Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,946
Kwa kuwa Wakenya hawataki bidhaa za Tanzania ziuzwe kwao (japo ni hodari kwa kutaka soko huru EAC) basi nasi tuzigomee bidhaa zao KWA KUANZIA NA TUSKER. Na asitokee mtu kudai kuwa tusker ni ya Serengeti breweries hiyo ni ya Wakenya!