Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,348
- 6,472
Prof. Kabudi asema waingereza hawakuacha kitu baada ya Tanganyika kupata uhuru - leo hii Tanzania Mainland, je historia yake ipo sahihi?
Hivi ile reli ya Tabora - Mwanza ni Mjerumani alijenga kweli?
Hivi huo mfumo wa demokrasia- na hapo ndani anaongea hivyo ni nchi gani iliuacha hapa Tanzania?
Hivi zile nyumba za 'uzunguni' katika mikoa mingi na wilaya ni Mjerumani ndio alizijenga?
Hivi ile reli ya Tabora - Mwanza ni Mjerumani alijenga kweli?
Hivi huo mfumo wa demokrasia- na hapo ndani anaongea hivyo ni nchi gani iliuacha hapa Tanzania?
Hivi zile nyumba za 'uzunguni' katika mikoa mingi na wilaya ni Mjerumani ndio alizijenga?