wazi kuwa private candidates ndio wanaostahili kulipia Exam fees (sijui ni wakimbizi!!! Au ni ubaguzi wa aina yake). Mbaya zaidi "worse enough" tarehe 2 na 3 /2/2010 ukatangaza kuwa watahiniwa wa kidato cha nne wapatao 8000 (school candates) hawatapata matokeo yao ya kidato cha nne , eti hawakulipa Exam fees na wengine 360 wa kidato cha sita wasifanye mitihani yao kwa vile hawakulipa Exam fees. Wanafunzi wote (kidato cha 4 na 6) walikuwa na haki na wana haki ya kisheria ya kutobughuziwa kwa swala la Exam fees maana serikali imeshafuta ada hiyo.
Tukichunguza zaidi kwa upande wa watahiniwa wa kidato cha nne wa mwaka jana (2009) tunaona kuwa ndugu Prof Maghembe unalinda ubadhilifu mkubwa katika wizara yako na jopo lote waendesha –NECTA. Inakuwaje mwanafunzi apewe namba ya mtihani kama hajalipia ada hiyo?. Mwanafunzi haruhisiwi kupata namba kama hajalipa Exam fees, je , namba walizipata wapi?. Hii inaonyesha uozo ulioukumbatia kwamba watoto hawa walilipa ada zao zikaliwa na mafisadi shuleni wakishirikiana na decays wa NECTA baadaye wakachagua baadhi ya majina ya watoto wa wakulima na kuwabambikia deni hilo ambalo kwa unyama huo itabidi walilipe ndipo wapate matokeo yao ili kufunika kombe mwanaharamu apite.
(iii) Ulitangaza kuwa mwaka huu (6/2/2010) kiwango cha kufaulu kimeshuka kwa kiwango cha 11% kutoka 75% ya mwaka jana 2009, hadi kufikia 72% kwa mwaka huu (6/2/2010). Tulitegemea mwaka huu kiwango cha kufaulu kingeshuka hadi kufikia 64% (yaani 75%-11% = 64%). Badala yake wewe ukasema kuwa watahiniwa wa mitihani ya kidato cha nne (2009) wamefaulu kwa kiwango cha 72%, Hata taahira si mbovu hivyo kimahesabu. On your own –shameful- ulitakiwa uwe umejiuzulu.. Pia matokeo hayo hayakujumuisha yale ya private candidates (form iv 2009) otherwise kiwango cha kufaulu kilistahili kuwa 42% tu. Worse enough the president and the Prime Minister of the United Republic of Tanzania are on Holidays of Favoring corruption and the corrupt Personnel.

(B) KUTAHINI KIHUNI NA KWA UBAGUZI WATAHINIWA- KIDATO CHA NNE
Maghembe umeleta ubaguzi kielimu (educational discrimination ) hasa katika mitihani ya kidato cha nne. Tunalaani upimaji kwa kutumia mitihani tofauti kwa wanafunzi waliosoma silabasi ile ile ya kidato cha nne. Maghembe , umeleta unyanyapaa kielimu kama ifuatavyo:
(i) Private candidates na school candidates kwa elimu ya Tanzania wanasoma silabasi ile ile (the same syllabus), lakini private candidate walipewa mitihani tofauti na school candidates. HIVI UMEAMUA KUWAFANYIA WATOTO WA KITANZANIA
T-TEST STATISTICS ILI UGUNDUE NINI? Tunaomba usiwafanyie majaribio Watanzania walioamua kuondoa Ujinga. T-test could apply if you will test your subordinates to compare the majority who sells NECTA EXAMAS and the minority (if any) who do not corrupt Form four exams.
(ii) Ubaguzi pia unakuja hivi: School candidate akipata passmark C, alama hiyo lwa private candidate ni D. Tulitegemea huyu School Candiate apate D badala ya C kwa sababu yeye anakaa darasani (muda wote ama full time. Lakini huyu mama ama baba (Private Candiate ) anajitahidi kwa kujiendeleza kwa fatiki kubwa akiwa na majukumu mengi yakiwemo ya kutunza familia, kuwajibika serikalini na kumtafutia ada (School fees) huyu School Candidate. Kama tungekuwa wakweli tungetegemea Private Candiate apate favour
(iii) Ubaguzi katika usahihishaji mitihani. Maghembe shamelessly umeruhusu usahihishaji wa kinyanyapaa. Yaani, wasahihishaji wamekuwa wakianza kusahihisha School Candidates , wakimaliza ndipo wanaanza kusahihisha mitihani ya Private Canddate. Hivyo wasahihishaji/msahihisaji huyo huwa amechoka sana. Anachofanya ni kulipua tu, yaani kugawa maksi zinazoishia wastani alama D ama F. Wasahihishaji hao wakifurahi sana wanatoa kiwango cha C ndiyo basi. Nasema hivyo kwa kuwa hapa DAR tumekuwa tukiwajumuiisha kwenye madarasa ya tuisheni hawa School Candidates na Private Candidates kwenye vituo vya kufundishia (Private Candiate) na kuwapa TESTS. Hapa unaweza kuwa na Private candiate 30 wenye uwezo mzuri na School Candiate 30 wenye uwezo mzuri kati ya wanafunzi 100 kwenye mchanganyiko huo. Pia unapowapima wote kwa kuwapa mitihani ya MOCK EXAM iliyopita , Utakuta kwamba wanafunzi hawa wa makundi mawili (PC na SC) wanafanya vizuri sana . Lakini inapofika kwenye matokeo ya From IV utakuta kundi la School Candidate wanasahihishwa kwanza na kupata stahili yao kwani wasahihishaji huwa hawajachoka, pia karibu wote ni waalimu wa School Candidates –yaani huanza kusahihisha watoto/wanafunzi/vijana wao. Lakini kundi la Private Candidae hufikiwa wakati wasahihishaji wakiwa wamechokatiki. Pia huwa wana mantiki kuwa Private Candiate wote si lolote .Hivyo Private Candidates hulimwa D F DFDFDFDF ama FDFDFDFD ama FCDFDFDFDF Kuonyesha kuwa matokeo hayo yamepangwa/yamepikwa. Ama yamefanywa na mtu ambaye alikuwa amechoka sana hasa baada ya kusahihisha Schooll Candidates. Sina maana ya kuwatetea Private Candiate , Najua kuwa kuna Private Candidates wenye uwezo na wasio na uwezo. Kwa hiyo walio na uwezo naomba wapewe haki yao kwa usahihishaji mzuri bila kuwanyanyapaa ili tuweze kupata taifa la watu walioelimika, ambao watakuwa wamepanua kiwango cha kufikri na kuwa na maamuzi mazuri kwa wakati unaofaa.. Maana huko PRIVATE CANDIDATES) wapo waliachwa kuchaguliwa wakiwa wamefaulu vizuri (wakati wa mfumo dume) kabla ya shule za YEBO YEBO. Wakati huo walikuwa wanachaguliwa wanafunzi wawili ama watatu kati ya wanafunzi 60 waliofaulu kutokana na kwamba walisoma wakati sekondari zilipokuwa chache kabla ya shule za YEBOYEBO. Wakati huo wanafunzi wengi wenye uwezo waliacha kutokana na Regional distribution. Kwa mfano, kama mkoa wenu unatakiwa utoe wanafunzi 400 tu kati ya wanafunzi kumi elfu (10000), ilibidi watoto wa waalimu, katibu kata, katibu tarafa, wakuu wa wilaya, OCD, RPC RC na viggogo wengine wapitishwe kwanza ndipo afikriwe mtoto wa mkulima kutoka Kondoa vijijini ama Mbozi vijijini n.k. Kwa hiyo tunaomba usahihishaji uwe FAIR ILI WATANZANIA WAMWONDOE ADUI UJINGA. Tuwe na kiu ya kuondoa ujinga bila upendeleo.



(C) KUWAKERA AMA KUWA-BOA (BOAR) WASAHIHISHAJI
Wasahihishaji walipomaliza kusahihisha mitihani ya School Candidates walikutana maswali tofauti kabisa yenye marking scheme (ya Private Candiate)tofauti kabisa na ya School Candidate. Wakaona hawaweza kuchezewa na wehu kama akina Maghembe na jopo lake la NECTA na wasaidizi wake pale wizarani. Wakapata PSYCHOLOGICAL LITHERGY pamoja na hasira kutokana na uhuni wa NECTA(, MAGHEMBE, NAIBU WAKE, WAKURUGENZI, MAKATIBU WAKUU WA WIZARA PAMOJA NA WAUZA MITIHANI YA NECTA). Hivyo wakaunda formula moja tu ya kuwapa watahiniwa hao pass ya D F DFDFDFDF ama FDFDFDFD ama FCDFDFDFDF na division IV ya point 30 hadi ama TOTAL FAILURE.(DFFFFFFFFF, AMA FFFFFFF AMA FFFFF).

(D) KUTOTAMBUA KUWA TANZANIA NI NCHI YA MWISHO KABISA KIELIMU KATIKA AFRICA YA MASHARIKI NA YA KATI
Maghembe anakatisha tama Watanzania wanaotaka kuiokoa Tanzania kwenye wimbi bovu lenye wasomi wachache. Watu hawa wanajitutumua kujiendeleza. Kwa bahati mbaya zaidi wanakumbana na wehu wa NECTA wakiongozwa na mchovu wa fikra (Maghembe) na timu yake wizarani. Kwa bahati mbaya zaidi Mtu wa kukemea naye hazimtoshi (Kikwete) Mtendaji wa serikali yake pia ana ugonjwa wa kushangaa . Akiona mambo yanakwenda kombo hufika pale penye kasheshe hiyo na kusema
"AMESHANGA" jambo hilo. Yeye akikutana na wahujumu uchumi ama wahujumu elimu huwa anaishia kushangaa tu badala ya kutoa tamuko kuwajibisha mafisadi hao. Wala hana ubavu wa kutoa maamuzi mazito na marekebisho makubwa. .


YAFUATAYO YANAFAA KUZINGATIWA:
  • Usahihishaji uanze kwa wakati mmoja kwa makundi yote mawili (private na school candidates) kuepuka ulipuaji wa ushahihishaji. Kwani wasahihishaji huwa ni waalimu waajiriwa wa Serikali wanaofundisha School Candidates. Wakiwa na Mentality (dhana) mbaya kuwa Private Candiate wote ni dhaifu, Kumbe kiukweli watu hawa huenda walikuwa bora sawasawa na waalimu wanaosahihisha ( kama tulivyoeleza hapo juu) , isipokuwa walikumbwa na mfumo dume uliokuwa unateua either mtoto wa mwalimu, katibu kata ama mkuu wa wilaya/mkoa, n.k. .Maana katika hao Private Candidates waliosoma kabla ya Mfumo mbaya (wa Prof Maghembe) , wapo waliojiendeleza na kufikia kuwa Maprofesa (ORODHA TUNAYO).
  • Kuwe na mtihani wa aina moja kwani watahiniwa hawa wana silabasi hiyo hiyo
  • Kusiwe na ubaguzi katika utoaji wa viwango vya madaraja, Private Candidate na wakipata C, wote wapewe hiyo alama bila kumnyanyapaa Private Candiate.
  • Kuanzia mwaka huu , Wakuu wa CENTER za masomo wanavyosomea Private Candiate tunawataka mara tu watoapo mitihani ya majaribio (test exams) wapeleke Marks/alama za mitihani ya mazoezi kwa wakuu wa sekondari ambako mwanafunzi/wanafunzi wamejiandikisha kufanyia mitihani yao ya NECTA(form iv na form vi). Hii itawasaidia wasahihisaji kujumuisha wastani wa marks za mazoezi ya darasani na marks anazopata mwanafunzi kwenye mitihani ya taifa (NECTA) kama vile anavyofanyiwa School Candiate. Hapo tutakuwa tumewapima sawasawa watahiniwa hawa wawili (Private and School Candidates).
  • NECTA waache kuigeuza mitihani ya kidato cha nne ( Private Candidate) kuwa BUSINESS. Maana imesikika kuwa NECTA wanatunga mitihani tofauti yenye maswali yaliyojinongorota/yaliyopinda kwa Private Candiates ili watahiniwa wengi wafeli na kujikuta kuwa ni wahanga au wateja tena mwaka unaofuata kwa manufaa wa mafisadi wa NECTA. Kwa maana kwamba MAFISADI WA NECTA WAKIKUSANYA FEDHA HIYO WAKAJUMLISHA NA YA FEDHA YA KUVUJISHA (KUUZA) MITIHANI , WANAKUWA PAZURI KIMAISHA. Tunawataka vingunge wa NECTA e.g. MAGHEMBE, M. MWANTUMU , KATINU MKUU WA WIZARA HIYO,MKURUGENZI MTENDAJI DR. NDA(NJAA), NA WENGINE WANAOHUSIKA NA SAKATA HILO LA KUDIDIMIZA ELIMU NCHINI WAWAJIBISHWE.
  • Tuige nchi za magharibi ambako mtu akichezea masilahi ya taifa huwa anatangaza kujitoa yeye mwenye kabla hajafukuzwa kwa kuwajibishwa. tunaomba mzee cheka cheka/mwanaanga (ASTRONOMIST--karumekenge-JK) na pinda muwe serious na masilahi ya taifa. ninyi mnafanyia mzaha haki ya mtanzania. cha maana kwenu ni kuishi angani kwa masilahi yenu binafsi na wake zenu , huku mkipuuzia masilahi ya wapiga kura wenu. Hivi kwenye kampeini za uchaguzi mwaka huu mnategemea kuja kutuambia upuuzi gani? Kuja kuzomewa na kusingizia kuwa mnazomewa kwa ajili ya shinikizo la vyama vya upinzani? tunaomba mfanye kazi mliyoimba wakati wa uchaguzi mwaka 2005.
"MUNGU MUUMBA TUNAOMBA UINGILIE KATI ULINUSURU TAIFA HILI NA DHAHAMA TARAJIWA"

2) VITUKO VYA MITIHANI YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2008 NA MATOKEO YAKE TAREHE 07/02/2009
(i) Maghembe aliwafumbia macho watu waliochini yake kukwapua zaidi ya
Tsh 130,000,000.00 kwa kuuza mitihani ya kidato cha nne mwaka 2008 plus uuzaji wa vyeti bandia kupitia NECTA
(ii) Alidanganya kuwa mitihani mingine haikuvuja isipokuwa mtihani wa Hisabati tu.mwaka 2008 Hii si kweli kwani mitihani yote ilikuwa imezagaa mithili ya maswali ya masomo kama Historia, Civics, Geografia, Kiswahili yalikuwa yanafungiwa kwenye karatasi walizokuwa wakiuzia maandazi na vitumbua akina Mama Lishe
(iii) wanafunzi ambao hawakusoma masomo takribani Chemistry, Physics walipewa credits kwenye masomo hayo kwenye matokeo yao, wanafunzi ambao (e.g. Wilaya ya Serengeti), wanafunzi ambao hawakuwa na History walijikuta wana alama ya B ama C kwenye matokeo yao.
(iv) Almost kila wilaya ilipewa mtihani wake tofauti, huku maghembe akinadi kuwa mitihani haikuvuja. Kama mitiani mingine haikuvuja , ni kwa nini sasa alisambaza mitihani tofauti kila wilaya ama mkoa nchini?.
(v) Wanafunzi ambao walifeli masomo yote walijikuta wameandikwa wamepasi masomo mawili au matatu. Inakuwaje mwanafunzi amefeli masomo yote saba ama manane (i.e. 8 Fs or 7Fs) anaandikiwa pass ya masomo mawili? Huu ni usanii wa hali ya juu sana.
(vi) Inasemekana kwamba baada ya Maghembe, Naibu wake, katibu wake na mkrugenzi mtendaji kugundua kuwa mitihani yote imevuja, alichokifanya ni kutafuta mbinu za kubaki madarakani. VIPI?. Ujanja aliotumia ni kuhakikisha shule nyingi zinafelishwa ili kuhakikisha uongo wake kuwa mitihani haikuvuja , pia aliiamrisha NECTA itoe namba tu kwenye matokea . Hivyo matokeao yakatoka kwenye internet yakiwa na namba tu bila majina ya watahiniwa. Hii ilimsaidia kuficha uozo wake na uozo wa NECTA na Wizara yake kwa ujumla.Kutokana na hayo, hivi kwanini NECTA, KATIBU MKUU WA WIZARA HINYO NA MAGHEMBE WASIJIUZULU? Otherwise, wanatujengea taifa la mazezeta. Kikwete na Pinda na Wabunge wamekauka, huenda wanapenda taifa liendeshwe kiukoo kwani watoto wao na wajukuu zao wako ACCESSIBLE KWENDA KUSOMA NJE ZA NCHI na kujiandaa kuja kutawala taifa hili kwa miaka nenda rudi (infinite time period)MAGHEMBE NA SUBORDINATES, CAN'T YOU FEEL SHAMEFUL ON Y YOURSELF AND DECLARE RESINING FOR THE BETTERMENT OF OUR NATION ????
KUNA GAZETI MOJA LINALOTOLEWA MARA MOJA KWA JUMA/WIKI LILISHASEMA KUWA "CCM"HATA WAKIWEKA NG'OMBE KWENYE KITI CHA URAIS AMA UBUNGE ATASHINDA KWA KISHINDO
"IT IS DEADLY DISSAPOITING"!!!!!

VIJANA UNAOWAONA HAPA CHINI WALICHUKULIWA WAKIWA WANAFANYA MTIHANI WA KUFUNGA MUHURA, VERY HUMOROUS/FUNNY











commissioner@coe.int,covdnhrc@nic.in,zittokabwe@gmail.com, kasimpya@gmail.com,akihaulle@gmail.com,pricekelly@yahoo.com,[COLOR=black]ps@pmo.go.tz,[/COLOR]kihaulle@gmail.com,luckytzine@gmail.com,mwanahabari@gmail.com,kasimpya@gmail.com,[COLOR=black]bdallahshah@hotmail.com,ps@pmo.go.tz,press@ikulu.go.tz,samsitta@parliament.go.tz,daimanews@yahoo.com,raiatz@gmail.com,zittokabwe@gmail.com,w[/COLOR]anabidii@googlegroups.com,[COLOR=black]press@ikulu.go.tz,[/COLOR]neemarug@yahoo.com,monikaike@hotmail.com,rsminuko@yahoo.co.uk,[COLOR=black]newsdesk@dailynewstsn.com[/COLOR],[B]kzitto@parliament.go.tz,[/B]wanabidii@googlegroups.com,mailbox@tanemb.se,[I][COLOR=black][I]sweden[/I][/COLOR][/I]@mfa.gov.lv,halihalisi06@yahoo.com,embesptz@mail.mae.es,dublin@mfa.ee,tazamanewspapers@yahoo.co.uk,fms@habari.co.tz, geertholm@yahoo.com,siwssem@twiga.com,dsl@dfait-maeci.gc.ca,finemb @twiga.com,ambfrance@africaaonline.co.tz,rok@intafrica.com, embruss@intafrica.com,compacc@cats-net.com,msthe@msthe.gotz,esnecta@necta.go.tz,
director@the.go.tz,sess@africaonline.co.tz,seija.inknen@ftpinter.fi,info@chadema.net





wanabidii@googlegroups.com,bjasor@um.dk,tanzparl@parliament.go.tz,
info@fes.or.tz,geertholm@yahoo.com,mailbox@tanemb.se,daramb@um.dk,daressalaam@mfa.no,embesptz@mail.mae.es,dublin@mfa.ee,ambassaden.dar.es.salaam@foreign.ministry.se,embassy.sweden@mfa.gov.lv,slydia527@aol.com,eap@habari.co.tz,info@vietnamemb.se,maryjacobi@shaw.ca,zittokabwe@gmail.com,samsitta@parliament.go.tz,halihalisi06@yahoo.com,tazamanewspapers@yahoo.co.uk,tec@cats-et.com,tcrs-singida@maf.org,fms@habari.co.tz,jrsng@habari.co.tz,newsdesk@dailynews-tsn.com,zittokabwe@gmail.com,siwssem@twiga.com,mailto@deltza.cec.eu.int,dsl@dfait-maeci.gc.ca,finemb@twiga.com,ambfrance@africaaonline.co.tz,rok@intafrica.com, embruss@intafrica.com,compacc@cats- net.com
 
Back
Top Bottom