GodfreyTajiri
JF-Expert Member
- Sep 26, 2010
- 986
- 655
wana jf, kwa kipindi cha zaidi ya wiki moja tumesikia madai ya ccm kwamba dr. slaa ni
mwanachama mwenye kadi (inayolipiwa) wa ccm. pamoja na mengi yanayozungumzwa
kuhusu hili lipo jambo ambalo naona wengi hawalizungumzii. nalo ni hili,
kwa kukiri hadharani kwamba dr. slaa ni mwanachama wa ccm, chama hiki tawala kinakiri
kwamba katika uchaguzi wa 2010 ccm ilisimamisha wagombea wawili wa urais ambao
ni wanachama wa chama hicho. binafsi hili naona ni tatizo kubwa ambalo tume ya uchaguzi
inabidi iingilie kati na kutangaza kwamba uchaguzi wa 2010 ulikuwa batili.
aidha kama ccm itadai dr. slaa si mwanachama wa ccm ila alikuwa analipia kadi yake tuu,
basi itabidi ccm ikiri kwamba ilikuwa inajipatia mapato isivyohalali kwa kupokea pesa za
kadi kutoka kwa raia ambaye si mwanachama wake. hapa itabidi warudishe pesa zote za malipo
ya ada ya "uanachama" wa dr. slaa.
tafadhali wataalamu wa katiba na sheria za uchaguzi tusaidieni katika hili.
mwanachama mwenye kadi (inayolipiwa) wa ccm. pamoja na mengi yanayozungumzwa
kuhusu hili lipo jambo ambalo naona wengi hawalizungumzii. nalo ni hili,
kwa kukiri hadharani kwamba dr. slaa ni mwanachama wa ccm, chama hiki tawala kinakiri
kwamba katika uchaguzi wa 2010 ccm ilisimamisha wagombea wawili wa urais ambao
ni wanachama wa chama hicho. binafsi hili naona ni tatizo kubwa ambalo tume ya uchaguzi
inabidi iingilie kati na kutangaza kwamba uchaguzi wa 2010 ulikuwa batili.
aidha kama ccm itadai dr. slaa si mwanachama wa ccm ila alikuwa analipia kadi yake tuu,
basi itabidi ccm ikiri kwamba ilikuwa inajipatia mapato isivyohalali kwa kupokea pesa za
kadi kutoka kwa raia ambaye si mwanachama wake. hapa itabidi warudishe pesa zote za malipo
ya ada ya "uanachama" wa dr. slaa.
tafadhali wataalamu wa katiba na sheria za uchaguzi tusaidieni katika hili.