Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,471
- 23,744
WEWE YANGA MWENZANGU UMEHAMIA SIMBA LINI? ACHA KUJIPENDEKEZA WEWE....
Naona unaficha uyanga wako ila uyanga unagoma kujificha..Kama kweli tuna weledi wa kuzingatia technical bench basi Senzo asingetukimbia, Simba tulianza vizuri lakini sasa tunaanza kupoteza uelekeo.
Najiridhisha kweli ww ni MINYANI FC. Umeng'ang'ania uzoefu. Kwan hao wazoefu walitoka mbinguni?Unadhani kwanini wacongo na waarabu walituchezeshea viganja?
ni kwasababu waana wachezaji wengi wenye uzoefu wa mashindano makubwa.
Tulihitaji kusajili mchezaji wa kuingia kikosini moja kwa moja. huyo Larry atamuweka nani bench na uzoefu wake duni wa michuano ya kimataifa?
Achana na huyo Utopolo anajulikana. Ndiye aliyepeleka barua ya kufoji Azam akidai imeandikwa na sure boy Salum Abubakar.Najiridhisha kweli ww ni MINYANI FC. Umeng'ang'ania uzoefu. Kwan hao wazoefu walitoka mbinguni?
Ni sawa na kumlazimisha Lewandoski acheze kiungo mkabaji wakati naturally yeye Ni striker au umbadilishe Messi awe beki wa Kati.Lazima uwelewe sio kila mchezaji anaweza kucheza nafasi nyingi tofautiShiboub haendani na mfumo wa mwalimu Sven ndo maana hata benchi alikuwa hakai.....
Sio tumeshindwa kumtumia yeye ndo kashindwa kubadilika.
Una leseni ya ukocha daraja lipi?Au ndio yale yale ya kuongelea rocket science wakati hata shule hujaenda???Ni sawa na kumlazimisha Lewandoski acheze kiungo mkabaji wakati naturally yeye Ni striker au umbadilishe Messi awe beki wa Kati.Lazima uwelewe sio kila mchezaji anaweza kucheza nafasi nyingi tofauti
Basi Kama Ni hivyo kwanini msimbadilishe chama awe bekiUna leseni ya ukocha daraja lipi?Au ndio yale yale ya kuongelea rocket science wakati hata shule hujaenda???
Mabadiliko kwa shiboub hayakuwa kama unavyoyaeleza hapa.....Ni sawa na kumlazimisha Lewandoski acheze kiungo mkabaji wakati naturally yeye Ni striker au umbadilishe Messi awe beki wa Kati.Lazima uwelewe sio kila mchezaji anaweza kucheza nafasi nyingi tofauti
Kwa shiboub haikuwa hivyo.Ni sawa na kumlazimisha Lewandoski acheze kiungo mkabaji wakati naturally yeye Ni striker au umbadilishe Messi awe beki wa Kati.Lazima uwelewe sio kila mchezaji anaweza kucheza nafasi nyingi tofauti
Hakuna kudanganywa mmeporwa.yanga Ni mrefu Sana mlikua na mipango naeSimba walidanganywa kwamba Yanga iinamsajili Larry wakaamua kuikomoa Yanga kama kawaida yao
We Jamaa huwa unafurahisha sana.
Shiboub si alikuwepo hapa na kashindwa kupata nafasi na kocha hamuhitaji?
Unamzungumzia Lary ambaye Sven alikuwa akimhusudu timu ya Taifa na ndiye aliyemwita kwa Mara ya kwaza....
#mkizubaa tutawapora wachezaji wote tumgawie Biashara United.
demigod Nikusahihishe kidogo huyo mchezaji sio kiungo mkabaji Bali Ni kiungo mbunifu.Tukija kwenye issue ya shiboub na Larry bwalya nakuunga mkono shiboub Ni better than Larry shiboub anakuoffer vitu vingi ikiwemo ana physical ability nzuri, pia anauwezo wa kukaba than Larry, anafunga magoals than Larry, technical ability yake Ni nzuri Sana than Larry.Kingine nilichoona Ni kwamba Simba walikuwa hawajui kumtumia vizuri shiboub, Shiboub alikuwa anatumika kwenye midfielder ya chini wakati naturally yeye Ni advance midfielder.
Ndio tatizo la humu jamiiforum wengi tunaangalia hoja katoa Nani bila kuangalia hoja yake Ina mantiki au haina mantiki hata kwenye jukwaa la siasa lipo hivyo hivyo kwa style hiyo sijui kama tutafika kweli?Kuna comment nyingine zinakujenga Mie uwaga siangalii mada kaanzisha nan Mie uwaga naangalia comment