Asante kwa kunipa moyo mkuu.acha hasira ,siri moja ya kutongoza ni kutokua na hasira,kutokata tamaa,kutokua na aibu,uvumilivu unahitajika.mtongoze bana huyo wala sio mgumu,utampata mara moja.
Mi kwa upande wangu sijawahi kutongozwa na mwanamke mpaka nakua mkubwa hivi yan√%Wanaume ndio hutongoza ,lakini je inaweza kuwa kinyume chake? je wewe mwanaume ulishawahi kutongozwa na mwanamke?,ulimkubalia maombi yake?,unamchukuliaje mwanamke akikutongoza ?,au ulimchukuliaje mwanamke aliyekutongoza?
J e ni furaha kutongozwa na mwanamke au sio furaha?
Ulimpenda?
jitokezeni wanaume kujibu maswali yangu.
nakusubiri ujueSawa baba, ngoja nijipange.
Bado natafuta maneno mazuri ya kutumia.nakusubiri ujue
Nilitongozwa na demu fulani enzi za o-levelWanaume ndio hutongoza ,lakini je inaweza kuwa kinyume chake? je wewe mwanaume ulishawahi kutongozwa na mwanamke?,ulimkubalia maombi yake?,unamchukuliaje mwanamke akikutongoza ?,au ulimchukuliaje mwanamke aliyekutongoza?
J e ni furaha kutongozwa na mwanamke au sio furaha?
Ulimpenda?
jitokezeni wanaume kujibu maswali yangu.
Lipia tangazo kenge wahedi weweDemu wa kwanza kabisa alinitongoza mwenyewe! Asilimia 45 wamenitongoza zilizobaki hua navuta tu hata situmii nguvu!!! Kua hendisamu kuna raha yake
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Mwanaume hata atakwe na kichaa lazima akamtafune tu..
Huwezi kukataa free pussy inayojileta yenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Kenge jike kwanini wataka nilipie tangazo??Lipia tangazo kenge wahedi wewe
Hapana Mkuu ishawatokea watu tena si mara moja.Ngumu sana mwanamume kumchomolea demu aliyekuambia live kuwa anakuhitaj..
But wengine wanapiga na kuki.bia
Pale ulikuwa unafanyiwa advertisement ya biasharaNilipita corner bar pale Sinza nikatongozwa. It happens.
Utakula jeuri yako kenge weweNILITONGOZWA PRIMARY SCHOOL NIKAPEWA NA SHILINGI 50, NIKAHAMA NA DESK NIKAKIMBILIA DESK LA NYUMA KABISA LA VIBAKA NA VILAZA! YULE DEMU ALIYENITONGOZA NIKAKUTANA NAE TENA WAKATI NIPO ADVANCE LEVEL......ANA MSHUNDU HADI NAOTA MPAKA LEO NA JINA NA MKUMBUKA! SHARIFAAAAAAAA! KAMA UPO HUMU MIMI NIPO BADO NA KU MISS!