Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,108
- 18,325
Viongozi wengi Africa wapo madarakani lakini miaka nenda rudi hawana matokeo katika secta zinazo gusa wananchi kama
1. Miundo mbinu ( barabara, viwanja vya ndege, madaraja, majengo ya huduma kama shule, vyuo, hosprali etc)
2. Huduma za jamii ( afya, elimu , maji etc)
3. Mifumo wezeshi ya uchumi ( umeme, etc)
4. Makusanyo ya kodi
5. Sera zenye kulinda mali za urrishi kama mbuga za wanyama, madini etc.
Ukiacha siasa na utawala bora , leo tunataka tuzungumzia viongozi wenye matokeo chanya yanayo onekana.
Kwa viongozi wa africa mashariki, Yupi unadhani kwa muda mfupi amewez kuleta matokeo ambayo yana sura ya kubadili maisha ya jamii husika na uchumi wa nchi husika.
Katika kujadili weka na ushahidi.
1. Kagame
2.Museveni
3.Kenyatta
4.Magufuli
Tanzania kuingia kwenye uchumi wa kati sio kigezo kwa sasa .
1. Miundo mbinu ( barabara, viwanja vya ndege, madaraja, majengo ya huduma kama shule, vyuo, hosprali etc)
2. Huduma za jamii ( afya, elimu , maji etc)
3. Mifumo wezeshi ya uchumi ( umeme, etc)
4. Makusanyo ya kodi
5. Sera zenye kulinda mali za urrishi kama mbuga za wanyama, madini etc.
Ukiacha siasa na utawala bora , leo tunataka tuzungumzia viongozi wenye matokeo chanya yanayo onekana.
Kwa viongozi wa africa mashariki, Yupi unadhani kwa muda mfupi amewez kuleta matokeo ambayo yana sura ya kubadili maisha ya jamii husika na uchumi wa nchi husika.
Katika kujadili weka na ushahidi.
1. Kagame
2.Museveni
3.Kenyatta
4.Magufuli
Tanzania kuingia kwenye uchumi wa kati sio kigezo kwa sasa .