prospa
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 554
- 156
Hivi umeolewa na ulipokuwa unaolewa umemkuta mumeo ana mtoto, tumuite mtoto wako wa kufikia then na wewe umejaliwa na Maulana ukapata mtoto je ni sahihi ukiulizwa na watu kusema kuwa una mtoto mmoja na je watu wakija kukutembelea uanamtambulishaje mtoto wako wa kufikia kwani ushasema wewe una mtoto mmoja?