Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Nilimsikia Mh. Mwakalebela akisema Morrison amesimamishwa kucheza mpaka kesi ya Yanga iishe.
Kwa kiwango cha Morrison leo Mwakalebela utuombe radhi Wanayanga.
Morrison anaendelea kucheza na ujaita waandishi kama kawaida kuelezea mlichokutana nacho huko FIFA tena.
Nashauri tumwache aendelee na mpira wake ila Wanayanga mlipigwa mchanga wa machoo.
Kazi ipo
Pole sana Kaze
Kwa kiwango cha Morrison leo Mwakalebela utuombe radhi Wanayanga.
Morrison anaendelea kucheza na ujaita waandishi kama kawaida kuelezea mlichokutana nacho huko FIFA tena.
Nashauri tumwache aendelee na mpira wake ila Wanayanga mlipigwa mchanga wa machoo.
Kazi ipo
Pole sana Kaze