Baada ya wao kufanya uvunjifu wa kupindukia wa haki za binadamu wakajenga uchumi na miji yao ndo wanatuletae mambo ya: Uhuru wa habari, haki ya kujieleza, wanafunzi wafanye ngono na waruhusiwe madarasani, ngono za jinsia moja, kukataza viboko mashuleni, n.k. Kimsingi haki inaenda na wajibu na kizazi ufundishwa na kuridhishwa, jambo ambalo si lelemama! Maendeleo hayaji kwa kuchekacheka lazima nidhamu na mipaka ya Uhuru iheshimiwe
Hii generation ndiyo iliindoka na nguvu za kiume Afrika
ukiwa na bwawa ni ngumu sana kupata size yako kwa sasa
Upo sahihi kabisa,watu wengine wakiona tuu neno " nguvu za kiume" wanawazia ngono --- nguvu za kiume ni "Manpower" jamani au vipiHii generation ndiyo iliindoka na nguvu za kiume Afrika
Goodness Gracious!!!! What?Hii generation ndiyo iliindoka na nguvu za kiume Afrika
Hii generation ndiyo iliindoka na nguvu za kiume Afrika
Matusi hayo umezaliwa na hao wasio na nguvu kiume ndio wamekupambania mpk sasa una nguvu ya kubonyeza batani kwa jasho lao .Hii generation ndiyo iliindoka na nguvu za kiume Afrika
Unakosea shule zililetwa na hao hao wazungu. Zamani unavunja ungo unachukuliwa bila hata kujua mahali imelipwa lini. Enzi hizo waoaji waliangua mabikra wao na kuwafaidi sio kipindi hiki mtu anaolewa hata hana ladha.Baada ya wao kufanya uvunjifu wa kupindukia wa haki za binadamu wakajenga uchumi na miji yao ndo wanatuletae mambo ya: Uhuru wa habari, haki ya kujieleza, wanafunzi wafanye ngono na waruhusiwe madarasani, ngono za jinsia moja, kukataza viboko mashuleni, n.k. Kimsingi haki inaenda na wajibu na kizazi ufundishwa na kuridhishwa, jambo ambalo si lelemama! Maendeleo hayaji kwa kuchekacheka lazima nidhamu na mipaka ya Uhuru iheshimiwe
Shindwa na ulegee..Hii generation ndiyo iliindoka na nguvu za kiume Afrika