vunjajungu
JF-Expert Member
- Nov 25, 2011
- 576
- 240
Nitamwambia "dada umejing'ata"
Kama wewe ni mwanaume na umeona kitu hicho, kimaadili hutakiwi kuingilia. Ila kumsaidia unatafuta mwanamke na kumwomba ampashe habari mwenzake. Hiin kitu ilishanitokea kanisani, nikajifanya sijaona kitu ila nilimkonyeza mama mmoja pembeni yangu asaidie!
Akikataa kuokota akidhani umemtega utafanyaje?Namdondoshea k2 aokote akiinama kuokota na kisha kuinuka mnato utamwingia vzur so atachomoa mwenyewe.....
You made my day mkuu.Kuna bwana mmoja kanzu ilimuingia ivo,mwenzie akaona njia ya kumsaidia ni kuichomoa,jamaa kwa hasira akamkunja na kumwambia kwa nini uniguse kanzu yangu?mwenzie akamwambia samahani basi ngoja niirudishie ilivyokua!you can guess nn kilitokea!
hahaahahaaa mkuu juzi tu hapa nilikuwa nasubiri neema ya NECTA mke ntamtoa wapi mimi asee!!!!!