Arafat
JF-Expert Member
- Nov 17, 2009
- 2,581
- 758
Mwana-mama Lara Logan ambaye alikuwa aki-cover taarifa mbalimbali za Maandamano ya Wamisri katika kuukataa Utawala wa Mubaraka Alitekwa katika eneo la Tahrir square na Wanaume wapatao 200 na kumbaka pamoja na kumpa vipigo; Lara amefanya kazi nyingi za Habari Afghanistan, Iraq na Kosovo katika mazingira magumu wakati mwingine akifukuzwa kuwa labda ni Kachero wa Misri na huku akilaumiwa na kutengwa mara zote kwa kuwa si Muuislam, sasa ameishika katika kudharirishwa na hii Miislam yenzangu yenye Kichwa maji ambao wao kila siku jina la Kikristo uwatia kichefuchefu wakilisikia.
Hata hivyo akiwa bado katika vipigo Lara alinusuliwa na kikundi cha wakina-mama na Askali Jeshi wapatao 20. Hivi sasa yupo Marekani kwa matibabu.
Nalaani kitendo hicho kwa nguvu zangu zote na nina amini huo sio Uislam bali ni tabia na Ulka ya mtu binafsi, katika hili siungani na Waandamanaji waliomngoa Mubarak.
Ugua Pole Dada yangu Lara, nakutakia upone haraka na kurudi kazini, hata hapa kwetu Kubena alimwagiwa Tindikali, ndio ukikubali kufanya kazi Mochwari husiogope maiti.
Hata hivyo akiwa bado katika vipigo Lara alinusuliwa na kikundi cha wakina-mama na Askali Jeshi wapatao 20. Hivi sasa yupo Marekani kwa matibabu.
Nalaani kitendo hicho kwa nguvu zangu zote na nina amini huo sio Uislam bali ni tabia na Ulka ya mtu binafsi, katika hili siungani na Waandamanaji waliomngoa Mubarak.
Ugua Pole Dada yangu Lara, nakutakia upone haraka na kurudi kazini, hata hapa kwetu Kubena alimwagiwa Tindikali, ndio ukikubali kufanya kazi Mochwari husiogope maiti.