Kwa kiwango hiki cha kupinga, Tuombe Mungu nchi isiingie kwenye mgogoro na nchi nyingine

Mtemi Mojo

Member
Dec 17, 2017
39
44
Mwaka '78 Wakati mtukufu Rais J. K Nyerere anawatangazia waTanzania kuhusu uamuzi wa baraza lake kuingia vitani, kiwango cha uzalendo kati ya makundi yote ya jamii Ulikua ni wa kiwango kikubwa.

Wananchi walijitolea mali zao, fedha, Mifugo, na hata kujitolea maisha yao kwa ajili ya kumuondoa nduli Amin. Ukitazama taswira ya Kipindi kile ukalinganisha na sasa utabaki unaisikitikia nchi.

Ni kweli tunapaswa kupaza sauti zetu pale uhuru wetu unapowekwa hatarini, tunapaswa kudai haki zetu za msingi maana hakuna kamwe mipaka ya haki. Lakini ukiangalia kwa ndani, hii inayoitwa vita dhidi ya ukandamizaji wa haki tunaidai visivyo, na kamwe hatutashinda.

Yamekua yanatumika matusi ya nguoni dhidi ya yeyote anayekuwa na maoni tofauti. Yaani sometimes unajiuliza, kama hawa wanaodai haya wakipewa mamlaka si watawachoma moto wanaowapinga. Tunadai tunapambania uhuru wa maoni wakati tunawatukana wenye maoni tofauti na maoni yetu, this doesn't make sense.

Tumekua na Tabia nyingine ya hovyo ya kupinga hata miradi ya maendeleo. Yaani watanzania tunakua tunaombea tushindwe kwenye Mambo ya kitaifa ili tu waliopo madarakani waonekane wanashindwa. Angalia mifano hai kwenye issue ya kufufua Air Tanzania, issue ya makinikia, watu wanapinga hata ujenzi wa Bwawa la kufua Umeme. Tizama leo Zitto anapinga ujenzi wa flyovers dsm. Yaani ni sawa na kuiroga nchi yako. Unatamani nchi ifeli ili upate cha kuattack. Ni uchawi. Nchi zote hupingana pia, ila kwenye issues za nchi hushikamana.

Najiuliza, hivi ikitokea nchi inatuhitaji, watakuepo walio tayari kujitolea mali, fedha, Mifugo, na hata uhai kwa ajili ya Tanzania? Naamini wapo, TUPO,. tupo tunaoamini kuna vitu vitatu tu vya kuweza kutoa uhai wako kuvilinda, Mungu, Familia, Nchi. In that order. Ila najua kabisa wapo ambao watakua wanatusaliti. Wapo watakaokuwa wanatamani nchi ishindwe.

Mungu ibariki Tanzania.
 
Wachochezi wanaokimbilia nje na kudhani wanaenda kupewa msaada kumbe matatizo, solution nikuwaondoa kimya kimya ki sasa kama walivyofanya SA na ZIMBABWE nothing else uwoga una maliza nchi!!
 
Mwaka '78 Wakati mtukufu Rais J. K Nyerere anawatangazia waTanzania kuhusu uamuzi wa baraza lake kuingia vitani, kiwango cha uzalendo kati ya makundi yote ya jamii Ulikua ni wa kiwango kikubwa.

Wananchi walijitolea mali zao, fedha, Mifugo, na hata kujitolea maisha yao kwa ajili ya kumuondoa nduli Amin. Ukitazama taswira ya Kipindi kile ukalinganisha na sasa utabaki unaisikitikia nchi.

Ni kweli tunapaswa kupaza sauti zetu pale uhuru wetu unapowekwa hatarini, tunapaswa kudai haki zetu za msingi maana hakuna kamwe mipaka ya haki. Lakini ukiangalia kwa ndani, hii inayoitwa vita dhidi ya ukandamizaji wa haki tunaidai visivyo, na kamwe hatutashinda.

Yamekua yanatumika matusi ya nguoni dhidi ya yeyote anayekuwa na maoni tofauti. Yaani sometimes unajiuliza, kama hawa wanaodai haya wakipewa mamlaka si watawachoma moto wanaowapinga. Tunadai tunapambania uhuru wa maoni wakati tunawatukana wenye maoni tofauti na maoni yetu, this doesn't make sense.

Tumekua na Tabia nyingine ya hovyo ya kupinga hata miradi ya maendeleo. Yaani watanzania tunakua tunaombea tushindwe kwenye Mambo ya kitaifa ili tu waliopo madarakani waonekane wanashindwa. Angalia mifano hai kwenye issue ya kufufua Air Tanzania, issue ya makinikia, watu wanapinga hata ujenzi wa Bwawa la kufua Umeme. Tizama leo Zitto anapinga ujenzi wa flyovers dsm. Yaani ni sawa na kuiroga nchi yako. Unatamani nchi ifeli ili upate cha kuattack. Ni uchawi. Nchi zote hupingana pia, ila kwenye issues za nchi hushikamana.

Najiuliza, hivi ikitokea nchi inatuhitaji, watakuepo walio tayari kujitolea mali, fedha, Mifugo, na hata uhai kwa ajili ya Tanzania? Naamini wapo, TUPO,. tupo tunaoamini kuna vitu vitatu tu vya kuweza kutoa uhai wako kuvilinda, Mungu, Familia, Nchi. In that order. Ila najua kabisa wapo ambao watakua wanatusaliti. Wapo watakaokuwa wanatamani nchi ishindwe.

Mungu ibariki Tanzania.
Ikifika mahali mwananchi anaichukia nchi take mwenyewe huwa IPO sababu. hill haliwezi kutokea kwa bahati mbaya. msingi wa uzalendo ni haki Uhuru na AMANI. MTU anapokosa mojawapo ya vitu. hivyo haoni sababu ya kuwa mzalendo. Bali nafasi hiyo ya uzalendo huitumia kudai vitu hivyo 3. na vikipatikaba mara mwanadamu hurejea haraka kwenye uzalendo
Kinachotokea kwenye taifa letu kwa sasa haki ya msingi ya kuishiinadhulumiwa Uhuru wa kujieleza unatoweka na ile AMANI tuliyojinasibu kuwa NATO kwa miaka mingi INA kila dalili ya kutokomea. haya yakiebdelea kuachwa kwa watawala tuendako c salama. Mungu awasaidie watawala wetu kuliona hili na kuchukua hatua syahiki itakayoleta harufu mpya ya utaifa na uzalendo
 
Mwaka '78 Wakati mtukufu Rais J. K Nyerere anawatangazia waTanzania kuhusu uamuzi wa baraza lake kuingia vitani, kiwango cha uzalendo kati ya makundi yote ya jamii Ulikua ni wa kiwango kikubwa.

Wananchi walijitolea mali zao, fedha, Mifugo, na hata kujitolea maisha yao kwa ajili ya kumuondoa nduli Amin. Ukitazama taswira ya Kipindi kile ukalinganisha na sasa utabaki unaisikitikia nchi.

Ni kweli tunapaswa kupaza sauti zetu pale uhuru wetu unapowekwa hatarini, tunapaswa kudai haki zetu za msingi maana hakuna kamwe mipaka ya haki. Lakini ukiangalia kwa ndani, hii inayoitwa vita dhidi ya ukandamizaji wa haki tunaidai visivyo, na kamwe hatutashinda.

Yamekua yanatumika matusi ya nguoni dhidi ya yeyote anayekuwa na maoni tofauti. Yaani sometimes unajiuliza, kama hawa wanaodai haya wakipewa mamlaka si watawachoma moto wanaowapinga. Tunadai tunapambania uhuru wa maoni wakati tunawatukana wenye maoni tofauti na maoni yetu, this doesn't make sense.

Tumekua na Tabia nyingine ya hovyo ya kupinga hata miradi ya maendeleo. Yaani watanzania tunakua tunaombea tushindwe kwenye Mambo ya kitaifa ili tu waliopo madarakani waonekane wanashindwa. Angalia mifano hai kwenye issue ya kufufua Air Tanzania, issue ya makinikia, watu wanapinga hata ujenzi wa Bwawa la kufua Umeme. Tizama leo Zitto anapinga ujenzi wa flyovers dsm. Yaani ni sawa na kuiroga nchi yako. Unatamani nchi ifeli ili upate cha kuattack. Ni uchawi. Nchi zote hupingana pia, ila kwenye issues za nchi hushikamana.

Najiuliza, hivi ikitokea nchi inatuhitaji, watakuepo walio tayari kujitolea mali, fedha, Mifugo, na hata uhai kwa ajili ya Tanzania? Naamini wapo, TUPO,. tupo tunaoamini kuna vitu vitatu tu vya kuweza kutoa uhai wako kuvilinda, Mungu, Familia, Nchi. In that order. Ila najua kabisa wapo ambao watakua wanatusaliti. Wapo watakaokuwa wanatamani nchi ishindwe.

Mungu ibariki Tanzania.

Kwanza J K Nyerere hajawahi kuwa Mtukufu bali Ndugu Rais.

Pili katika maelezo yako yote umejikita katika uhuru wa mawazo wa pande mbili zinazo sigishana lakini wakati huo huo ukiaminiupandemmojandio sahihi zaidi mwingine nikupinga. Hoja ya miradi ya maendeleo kwa mfano kununua ndege ni sawa laikini ichambuliwe pumba zitolewe ili uamuzi unapo fikiwa usiwe wa hasara na gharama, huu ndio msingi wa democrasia na kuwepo kwa Bunge bila kujali wingi wa wabunge wapo upande gani.
 
Mwaka '78 Wakati mtukufu Rais J. K Nyerere anawatangazia waTanzania kuhusu uamuzi wa baraza lake kuingia vitani, kiwango cha uzalendo kati ya makundi yote ya jamii Ulikua ni wa kiwango kikubwa.

Wananchi walijitolea mali zao, fedha, Mifugo, na hata kujitolea maisha yao kwa ajili ya kumuondoa nduli Amin. Ukitazama taswira ya Kipindi kile ukalinganisha na sasa utabaki unaisikitikia nchi.

Ni kweli tunapaswa kupaza sauti zetu pale uhuru wetu unapowekwa hatarini, tunapaswa kudai haki zetu za msingi maana hakuna kamwe mipaka ya haki. Lakini ukiangalia kwa ndani, hii inayoitwa vita dhidi ya ukandamizaji wa haki tunaidai visivyo, na kamwe hatutashinda.

Yamekua yanatumika matusi ya nguoni dhidi ya yeyote anayekuwa na maoni tofauti. Yaani sometimes unajiuliza, kama hawa wanaodai haya wakipewa mamlaka si watawachoma moto wanaowapinga. Tunadai tunapambania uhuru wa maoni wakati tunawatukana wenye maoni tofauti na maoni yetu, this doesn't make sense.

Tumekua na Tabia nyingine ya hovyo ya kupinga hata miradi ya maendeleo. Yaani watanzania tunakua tunaombea tushindwe kwenye Mambo ya kitaifa ili tu waliopo madarakani waonekane wanashindwa. Angalia mifano hai kwenye issue ya kufufua Air Tanzania, issue ya makinikia, watu wanapinga hata ujenzi wa Bwawa la kufua Umeme. Tizama leo Zitto anapinga ujenzi wa flyovers dsm. Yaani ni sawa na kuiroga nchi yako. Unatamani nchi ifeli ili upate cha kuattack. Ni uchawi. Nchi zote hupingana pia, ila kwenye issues za nchi hushikamana.

Najiuliza, hivi ikitokea nchi inatuhitaji, watakuepo walio tayari kujitolea mali, fedha, Mifugo, na hata uhai kwa ajili ya Tanzania? Naamini wapo, TUPO,. tupo tunaoamini kuna vitu vitatu tu vya kuweza kutoa uhai wako kuvilinda, Mungu, Familia, Nchi. In that order. Ila najua kabisa wapo ambao watakua wanatusaliti. Wapo watakaokuwa wanatamani nchi ishindwe.

Mungu ibariki Tanzania.
IDD Amin alisalitiwa na waganda wenzake...mkulu pia ana same fate
 
Ni sahihi kumchukia mtu anayekunyanyasa kwa faida zake.
Wanaonufaika na utawala huu ni kikundi kidogo, hao ndio hata watanzania wakiuwawa wao husema ni bahati mbaya, wanaua na kugharimia mazishi. Wanaonufaika hutetea kila udharimu kwa kuupa majina eti bahati mbaya, na wanufaika huona madai ya wananchi ni kero sana kwao, kila anayelalamika wao hummaliza, wao husema wanawapoteza, halafu wana eneza vitisho dhidi ya raia eti waogopwe kwa kuua, kutesa, na hata kuwatesa mahabusu na kuwafungulia kesi zisizo na kichwa wala muguu.
Hayo walifanyiwa Iraq, Saadam Hussein alijidai mwenyenguvu lakini alipotokea mmarekani wananchi walimuunga mkono, kwasababu adui yao alikuwa Saadam na genge lake.
Huko sahihi tukiingia kwenye mgogoro tutamuunga mkono amtoe huyo dhalimu na genge lake tutaijenga nchi akiishaindoka.
Ni ngumu kukubali kwamba unatatizo lakini ukisikiliza utaliona.
Sasa hivi wanawatukana chadema, siku kikinuka watatamani wasingewatukana. Saadam aliponaswa aliwalilia wananchi, lakini wananchi walikuwa busy wanafurahia mwisho wake.
Binafsi natamani tupate msaada kidogo tu tuwaondoe tuanze upya, hawa wameota pembe hawasikii na hawaelewi tena.
 
Tatizo ni pale mnapoua watoto wa wenzenu kama sisimizi huku wa kwenu mkiwalinda na TISS huku mkikebehi, sasa hapo umoja utatoka wapi? Ukumbuke hata idiamini alishindwa vita kutokana na mgawanyiko mkubwa ulokuwapo Uganda enzi za utawala wake wa kidikteta
 
Mwaka '78 Wakati mtukufu Rais J. K Nyerere anawatangazia waTanzania kuhusu uamuzi wa baraza lake kuingia vitani, kiwango cha uzalendo kati ya makundi yote ya jamii Ulikua ni wa kiwango kikubwa.

Wananchi walijitolea mali zao, fedha, Mifugo, na hata kujitolea maisha yao kwa ajili ya kumuondoa nduli Amin. Ukitazama taswira ya Kipindi kile ukalinganisha na sasa utabaki unaisikitikia nchi.

Ni kweli tunapaswa kupaza sauti zetu pale uhuru wetu unapowekwa hatarini, tunapaswa kudai haki zetu za msingi maana hakuna kamwe mipaka ya haki. Lakini ukiangalia kwa ndani, hii inayoitwa vita dhidi ya ukandamizaji wa haki tunaidai visivyo, na kamwe hatutashinda.

Yamekua yanatumika matusi ya nguoni dhidi ya yeyote anayekuwa na maoni tofauti. Yaani sometimes unajiuliza, kama hawa wanaodai haya wakipewa mamlaka si watawachoma moto wanaowapinga. Tunadai tunapambania uhuru wa maoni wakati tunawatukana wenye maoni tofauti na maoni yetu, this doesn't make sense.

Tumekua na Tabia nyingine ya hovyo ya kupinga hata miradi ya maendeleo. Yaani watanzania tunakua tunaombea tushindwe kwenye Mambo ya kitaifa ili tu waliopo madarakani waonekane wanashindwa. Angalia mifano hai kwenye issue ya kufufua Air Tanzania, issue ya makinikia, watu wanapinga hata ujenzi wa Bwawa la kufua Umeme. Tizama leo Zitto anapinga ujenzi wa flyovers dsm. Yaani ni sawa na kuiroga nchi yako. Unatamani nchi ifeli ili upate cha kuattack. Ni uchawi. Nchi zote hupingana pia, ila kwenye issues za nchi hushikamana.

Najiuliza, hivi ikitokea nchi inatuhitaji, watakuepo walio tayari kujitolea mali, fedha, Mifugo, na hata uhai kwa ajili ya Tanzania? Naamini wapo, TUPO,. tupo tunaoamini kuna vitu vitatu tu vya kuweza kutoa uhai wako kuvilinda, Mungu, Familia, Nchi. In that order. Ila najua kabisa wapo ambao watakua wanatusaliti. Wapo watakaokuwa wanatamani nchi ishindwe.

Mungu ibariki Tanzania.
.....
.....kuna nduli mwingine kajipenyeza kirusi kweli
 
Mwaka '78 Wakati mtukufu Rais J. K Nyerere anawatangazia waTanzania kuhusu uamuzi wa baraza lake kuingia vitani, kiwango cha uzalendo kati ya makundi yote ya jamii Ulikua ni wa kiwango kikubwa.

Wananchi walijitolea mali zao, fedha, Mifugo, na hata kujitolea maisha yao kwa ajili ya kumuondoa nduli Amin. Ukitazama taswira ya Kipindi kile ukalinganisha na sasa utabaki unaisikitikia nchi.

Ni kweli tunapaswa kupaza sauti zetu pale uhuru wetu unapowekwa hatarini, tunapaswa kudai haki zetu za msingi maana hakuna kamwe mipaka ya haki. Lakini ukiangalia kwa ndani, hii inayoitwa vita dhidi ya ukandamizaji wa haki tunaidai visivyo, na kamwe hatutashinda.

Yamekua yanatumika matusi ya nguoni dhidi ya yeyote anayekuwa na maoni tofauti. Yaani sometimes unajiuliza, kama hawa wanaodai haya wakipewa mamlaka si watawachoma moto wanaowapinga. Tunadai tunapambania uhuru wa maoni wakati tunawatukana wenye maoni tofauti na maoni yetu, this doesn't make sense.

Tumekua na Tabia nyingine ya hovyo ya kupinga hata miradi ya maendeleo. Yaani watanzania tunakua tunaombea tushindwe kwenye Mambo ya kitaifa ili tu waliopo madarakani waonekane wanashindwa. Angalia mifano hai kwenye issue ya kufufua Air Tanzania, issue ya makinikia, watu wanapinga hata ujenzi wa Bwawa la kufua Umeme. Tizama leo Zitto anapinga ujenzi wa flyovers dsm. Yaani ni sawa na kuiroga nchi yako. Unatamani nchi ifeli ili upate cha kuattack. Ni uchawi. Nchi zote hupingana pia, ila kwenye issues za nchi hushikamana.

Najiuliza, hivi ikitokea nchi inatuhitaji, watakuepo walio tayari kujitolea mali, fedha, Mifugo, na hata uhai kwa ajili ya Tanzania? Naamini wapo, TUPO,. tupo tunaoamini kuna vitu vitatu tu vya kuweza kutoa uhai wako kuvilinda, Mungu, Familia, Nchi. In that order. Ila najua kabisa wapo ambao watakua wanatusaliti. Wapo watakaokuwa wanatamani nchi ishindwe.

Mungu ibariki Tanzania.
Wanaopaza sauti kudai haki hawajawahi toa tusi lolotewala vitisho!! Badala yake wamepokea kejeli na vitisho na baadhi kuchinjwa mchana kweupe.

Bahati mbaya hata taasisi za kutoa haki zimejisalimisha kwa walioshikilia haki hizo. Maji badala ya kukemea uovu, anakemea wanaonewa na kuuliwa . SHAME ON U MUTUNGI
 
Hili ndio tatizo la kugeuza miradi ya uma kuwa mtaji wa kisiasa.. Ununuzi wa ndege umefanywa as if hela imetoka lumumba, wakati daraja la mkapa linajegwa mpaka linakamilika ilikuwa ni Mali ya watanzania.. Daraja la kigamboni lilianza kujengwa kama Mali &fahari ya watanzania lakini lilipokwisha likafunguliwa kama fahari ya ccm
.sasa Fly overs au interchange roads za tazara &ubungo vinafanywa kama Mali ya ccm .. Matokeo yake mapokeo yake kwa wananchi si mazuri
...huu utengano awamu hii unautengeneza kwa nguvu kubwa.. Utakuja kuwa na madhara makubwa sana...watu wataanza peleka hasira zao physically kwenye hiyo miradi na hapo kuwarudisha nyuma kwenye ile Tanzania yetu na vitu vyetu itakuwa shida sana
 
Mwaka '78 Wakati mtukufu Rais J. K Nyerere anawatangazia waTanzania kuhusu uamuzi wa baraza lake kuingia vitani, kiwango cha uzalendo kati ya makundi yote ya jamii Ulikua ni wa kiwango kikubwa.

Wananchi walijitolea mali zao, fedha, Mifugo, na hata kujitolea maisha yao kwa ajili ya kumuondoa nduli Amin. Ukitazama taswira ya Kipindi kile ukalinganisha na sasa utabaki unaisikitikia nchi.

Ni kweli tunapaswa kupaza sauti zetu pale uhuru wetu unapowekwa hatarini, tunapaswa kudai haki zetu za msingi maana hakuna kamwe mipaka ya haki. Lakini ukiangalia kwa ndani, hii inayoitwa vita dhidi ya ukandamizaji wa haki tunaidai visivyo, na kamwe hatutashinda.

Yamekua yanatumika matusi ya nguoni dhidi ya yeyote anayekuwa na maoni tofauti. Yaani sometimes unajiuliza, kama hawa wanaodai haya wakipewa mamlaka si watawachoma moto wanaowapinga. Tunadai tunapambania uhuru wa maoni wakati tunawatukana wenye maoni tofauti na maoni yetu, this doesn't make sense.

Tumekua na Tabia nyingine ya hovyo ya kupinga hata miradi ya maendeleo. Yaani watanzania tunakua tunaombea tushindwe kwenye Mambo ya kitaifa ili tu waliopo madarakani waonekane wanashindwa. Angalia mifano hai kwenye issue ya kufufua Air Tanzania, issue ya makinikia, watu wanapinga hata ujenzi wa Bwawa la kufua Umeme. Tizama leo Zitto anapinga ujenzi wa flyovers dsm. Yaani ni sawa na kuiroga nchi yako. Unatamani nchi ifeli ili upate cha kuattack. Ni uchawi. Nchi zote hupingana pia, ila kwenye issues za nchi hushikamana.

Najiuliza, hivi ikitokea nchi inatuhitaji, watakuepo walio tayari kujitolea mali, fedha, Mifugo, na hata uhai kwa ajili ya Tanzania? Naamini wapo, TUPO,. tupo tunaoamini kuna vitu vitatu tu vya kuweza kutoa uhai wako kuvilinda, Mungu, Familia, Nchi. In that order. Ila najua kabisa wapo ambao watakua wanatusaliti. Wapo watakaokuwa wanatamani nchi ishindwe.

Mungu ibariki Tanzania.

Nimekuelewa ndugu. Hata mimi kwa kweli sipendelei kuhubiri chuki na vita kama sehemu ya kupigania haki yetu.

Ila tatizo ni pale watu wanapoamua kudai haki zao kwa njia ya amani na wanakutana na mkono wa dola ukiwa na sura isiyozaa amani.

Tuipende na kuiheshimu serikali iliyoko madarakani, lakini pia serikali ninyi kukosolewa isiwe sababu chuki kwa wakosoaji na chanzo cha kuwatesa na kubinya haki za wakosoaji.

Nainenea mema nchi yangu, naitakia amani na utulivu Tanzania.
 
Mtemi Mojo
Uzalendo utatoka wapi wakati hakuna haki nchini
Kwa baadhi ya watu utawala huu ni mbaya kuliko wa Idd Amin
Leo tukivamiwa unategemea familia ya Diwani wa CHADEMA aliyecharangwa mapanga itatoka kumpigania Makufuli?
Kipi cha kujivunia katika utawala huu kilichowafanya zaidi wa awamu ya kwanza je ni ndege mbili ,fly over ya Tazara,au dawa. hewa hospital?
 
Back
Top Bottom