GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,052
- 107,535
Huu Wimbo wa 'WAAH' ukiwa unapigwa au hata unausikiliza tu popote pale halafu huamki ama Kucheza tu au Kutikisika basi utakuwa na matatizo Kichwani au utakuwa ni mwana Yanga SC mwenye Roho Mbaya au utakuwa kati ya Team Kiba au Yule aliyetaka Kufa kwa Kuanguka kutoka katika Paa la Uwanja wa Mkapa Team Harmonize.
Leo natangaza rasmi kuwa Nasib Abdul a.k.a Diamond Platinumz a.k.a Dangote na Koffi Olomide kampa a.k.a nyingine kwa kumuita Le Generale Dangote ni Habari nyingine kwa Kuimba vyema na kwa Ustadi wote kabisa hapa Afrika Mashariki, Afrika nzima, Duniani na pengine hata huko Mbinguni Kwake Maulana / Mola.
Huwezi Kumshirikisha Fundi na Gwiji la Muziki wa Dansi Afrika Koffi Charles Antoine Olomide a.k.a Le Grand Mopao a.k.a Boss ( Mokonzi ) ya Mboka halafu Nyimbo yako isiwe nzuri na tamu Kuisikiliza. Kupitia tu Video ya Wimbo huu mtamu wa 'WAAH' nimegundua kuwa Diamond ( Dangote ) ana Vipaji vingi na uwezo mkubwa wa Kucheza vyema na Sauti yake.
Namtakia Mafanikio mema zaidi katika Kazi yake ya Muziki Diamond Platinumz ( Chibu Dangote ) na popote alipo ajue GENTAMYCINE ninamkubali.
Leo natangaza rasmi kuwa Nasib Abdul a.k.a Diamond Platinumz a.k.a Dangote na Koffi Olomide kampa a.k.a nyingine kwa kumuita Le Generale Dangote ni Habari nyingine kwa Kuimba vyema na kwa Ustadi wote kabisa hapa Afrika Mashariki, Afrika nzima, Duniani na pengine hata huko Mbinguni Kwake Maulana / Mola.
Huwezi Kumshirikisha Fundi na Gwiji la Muziki wa Dansi Afrika Koffi Charles Antoine Olomide a.k.a Le Grand Mopao a.k.a Boss ( Mokonzi ) ya Mboka halafu Nyimbo yako isiwe nzuri na tamu Kuisikiliza. Kupitia tu Video ya Wimbo huu mtamu wa 'WAAH' nimegundua kuwa Diamond ( Dangote ) ana Vipaji vingi na uwezo mkubwa wa Kucheza vyema na Sauti yake.
Namtakia Mafanikio mema zaidi katika Kazi yake ya Muziki Diamond Platinumz ( Chibu Dangote ) na popote alipo ajue GENTAMYCINE ninamkubali.