Matumizi mabaya ya rasilimali. Huku cheka ung'atwe tuna arosto hatuwezi hata nunua nax ya reko wewe unataka wapa mbwa kvant?Zinyweshe k vant zilale😶
Wape chakula bhana wana njaa haoWakuu,
Naona mbwa wako very uneasy wanabweka sana.
Kwa hulka yao ya kuhisi hatari ikiwa mbali, nadhani Jobo itapita , ni swala la kumuomba Mungu haya yasitokee.
Sikuelewagi swag zako..nax ndo nn jombaa...Matumizi mabaya ya rasilimali. Huku cheka ung'atwe tuna arosto hatuwezi hata nunua nax ya reko wewe unataka wapa mbwa kvant?
Ni kweli mkuu...mbwa ananusa sijui umbali wa kms ngap.....its true jombaa....Wako hivyo toka jana mkuu,
Hawa jamaa huwa wananusa hatari ikiwa mbali sana , I suspect kuna jambo.
Tuchukue tahadhari jamani.
Nax ni banana bana asee mnaishi wapi njooni chuga bana mjue kiswahili. 😂😂Sikuelewagi swag zako..nax ndo nn jombaa...
Hahaha banana naijua..ila sijawah ionje...hahaaa ile smell😎!Nax ni banana bana asee mnaishi wapi njooni chuga bana mjue kiswahili. 😂😂
Chuga hamna kiswahili kuna uhuni mavi tuNax ni banana bana asee mnaishi wapi njooni chuga bana mjue kiswahili.
Tutegemee 'Maafa' makubwa sana na nasikia kimekuja 'Makusudically' kulipiza 'Kisasi' wale wote 'walioshabikia' Kifo cha Mwendazake ( ila siyo Generalist Mimi ) na mtakoma Wote. Tubuni upesi kinaweza Kuwasamehe.Wakuu,
Naona mbwa wako very uneasy wanabweka sana.
Kwa hulka yao ya kuhisi hatari ikiwa mbali, nadhani Jobo itapita , ni swala la kumuomba Mungu haya yasitokee.