Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,428
Kama Mada inavyojieleza juzi tu hapa machinga wamefurumshwa mjini kati, Jana wakaandamana, Leo usiku huu rocky City mall inaungua hasa sehemu ya kuchezea watoto
CCM hamjawahi kushinda uchaguzi, halafu mwenda zake aliwakingia kifua machinga nchi nzima wakafanya biashara wanapotaka Leo hii wanatimuliwa
Kinachoendelea Mwanza ni hujuma dhidi ya Rais na CCM yake .
CCM hamjawahi kushinda uchaguzi, halafu mwenda zake aliwakingia kifua machinga nchi nzima wakafanya biashara wanapotaka Leo hii wanatimuliwa
Kinachoendelea Mwanza ni hujuma dhidi ya Rais na CCM yake .