Upo sahihi... Argentina inanafasi kubwa yakubeba World Cup mwaka huu... Nikwamba FIFA haita muacha Leo 10 astaafu soka bila kupata kombe hili... Hii ndio sababu kubwa na sisababu yakikosi hiki.... Na finally ni nchi mbili za America ya kusini
Hahaha Mkuu BlackPanther sikuhizi nimeigeuza jf Library nasoma zaidi kuliko kuchangia ila nipo sana tuRafiki yangu MLALEO umepotea mno siku hizi. Huwa nakucheki tu mataifani kule unatupia ndondo za uhakika
Hahaha Mkuu BlackPanther sikuhizi nimeigeuza jf Library nasoma zaidi kuliko kuchangia ila nipo sana tu
Upo sahihi... Argentina inanafasi kubwa yakubeba World Cup mwaka huu... Nikwamba FIFA haita muacha Leo 10 astaafu soka bila kupata kombe hili... Hii ndio sababu kubwa na sisababu yakikosi hiki.... Na finally ni nchi mbili za America ya kusini
HahahaUJERUMANI NDIO HABARI YA DUNIA
Kuna wachambuzi uchwara wengine walituambia livapuli atabeba uefa, hawa nao mod wanatakiwa kuwafutilia mbali.Wacheza Rede Kama Hawa Wanaojifanya Wachambuzi Uchwara Huku Wakiwa Hawaujui Mpira Ndiyo Wanaoifanya JF ionekane Kama Facebook!!
Moderators wakati mwengine Nyuzi Kama Hizi Za Kipumbavu Muwe Munazifuta Bhana zisitie aibu.
Say it again...Argentina Hana mpinzani tumebakiza muda kusema
Wacheza Rede Kama Hawa Wanaojifanya Wachambuzi Uchwara Huku Wakiwa Hawaujui Mpira Ndiyo Wanaoifanya JF ionekane Kama Facebook!!
Moderators wakati mwengine Nyuzi Kama Hizi Za Kipumbavu Muwe Munazifuta Bhana zisitie aibu.