Kwa kilichotokea Morogoro, nimetambua kuwa duniani hakuna viumbe wanafiki kama Watanzania

Angemsema faraghani tusingeamini, sisi wakupinga kila kitu tungesema Jiwe anamuogopa Abood.
Wewe umewaza kienyeji Sana.
Kilichotokea ni uvunjifu wa maadili ya utumishi wa umma.
Mbona yeye hataki kukosolewa au mnamwona hakosei?
Ninyi mnaomtetea jiwe, inaonesha hata ktk ndoa zenu Hanna nidhamu, mwenza akikosea hadharani au mbele ya watoto unamlipua hapohapo.

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Kizazi cha unafiki ulio kubuhu, hata jiwe ni mnafiki namba moja amekua aki mshambulia Abood kila awapo Morogoro. Lakini kwenye mchakato wa uchaguzi jina lake analipitisha kugombea.

Devota Minja dora ya jiwe ilifanya kila wanachoweza ili Abood arudi madarakani, lakini leo anajifanya kuhadaa uma.
Jiwe ni magufuli ?
 
Saalam!

Kilichotokea Morogoro siku mbili zilizopita zimenipa uelewa Mpana juu ya kiumbe aitwae mtanzania.

Wakati anaingia bungeni kwa Mara ya Kwanza Abood, alijipangia yeye binafsi kutoa huduma ya maziko kwa Wana Morogoro, watu walifurahi, kushukuru na kumsifu mbunge wao.

Lakini hao hao wakati Rais anamshambulia Abood walishangilia kwa bidii zoteee! Nimetambua kiumbe kinachoitwa mtanzania siyo Cha kukiamini hata kidogo. Kiumbe huyo inatakiwa kuishi nacho kwa tahadhari kubwa sana

Ndugu Abood pole sana, naamini umejifunza, acha wafu wawazike wafu wao.
Fungia Basi zako.
Kuvikalia viwanda kwa miaka yote 25 huku akikopea mabasi VS kuwapa wakazi wa morogoro huduma ya maziko VS kilio cha ajira kwa wahitimu wetu na wakazi wa eneo ambalo kiwanda kilikuwepo [tujipime]
 
Saalam!

Kilichotokea Morogoro siku mbili zilizopita zimenipa uelewa Mpana juu ya kiumbe aitwae mtanzania.

Wakati anaingia bungeni kwa Mara ya Kwanza Abood, alijipangia yeye binafsi kutoa huduma ya maziko kwa Wana Morogoro, watu walifurahi, kushukuru na kumsifu mbunge wao.

Lakini hao hao wakati Rais anamshambulia Abood walishangilia kwa bidii zoteee! Nimetambua kiumbe kinachoitwa mtanzania siyo Cha kukiamini hata kidogo. Kiumbe huyo inatakiwa kuishi nacho kwa tahadhari kubwa sana

Ndugu Abood pole sana, naamini umejifunza, acha wafu wawazike wafu wao.
Fungia Basi zako.
Hakika. Umeandika vizuri sana. Hao ndiyo wanadamu, hasa Watanzania. Wakikuchekea na kukushangilia leo, kuna siku utabaki mdomo wazi kwa mshangao watakapo kukuona huna maana. Abood aendelee na biashara zake aachane na kufanya mambo ya ziada ambayo anaowafanyia akina Mkude, hawana shukrani.
 
Saalam!

Kilichotokea Morogoro siku mbili zilizopita zimenipa uelewa Mpana juu ya kiumbe aitwae mtanzania.

Wakati anaingia bungeni kwa Mara ya Kwanza Abood, alijipangia yeye binafsi kutoa huduma ya maziko kwa Wana Morogoro, watu walifurahi, kushukuru na kumsifu mbunge wao.

Lakini hao hao wakati Rais anamshambulia Abood walishangilia kwa bidii zoteee! Nimetambua kiumbe kinachoitwa mtanzania siyo Cha kukiamini hata kidogo. Kiumbe huyo inatakiwa kuishi nacho kwa tahadhari kubwa sana

Ndugu Abood pole sana, naamini umejifunza, acha wafu wawazike wafu wao.
Fungia Basi zako.
Morogoro mjini hapo kuna changamoto nyingi sana,mtu anasema atasaidia maziko ila huduma za afya si za uhakika.......kuna Kambona kangu kalipelekwa pale ijumaa jioni baada kuumia much,alihitaji xray .....ila chakushangaza Morogoro kulikuwa na changamoto ya umeme....yaani ilinishangaza hospital ya rufaa haina generator stand by........
 
Umeniongezea hoja, je hili limejulika hivi ndani ya siku mbili hizi, na je pale ilikuwa sehemu sahihi kumasema Abood?

Kumbuka hii ni Mara ya tatu kumpiga Abood hadharani.
Mkuu alisema alishindwa kumsema kwenye kampeni Jimbo lingepote, je hii leo ndiyo dawa?

Mbona waligombea wengi ndani ya CCM kwanini hawakumkata?

Kama haitoshi mkuu ni mwenyekiti na Abood ni mnec, chama kina vikao kwanini wasionyane huko?

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Mwenyekiti wa Abood mkubwa wa wanafki
 
Watanzania umasikini na ujinga umetufanya kuwa wanafiki na wezi wa fadihila.

Jinsi Abood alivyokuwa anawasaidia hao watu hawakuwa watu wa kushangilia kama walivyofanya.
Na hata aliyewafanya wamshangilie, hoja zake juu ya Abood hazikua sahihi. Abood alinangwa kama vile alishuka kutoka sayari nyingine kuja kupata huo ubunge.
 
Morogoro mjini hapo kuna changamoto nyingi sana,mtu anasema atasaidia maziko ila huduma za afya si za uhakika.......kuna Kambona kangu kalipelekwa pale ijumaa jioni baada kuumia much,alihitaji xray .....ila chakushangaza Morogoro kulikuwa na changamoto ya umeme....yaani ilinishangaza hospital ya rufaa haina generator stand by........
Hayo umeyaona morogoro kwakuwa kambona wako alikosa huduma, je hospital zingine hazina changamoto?
Kama mbuge atafanya yote haya, mganga mkuu kazi yake nini, mkuu wa wilaya anafanya Nini, he meya? Acheni hizo

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Watanzania tunachukiana sana. Pamoja na makosa aliyoyafanya Abood lakini watanzania wanafurahia sana wakiona tajiri anasakamwa. Yaani wanahisi maisha yao magumu yamesababishwa na yeye na wanamsahau mwanasiasa huyo anayesakama ili kujificha au kutua mzigo.
Wakati Magu anasema atawafanya 'matajiri' waishi kama mashetani kuna watanzania wengi walifurahia kwa shangwe na nderemo bila kujua kula yao ni kutoka kwa mzunguko wa aliye nacho. Sasa hivi tunalia wote.
Ni mtindo huu huu ambao umefanyika Moro. Hata ingekuwa siku ile anafilisiwa (mfano tu) basi watu wangefanya sherehe utadhani kwamba kesho yake wao ndio watakuwa matajiri. Kumbe watakosa mzunguko wa hela,ajira n.k ambavyo vyanzo vyake vilikuwa kwa Abood
 
Hayo umeyaona morogoro kwakuwa kambona wako alikosa huduma, je hospital zingine hazina changamoto?
Kama mbuge atafanya yote haya, mganga mkuu kazi yake nini, mkuu wa wilaya anafanya Nini, he meya? Acheni hizo

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Kwaakili ya kawaida hospital ya Rufaa haiwezi kutokuwa na generator........hao woteuliowataja ni useless.......then vitoto vile vinavyotumia oxygen vilikufa Kama vitano hivi,according to my aunt who is a senior nurse pale.....kwahiyo mazishi kusafirisha ni muhimu zaidi kuliko kutengeneza mazingira mazuri ya kuepusha vifo?
 
Kuvikalia viwanda kwa miaka yote 25 huku akikopea mabasi VS kuwapa wakazi wa morogoro huduma ya maziko VS kilio cha ajira kwa wahitimu wetu na wakazi wa eneo ambalo kiwanda kilikuwepo [tujipime]
Hatuungi mkono kuua viwanda, hili lieleweke hivyo.
Tunachopinga.
1. Kumponda abood hadharani na kuudhalilisha utu wake wakati vikao vya chama vipo.

2. Unafiki wa watu wa morogoro mjini,kushangilia abood kunangwa

3. Kuchanganya huduma ya mazishi na kuua viwanda Tena viwili tu,je hivi vingine ameviua Nani,au ni huyo abood?

4. Mkuu amemwambia Rostam aje agombee amtoe abood,
Huo ubunge wa Abood ulishuka tu toka Mbinguni, haukupita kwenye michakato mbalimbali mpk kufika kwenye sanduku la kura?

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Kwaakili ya kawaida hospital ya Rufaa haiwezi kutokuwa na generator........hao woteuliowataja ni useless.......then vitoto vile vinavyotumia oxygen vilikufa Kama vitano hivi,according to my aunt who is a senior nurse pale.....kwahiyo mazishi kusafirisha ni muhimu zaidi kuliko kutengeneza mazingira mazuri ya kuepusha vifo?
Mbona hata muhimbili watu wanakufa kwa kukosa huduma yakiwemo madawa?
Mbunge ndiye anatoa order Nini kiletwe hospitalini kwaajili ya kuhudumia wananchi?
Eneo hili linahusisha watu wengi mkuu acha kushabikia upumbavu, mwogope Mungu

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Mbona hata muhimbili watu wanakufa kwa kukosa huduma yakiwemo madawa?
Mbunge ndiye anatoa order Nini kiletwe hospitalini kwaajili ya kuhudumia wananchi?
Eneo hili linahusisha watu wengi mkuu acha kushabikia upumbavu, mwogope Mungu

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Ivi unaelewa ninachokizungumza au tunapishana........Mungu yupi unayemsema? Kwahiyo kama Muhimbili watu wanakufa,unadhangilia na Morogoro wafe? Then,Morogoro wanakufa kwa uzembe wa kutokuwepo generator ambalo lingesaidia mbadala wa umeme wa Tanesco,unashangilia kupewa gari la kwenda kufanya mazishi,wakati hicho kifo kingeepukika?
 
Hatuungi mkono kuua viwanda, hili lieleweke hivyo.
Tunachopinga.
1. Kumponda abood hadharani na kuudhalilisha utu wake wakati vikao vya chama vipo.

2. Unafiki wa watu wa morogoro mjini,kushangilia abood kunangwa

3. Kuchanganya huduma ya mazishi na kuua viwanda Tena viwili tu,je hivi vingine ameviua Nani,au ni huyo abood?

4. Mkuu amemwambia Rostam aje agombee amtoe abood,
Huo ubunge wa Abood ulishuka tu toka Mbinguni, haukupita kwenye michakato mbalimbali mpk kufika kwenye sanduku la kura?

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
huyu si aliununua kwa kipita bila kupingwa kitu ninichompendea rais "ukifanya mema unapatahaki yako hapohapo na ukifanya yasiyomema pia unapata haki yako hapo hapo"hakuna kuremba
 
Ivi unaelewa ninachokizungumza au tunapishana........Mungu yupi unayemsema? Kwahiyo kama Muhimbili watu wanakufa,unadhangilia na Morogoro wafe? Then,Morogoro wanakufa kwa uzembe wa kutokuwepo generator ambalo lingesaidia mbadala wa umeme wa Tanesco,unashangilia kupewa gari la kwenda kufanya mazishi,wakati hicho kifo kingeepukika?
Tunapopishana hujapaona?
Mimi napinga kuhusisha kuua viwanda na huduma ya mazishi.

Kumbuka Rais alisema kwakuua viwanda abood amesababisha watu kufa kwa stress alafu anatoa magari na kuwazika( watu mmesimamia hilo tu)
HII NI SAWA?
Suala la huduma za hospital eneo hili linahusisha watu wengi( watendaji) kwanini mnamlaumu abood?

Mfano, mbunge anapeleka hoja yake wizara ya afya kupitia vikao vya bunge au moja kwa moja kwa waziri kuwa hospital ya mkoa Haina xray machine wizara haikuleta, hapo mbunge afanyeje, atoe pesa zake akanunue machine ya X-ray?

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom