Kwa Kukengeuka na Kutukana simuungi mkono Nahodha wa Prisons, ila kwa tuhuma aliyoitoa dhidi ya Yanga namkubalia na Simba tumo pia

Nakubaliana na Wewe na hili pia Mkuu ila nataka tukemee hii tabia mbaya ( Utamaduni wa Kihuni ) ambao hata Sisi Simba SC pia tunao na Mimi kama GENTAMYCINE ( mwana Simba SC Mwenzako ) nalijua na hata nimeshawahi Kulishuhudia pia.

Tuache Unafiki wa Kuisema ( Kuikandamiza ) tu Yanga SC ila nasi pia tujikosoe kwa Afya ya Mpira wa Miguu wa Tanzania. Tena huenda Uchunguzi ukifanywa zaidi Sisi Simba SC tutakuja Kuumbuka zaidi.

Rejea tukio zima la Mchezaji Ulimboka Mwakingwe Simba SC ilipocheza na Mtibwa Sugar FC. Isingekuwa Mzee Kova ( RPC Mstaafu Dar es Salaam na mwana Simba SC Mwenzetu ) huyu Ulimboka alikuwa anaenda 'Kuozea' Jela.

Rejea Kauli ya zamani ya Kipa Shaaban Kado wa Mtibwa Sugar FC na hii ya Ramadhan Kabwili ya miaka ya karibuni wote wakiituhumu Simba SC kwa 'Uhuni' huu ambao leo 'tunawacheka' nao Watani zetu Wakubwa Yanga SC.
Humu JF watu wa aina yako hatufiki 5. Nafikiless people. Big up.
 
Kuna ambao hawataiona hoja yako iliposimama hasa kwa vile baadhi ya aya umeingiza utani wa jadi. Lakini hoja zako zote mbili zina mashiko.
1.Binafsi sikutegemea nahodha wa timu inayoahiriki Ligi kuu na FA kuwa "mshamba" kiasi kile. Timu inayotegemea kuwakilisha Taifa kimataifa inatakiwa kuongozwa na mtu anayejitambua na mwenye uwezo wa "kuchagua maneno". Nahodha anaongea kama shabiki wa Kijiwe Nongwa?
2.Tatizo la rushwa kwenye soka ni kubwa na si Tanzania tu bali ni Dunia nzima japo sababu zinatofautiana kulingana na maeneo ikiwemo hii ya Njaa za waamuzi, njaa za wachezaji, Kamali, status za matajiri nk. Mbali ya shughuli nyingine binafsi Mimi rafiki yako ni mwamuzi wa soka professionally. Najua ukweli wa unachoongea, siongezi kitu.
Nimekuelewa Mkuu na tupo pamoja.
 
Humu JF watu wa aina yako hatufiki 5. Nafikiless people. Big up.
Ahsante Mkuu. Katika Maisha yangu hakuna Mambo ambayo nayachukia kama Unafiki, Uonevu, Uwongo na Kujipendekeza kwa Mtu.

Na ni tabia zangu hizi Nne za Asili zimenifanya nichukiwe na Wapumbavu wengi katika Jamii ( hata Familia na Koo zangu ) huku nikipendwa na Watu Werevu ( Intelligent ) wachache mno ( katika Ndugu, Jamaa na Marafiki ) na ninamshukuru zaidi Mwenyezi Mungu kwa kunipa 'Ujasiri' wa kuwa hivi ( hivyo ) Mkuu.

Kuna Watu wamekariri kwakuwa GENTAMYCINE ni Simba SC Mwenzao basi katika hili ( Uhuni ) nitaikandamiza sana Yanga SC ( Watani zetu na Wapinzani wetu wakubwa ) ila Simba SC yangu nitaitetea na kuibeba katika hili. Nasisitiza tena kuwa hata Sisi Simba SC pia 'tunahonga' kama ambavyo Yanga SC nao 'wanahonga' Timu Pinzani.

Nichukieni ila huu ( huo ) ndiyo ukweli.
 
Ha ha ha! Kaka nilipata mashambulizi mazito toka sehumu flani hivi,nikabadili upepo! Nakumbuka siku ile kina Mgosi walikuja pale hostel,nikajua tu hawa watu,wana mambo yao! Hata kuna mchezaji mmoja anaitwa Nsaa Job,alishawahi sema hii kitu!
Simba na Yanga wanahonga sana Mkuu.
 
Kuna Watu mmenishangaza kweli kweli kwa Hoja yenu kwamba inawezekana vipi Yanga SC kutaka Kuhonga Tsh Milioni 40 wakati hata Kombe lenyewe halina Kiasi kikubwa cha Pesa?

Kitu pekee ambacho wengi wenu ( hasa Wanafiki ambao ni wana Yanga SC ) ni kwamba tayari Yanga SC imeshajua kuwa katika Ligi Kuu ya VPL mbele ya Simba SC hawana chao tena.

Hivyo basi ili Uongozi wa Yanga SC na hasa hasa Wadhamini wao GSM kupitia Injinia Hersi ( ambaye aliwaaminisha wana Yanga ) kuwa iwe isiwe mwaka huu Yanga SC ni Bingwa wa VPL na isipokuwa basi aulizwe Yeye.

Katika hali ya Kutuliza Presha wanachokifanya sasa GSM kupitia Injinia Hersi ni kutumia Gharama yoyote ( hasa ya Rushwa ) ili angalau Yanga SC iweze kufika mbali katika Kombe la ASFC ( FA ) na ikiwezekana ichukue Ubingwa ili wawe na Kitu cha Kujitetea na Kutuliza Presha za Mashabiki wao ambao wameshakata tamaa sasa.

Na kingine kinachowatesa Yanga SC sasa na ndiyo maana hata wanahangaika Kuhonga hivi ni kwamba wameshajua kuwa Msimu ujao Tanzania inaingiza Timu Nne ( 4 ) hivyo kwa kutokutaka Aibu hiyo ya Kubebwa na Mafanikio ya Simba SC na Namungo FC wanahaha ( wanahangaika ) mno wabebe Kombe la ASFC ili wawe wamejibeba wenyewe Kimataifa na isiwe wamebebwa na Mtani wao wa Jadi Simba SC.

Nikiwa kama Mdau mkubwa tu wa Michezo ( hasa Soka la Tanzania ) sijakubaliana na Kauli ya Kihuni na isiyo ya Kiungwana na Uanamichezo iliyotolewa na Nahodha wa Prisons FC Benjamin Asukile na ningemshauri Yeye binafsi pamoja na Uongozi wa Prisons FC upesi sana utuombe Radhi ( Msamaha ) Sisi Wadau wa Michezo na hata Watanzania wote kwa Ujumla.

Kuhusu Tuhuma aliyoitoa ya Wao ( Wachezaji ) wa Prisons FC kutaka Kuhongwa na Yanga Tsh Milioni 40 hizo GENTAMYCINE nakubaliana nae tena kwa 100% kutokana na kwamba nipo katika Mpira wa Tanzania ( Bongo ) na Michezo hii ya Hatari nimeshawahi Kuishuhudia binafsi na hata baadhi ya Wachezaji Waandamizi wa Vilabu Vikubwa nchini ambao ni Marafiki zangu wameshawahi kuniambia hili.

Tatizo lenu wengi wenu hapa JamiiForums hamtunzi Kumbukumbu ila mwaka Jana nakumbuka GENTAMYCINE niliwahi Kuandika Uzi kuwa Mchezaji Swedi aliyekuwa akichezea Klabu yake ya Kagera Sugar ( Kocha akiwa Rafiki yangu Mecky Maxime ) iliyocheza na Yanga SC katika Ligi Kuu Kipindi cha Kwanza waliibania Yanga SC vilivyo.

Walipoenda Mapumziko waliambiwa na Mmoja wa Kiongozi wao kuwa Miamala yao imesoma tayari hivyo wakiingia wasibane ( wasikaze ) tena na kweli wao hawakufanya hivyo na kweli Yanga SC ikashinda Mechi hiyo.

Baada ya Mechi hiyo Kumalizika na Yanga SC kushinda Mchezaji Swedi alipowasha Simu yake ili aangalie Salio la Hela waliyoahidiwa na Yanga SC akakuta Yeye hajawekewa ndipo kwa Hasira Kesho yake akapanda Basi na kuja Dar es Salaam na hadi Kuamua kuachana pia na Soka la Tanzania.

Nina Mwamuzi Mmoja Rafiki yangu ( anatokea Jeshini ) Wiki Mbili tu zimepita aliwahi kuniambia kuwa amewasikia Waamuzi kadhaa wa Ligi Kuu wakisema kuwa TFF watawafungia sana tu ila Wao wakipewa Hongo ( Rushwa ) kutoka Azam, Simba na Yanga kuanzia Tsh Milioni 20 mpaka 30 ili wawabebe ( wawapendelee ) hawatoziacha kwani hata wao pia wana Shida na Familia zao pia.

Na mwisho naomba bila Unafiki katika hili GENTAMYCINE nisiiseme tu Yanga SC na niseme tu ukweli ( japo najua kuna Watu nitawakera kwakuwa ni Mwenzao ) kuwa hata Sisi Simba SC ( Timu yangu pendwa ) Michezo hii tunaifanya ( tunaicheza ) sana hivyo Simba na Yanga ni tatizo kubwa la Maendeleo ya Soka la Tanzania.

Na kama kuna Mtu ambaye nawaombeni mkipata muda nendeni mkamuulize juu ya Upangaji wa Matokeo na kusumbuliwa na Vilabu vya Azam, Simba na Yanga ni aliyekuwa Kocha wa Kagera Sugar ( zamani Mtibwa Sugar ) Kocha Mecky Maxime kwani kwa hili Yeye ni Mhanga sana.

Rushwa katika Soka la Tanzania ipo tu.
Ungemalizia na kusema iwapo ni kweli prison walikataa m 40 ya Yanga basi kuna dau kubwa zaidi ya hilo walihaidiwa iwapo wataifunga Yanga,asukile pale alionyesha hasira zake kwa baada ya kukosa huku na huku
 
Ha ha ha! Kaka nilipata mashambulizi mazito toka sehumu flani hivi,nikabadili upepo! Nakumbuka siku ile kina Mgosi walikuja pale hostel,nikajua tu hawa watu,wana mambo yao! Hata kuna mchezaji mmoja anaitwa Nsaa Job,alishawahi sema hii kitu!
Ilikua villa squard na simba pale taifa,villa wakashinda goli 1,kama sikosei goli la kona alifunga jamaa yangu george nketo kaseja akadai jua lilimpiga usoni akuliona lile goli,baada ya game nsa akadai madai kama yale ya asukile
 
Kuna Watu mmenishangaza kweli kweli kwa Hoja yenu kwamba inawezekana vipi Yanga SC kutaka Kuhonga Tsh Milioni 40 wakati hata Kombe lenyewe halina Kiasi kikubwa cha Pesa?

Kitu pekee ambacho wengi wenu ( hasa Wanafiki ambao ni wana Yanga SC ) ni kwamba tayari Yanga SC imeshajua kuwa katika Ligi Kuu ya VPL mbele ya Simba SC hawana chao tena.

Hivyo basi ili Uongozi wa Yanga SC na hasa hasa Wadhamini wao GSM kupitia Injinia Hersi ( ambaye aliwaaminisha wana Yanga ) kuwa iwe isiwe mwaka huu Yanga SC ni Bingwa wa VPL na isipokuwa basi aulizwe Yeye.

Katika hali ya Kutuliza Presha wanachokifanya sasa GSM kupitia Injinia Hersi ni kutumia Gharama yoyote ( hasa ya Rushwa ) ili angalau Yanga SC iweze kufika mbali katika Kombe la ASFC ( FA ) na ikiwezekana ichukue Ubingwa ili wawe na Kitu cha Kujitetea na Kutuliza Presha za Mashabiki wao ambao wameshakata tamaa sasa.

Na kingine kinachowatesa Yanga SC sasa na ndiyo maana hata wanahangaika Kuhonga hivi ni kwamba wameshajua kuwa Msimu ujao Tanzania inaingiza Timu Nne ( 4 ) hivyo kwa kutokutaka Aibu hiyo ya Kubebwa na Mafanikio ya Simba SC na Namungo FC wanahaha ( wanahangaika ) mno wabebe Kombe la ASFC ili wawe wamejibeba wenyewe Kimataifa na isiwe wamebebwa na Mtani wao wa Jadi Simba SC.

Nikiwa kama Mdau mkubwa tu wa Michezo ( hasa Soka la Tanzania ) sijakubaliana na Kauli ya Kihuni na isiyo ya Kiungwana na Uanamichezo iliyotolewa na Nahodha wa Prisons FC Benjamin Asukile na ningemshauri Yeye binafsi pamoja na Uongozi wa Prisons FC upesi sana utuombe Radhi ( Msamaha ) Sisi Wadau wa Michezo na hata Watanzania wote kwa Ujumla.

Kuhusu Tuhuma aliyoitoa ya Wao ( Wachezaji ) wa Prisons FC kutaka Kuhongwa na Yanga Tsh Milioni 40 hizo GENTAMYCINE nakubaliana nae tena kwa 100% kutokana na kwamba nipo katika Mpira wa Tanzania ( Bongo ) na Michezo hii ya Hatari nimeshawahi Kuishuhudia binafsi na hata baadhi ya Wachezaji Waandamizi wa Vilabu Vikubwa nchini ambao ni Marafiki zangu wameshawahi kuniambia hili.

Tatizo lenu wengi wenu hapa JamiiForums hamtunzi Kumbukumbu ila mwaka Jana nakumbuka GENTAMYCINE niliwahi Kuandika Uzi kuwa Mchezaji Swedi aliyekuwa akichezea Klabu yake ya Kagera Sugar ( Kocha akiwa Rafiki yangu Mecky Maxime ) iliyocheza na Yanga SC katika Ligi Kuu Kipindi cha Kwanza waliibania Yanga SC vilivyo.

Walipoenda Mapumziko waliambiwa na Mmoja wa Kiongozi wao kuwa Miamala yao imesoma tayari hivyo wakiingia wasibane ( wasikaze ) tena na kweli wao hawakufanya hivyo na kweli Yanga SC ikashinda Mechi hiyo.

Baada ya Mechi hiyo Kumalizika na Yanga SC kushinda Mchezaji Swedi alipowasha Simu yake ili aangalie Salio la Hela waliyoahidiwa na Yanga SC akakuta Yeye hajawekewa ndipo kwa Hasira Kesho yake akapanda Basi na kuja Dar es Salaam na hadi Kuamua kuachana pia na Soka la Tanzania.

Nina Mwamuzi Mmoja Rafiki yangu ( anatokea Jeshini ) Wiki Mbili tu zimepita aliwahi kuniambia kuwa amewasikia Waamuzi kadhaa wa Ligi Kuu wakisema kuwa TFF watawafungia sana tu ila Wao wakipewa Hongo ( Rushwa ) kutoka Azam, Simba na Yanga kuanzia Tsh Milioni 20 mpaka 30 ili wawabebe ( wawapendelee ) hawatoziacha kwani hata wao pia wana Shida na Familia zao pia.

Na mwisho naomba bila Unafiki katika hili GENTAMYCINE nisiiseme tu Yanga SC na niseme tu ukweli ( japo najua kuna Watu nitawakera kwakuwa ni Mwenzao ) kuwa hata Sisi Simba SC ( Timu yangu pendwa ) Michezo hii tunaifanya ( tunaicheza ) sana hivyo Simba na Yanga ni tatizo kubwa la Maendeleo ya Soka la Tanzania.

Na kama kuna Mtu ambaye nawaombeni mkipata muda nendeni mkamuulize juu ya Upangaji wa Matokeo na kusumbuliwa na Vilabu vya Azam, Simba na Yanga ni aliyekuwa Kocha wa Kagera Sugar ( zamani Mtibwa Sugar ) Kocha Mecky Maxime kwani kwa hili Yeye ni Mhanga sana.

Rushwa katika Soka la Tanzania ipo tu.
Hata simba nawajua mimi kuwa wanafanta hivi sana,unamkumbuka jabir shikamkono?,yapo matukio mengi sana nukipata muda nitayamwaga hapa
 
Hivi Simba wangekuwa wanahonga wangekataliwa magoli halali kama lile la Gwambina au wangefungwa kwa penati ya madhambi nje ya box au kunyimwa penati na wachezaji wake kuchezewa rafu bila kupewa kadi.
Utopolo baada ya kushindwa kuwahonga prison walihonga marefa kwisha mchezo. Prison walivyo mazuzu wakataka wafunge magoli ndani ya 18 badala ya kufunga magoli dizaini ya Shabalala au Prince Dube mbayo refa hana ujanja nayo
 
Ukiachana na hizi tuhuma mnazotaka kuijumuisha na Simba. Mjue kuwa mpira hauchezwi chumbani, mpira unachezwa uwanjani na sote tunaona.

Simba wanacheza soka safi tu pale uwanjani na wanapata ushidi kihalali uwanjani tena kwa kiutawala timu pinzani kila idala.

Hawa yanga mpira wanao cheza wote tunauona timu hata kupiga pasi 6 tu ni mtihani sa hapo unategemea nini Kama si kuhonga marefa na wachezaji?
Walisomea watu visomo hapa juzi tu.
Wakatishia kujitoa kwenye ligi na maandamano sasa leo ni lipi la kushangaa?

Kama Simba imefika hatua Inapata ushindi ugenini dhidi ya Platieu.
Inapata ushishidi ugenini dhidi ya Vita Club.
Inashida dhidi ya Ahaly na kucheza soka safi nyumbani na ugenini eti leo ije kuwaogopa Ihefu au kagera sugar hadi wahonge hela?

Hilo haliingii akilini tena kwa mpira wanao cheza mmh labda hayo mambo yalikuwa miaka hiyo ila kwasasa hapana.

Hizo 40m si Bora wampe bonus Luis, Chama, Lwanga na Onyango wacheze tu kwa hamasa ya hali ya juu basi ushindi ni uhakika mbele ya timu yoyote hapa bongo, hakuna haja ya kuhonga honga.
 
Hivi Simba wangekuwa wanahonga wangekataliwa magoli halali kama lile la Gwambina au wangefungwa kwa penati ya madhambi nje ya box au kunyimwa penati na wachezaji wake kuchezewa rafu bila kupewa kadi.
Utopolo baada ya kushindwa kuwahonga prison walihonga marefa kwisha mchezo. Prison walivyo mazuzu wakataka wafunge magoli ndani ya 18 badala ya kufunga magoli dizaini ya Shabalala au Prince Dube mbayo refa hana ujanja nayo
Shangaa na wewe mkuu
 
Hivi Simba wangekuwa wanahonga wangekataliwa magoli halali kama lile la Gwambina au wangefungwa kwa penati ya madhambi nje ya box au kunyimwa penati na wachezaji wake kuchezewa rafu bila kupewa kadi.
Utopolo baada ya kushindwa kuwahonga prison walihonga marefa kwisha mchezo. Prison walivyo mazuzu wakataka wafunge magoli ndani ya 18 badala ya kufunga magoli dizaini ya Shabalala au Prince Dube mbayo refa hana ujanja nayo
UMEMALIZA KILA KITU HAPA. HII POINT YA KUFUNGIA MJADALA. UBARIKIWE SANA
 
Kuna Watu mmenishangaza kweli kweli kwa Hoja yenu kwamba inawezekana vipi Yanga SC kutaka Kuhonga Tsh Milioni 40 wakati hata Kombe lenyewe halina Kiasi kikubwa cha Pesa?

Kitu pekee ambacho wengi wenu ( hasa Wanafiki ambao ni wana Yanga SC ) ni kwamba tayari Yanga SC imeshajua kuwa katika Ligi Kuu ya VPL mbele ya Simba SC hawana chao tena.

Hivyo basi ili Uongozi wa Yanga SC na hasa hasa Wadhamini wao GSM kupitia Injinia Hersi ( ambaye aliwaaminisha wana Yanga ) kuwa iwe isiwe mwaka huu Yanga SC ni Bingwa wa VPL na isipokuwa basi aulizwe Yeye.

Katika hali ya Kutuliza Presha wanachokifanya sasa GSM kupitia Injinia Hersi ni kutumia Gharama yoyote ( hasa ya Rushwa ) ili angalau Yanga SC iweze kufika mbali katika Kombe la ASFC ( FA ) na ikiwezekana ichukue Ubingwa ili wawe na Kitu cha Kujitetea na Kutuliza Presha za Mashabiki wao ambao wameshakata tamaa sasa.

Na kingine kinachowatesa Yanga SC sasa na ndiyo maana hata wanahangaika Kuhonga hivi ni kwamba wameshajua kuwa Msimu ujao Tanzania inaingiza Timu Nne ( 4 ) hivyo kwa kutokutaka Aibu hiyo ya Kubebwa na Mafanikio ya Simba SC na Namungo FC wanahaha ( wanahangaika ) mno wabebe Kombe la ASFC ili wawe wamejibeba wenyewe Kimataifa na isiwe wamebebwa na Mtani wao wa Jadi Simba SC.

Nikiwa kama Mdau mkubwa tu wa Michezo ( hasa Soka la Tanzania ) sijakubaliana na Kauli ya Kihuni na isiyo ya Kiungwana na Uanamichezo iliyotolewa na Nahodha wa Prisons FC Benjamin Asukile na ningemshauri Yeye binafsi pamoja na Uongozi wa Prisons FC upesi sana utuombe Radhi ( Msamaha ) Sisi Wadau wa Michezo na hata Watanzania wote kwa Ujumla.

Kuhusu Tuhuma aliyoitoa ya Wao ( Wachezaji ) wa Prisons FC kutaka Kuhongwa na Yanga Tsh Milioni 40 hizo GENTAMYCINE nakubaliana nae tena kwa 100% kutokana na kwamba nipo katika Mpira wa Tanzania ( Bongo ) na Michezo hii ya Hatari nimeshawahi Kuishuhudia binafsi na hata baadhi ya Wachezaji Waandamizi wa Vilabu Vikubwa nchini ambao ni Marafiki zangu wameshawahi kuniambia hili.

Tatizo lenu wengi wenu hapa JamiiForums hamtunzi Kumbukumbu ila mwaka Jana nakumbuka GENTAMYCINE niliwahi Kuandika Uzi kuwa Mchezaji Swedi aliyekuwa akichezea Klabu yake ya Kagera Sugar ( Kocha akiwa Rafiki yangu Mecky Maxime ) iliyocheza na Yanga SC katika Ligi Kuu Kipindi cha Kwanza waliibania Yanga SC vilivyo.

Walipoenda Mapumziko waliambiwa na Mmoja wa Kiongozi wao kuwa Miamala yao imesoma tayari hivyo wakiingia wasibane ( wasikaze ) tena na kweli wao hawakufanya hivyo na kweli Yanga SC ikashinda Mechi hiyo.

Baada ya Mechi hiyo Kumalizika na Yanga SC kushinda Mchezaji Swedi alipowasha Simu yake ili aangalie Salio la Hela waliyoahidiwa na Yanga SC akakuta Yeye hajawekewa ndipo kwa Hasira Kesho yake akapanda Basi na kuja Dar es Salaam na hadi Kuamua kuachana pia na Soka la Tanzania.

Nina Mwamuzi Mmoja Rafiki yangu ( anatokea Jeshini ) Wiki Mbili tu zimepita aliwahi kuniambia kuwa amewasikia Waamuzi kadhaa wa Ligi Kuu wakisema kuwa TFF watawafungia sana tu ila Wao wakipewa Hongo ( Rushwa ) kutoka Azam, Simba na Yanga kuanzia Tsh Milioni 20 mpaka 30 ili wawabebe ( wawapendelee ) hawatoziacha kwani hata wao pia wana Shida na Familia zao pia.

Na mwisho naomba bila Unafiki katika hili GENTAMYCINE nisiiseme tu Yanga SC na niseme tu ukweli ( japo najua kuna Watu nitawakera kwakuwa ni Mwenzao ) kuwa hata Sisi Simba SC ( Timu yangu pendwa ) Michezo hii tunaifanya ( tunaicheza ) sana hivyo Simba na Yanga ni tatizo kubwa la Maendeleo ya Soka la Tanzania.

Na kama kuna Mtu ambaye nawaombeni mkipata muda nendeni mkamuulize juu ya Upangaji wa Matokeo na kusumbuliwa na Vilabu vya Azam, Simba na Yanga ni aliyekuwa Kocha wa Kagera Sugar ( zamani Mtibwa Sugar ) Kocha Mecky Maxime kwani kwa hili Yeye ni Mhanga sana.

Rushwa katika Soka la Tanzania ipo tu.
Umesema michezo ya rushwa inafanywa sana timu za Yanga, Simba na Azam. Lakini uzi wako wote umeanisha rushwa wazifanyazo timu ya Yanga. Hakuna uthibitisho/ushahidi kuonesha Simba na Azam wamehusika katika hayo. Acha unafiki kijana
 
Hizi team Kubwa za kibongo wanasajiri kwa pesa nyingi, wana leta makocha kutoka nje, wanahonga marefa wanazifanyia figisu team ndogo na bado wana ongeza nguvu za waganga
 
Umesema michezo ya rushwa inafanywa sana timu za Yanga, Simba na Azam. Lakini uzi wako wote umeanisha rushwa wazifanyazo timu ya Yanga. Hakuna uthibitisho/ushahidi kuonesha Simba na Azam wamehusika katika hayo. Acha unafiki kijana
Don't waste my time you typical Moron.
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom