Kwa kitendo cha kuwachukua ma handsome boys wetu walaaniwe Waarabu na Wazungu

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,597
215,272
1581582973192.png
 
Baada ya wao kufanya uvunjifu wa kupindukia wa haki za binadamu wakajenga uchumi na miji yao ndo wanatuletae mambo ya: Uhuru wa habari, haki ya kujieleza, wanafunzi wafanye ngono na waruhusiwe madarasani, ngono za jinsia moja, kukataza viboko mashuleni, n.k. Kimsingi haki inaenda na wajibu na kizazi ufundishwa na kuridhishwa, jambo ambalo si lelemama! Maendeleo hayaji kwa kuchekacheka lazima nidhamu na mipaka ya Uhuru iheshimiwe
 
Kwamba waliobakia wana nguvu za kike au hawana nguvu kabisa....

Noted.. Sina shaka shemeji ataipitia hii comment na kuchanganua akiwa chumba cha peke yake huku akiwa na maswali mengi kuliko majibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Statistics zinasemaje kuhusu kuongezeka kwa population kati ya hizo generation na hii generation? Ukipata jibu hapo utajua kua ni generation ipi ndio ilikua na hizo nguvu za kiume.
 
Baada ya wao kufanya uvunjifu wa kupindukia wa haki za binadamu wakajenga uchumi na miji yao ndo wanatuletae mambo ya: Uhuru wa habari, haki ya kujieleza, wanafunzi wafanye ngono na waruhusiwe madarasani, ngono za jinsia moja, kukataza viboko mashuleni, n.k. Kimsingi haki inaenda na wajibu na kizazi ufundishwa na kuridhishwa, jambo ambalo si lelemama! Maendeleo hayaji kwa kuchekacheka lazima nidhamu na mipaka ya Uhuru iheshimiwe
Unakosea shule zililetwa na hao hao wazungu. Zamani unavunja ungo unachukuliwa bila hata kujua mahali imelipwa lini. Enzi hizo waoaji waliangua mabikra wao na kuwafaidi sio kipindi hiki mtu anaolewa hata hana ladha.

Unaweza kula maharagwe yaliyo chacha kwa spidi Sawasawa na maharagwe fresh?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom