eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 15,651
- 13,792
Kama ilivyo kawaida ya Kenya kuonesha tabia za kitoto za kumchokoza kaka yake au mkubwa kwake kiumri na nguvu. Lakini pale yule mkubwa akichoka kuvumilia na kuamua kumuadhibu labda tu kwa kumpa kwenzi la wastani la utosi, basi huyo mtoto mchokozi hulia na kukimbilia kusema kwa mama/baba.
Hiyo ndiyo imekuwa tabia ya Kenya miaka nenda miaka rudi. Wamekuwa akiichokoza Tanzania kwa mambo mengi ambayo nikianza kuyaeleza hapa, basi yanaweza kuchukua masaa chungu mzima. Lakini kwa uchokozi huo, Tanzania ilikuwa inaenda kwa upole na kumbembeleza mdogo (mtoto) kenya ya kuwa aache kufanya hivyo, kwani hiyo siyo tabia nzuri. Basi akiambiwa hivyo kwa upole, kichwa kinavimba na kujiona yeye ni shujaa.
Baada ya muda mrefu kuwa na tabia hiyo sasa mkubwa Tanzania amechoka, naye kaamua kumtia adabu huyu mtoto mtukutu asiye na soni. Sasa ni kupewa kwenzi mfululizo (kama tatu hivi) za utosini. Matokeo yake ni kilio na kugalagala chini na kujipaka vumbi. Kwa nini hilo linatokea?
Ni kwa sababu hakuzoea kutiwa adabu na wakubwa kwa tabia yake ya kukosa adabu. Nisikuchoshe.
Endelea kusoma gazeti hilo hapo chini.
Hiyo ndiyo imekuwa tabia ya Kenya miaka nenda miaka rudi. Wamekuwa akiichokoza Tanzania kwa mambo mengi ambayo nikianza kuyaeleza hapa, basi yanaweza kuchukua masaa chungu mzima. Lakini kwa uchokozi huo, Tanzania ilikuwa inaenda kwa upole na kumbembeleza mdogo (mtoto) kenya ya kuwa aache kufanya hivyo, kwani hiyo siyo tabia nzuri. Basi akiambiwa hivyo kwa upole, kichwa kinavimba na kujiona yeye ni shujaa.
Baada ya muda mrefu kuwa na tabia hiyo sasa mkubwa Tanzania amechoka, naye kaamua kumtia adabu huyu mtoto mtukutu asiye na soni. Sasa ni kupewa kwenzi mfululizo (kama tatu hivi) za utosini. Matokeo yake ni kilio na kugalagala chini na kujipaka vumbi. Kwa nini hilo linatokea?
Ni kwa sababu hakuzoea kutiwa adabu na wakubwa kwa tabia yake ya kukosa adabu. Nisikuchoshe.
Endelea kusoma gazeti hilo hapo chini.