Mwanangikolo
Member
- Nov 10, 2022
- 51
- 73
Karibuni wanajamvi tushee hii stori.
====
====
Sawa ishu ilyotokea ni hivi wakati mtangazaji wa kipindi anampgia mtu waliyemuita mshindi wa droo ya mchongo pesa kwamba kajishindia milion 3, smart tv na jezi 3 za timu za nje. Akapokea huyo wamuitae wao mshindi kumuulza kama kacheza huo mchezo akadai hajacheza na wala hajawahi kucheza!
Kilichofuata ni watangazaji kujichekesha na kumaliza kipindi kwa aibu kubwa.