leodigardcyrilo
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 3,295
- 1,687
Bahati yako ungezubaa kidogo ungebakwaNilipita corner bar pale Sinza nikatongozwa. It happens.
kama ulikuepo mkuu, wanaganda balaa. afu wako tayari kufanya juu chini ijulikane na watu kua upo nao hata kama hujakubali
the Legend☆
HahahaaaKweli kabisaaa.. Ukizubaa anakuja ata home kujitambulisha,,
HV viumbe balaah!
Ni kawaida siku hizi. Unakuta mdada anampenda kijana alafu huyo kijana hamfahamu yaani hampi attention yeyote anaamua aseme tu maana asipo sema haji kugundulika ata kama ana exist... Na wengine ni uhuni tu..... kama kwa wanaume tu sababu ni nyingi
vyovyote utakavyoiweka ,lakini maana yangu ni kuwa ulishawahi kukutana na mwanamke au mdada aliyefanya juhudi za kukupata wewe kimapenzi wakati wewe ukiwa huna habari,nia ,wala,hisia nae? akaweka juhudi hadi akafanikiwa kuwa na wewe?
hujawahi kutana na mrembo akiwa na maisha yake safi tu ana pesa yake na maisha yasiyo na taabu ya pesa akakupenda?hatupendwi, wanapenda pochi na mbaya pochi iko mfukoni haionekani
Utanikubalia?Fumbua macho kisha nitongoze
aibu haitakusaidia
Kila siku tu najisikia kumtongoza tena na tena.
Kila siku tu najisikia kumtongoza tena na tena.
inategemea unatongozaje uje na maneno mazuriUtanikubalia?
Basi nimeghairi.inategemea unatongozaje uje na maneno mazuri
kwani kutongoza ni nini? ni kumuambia mtu kuwa nakutongoza,au kutongoza ni kitendo cha kumshawishi mtu akukubalie ombi lako au hitaji lako?Musema kweli ni mupenzi wa Mungu; neno kutongoza sijawahi litumia katika maisha yangu...hua tunajikuta tu tupo on bed bila boksa wala pichu tunabanduana
Sent using Jamii Forums mobile app
kwani kumtongoza mtu lazima umwambie nakupenda,au naomba uwe mpenzi wangu,hakuna maneno mengine au namna nyingine ya kumfanya mtu ajue nia yako?
kwa hiyo hujawahi kuonja
pale hukutongozwa mkuu, uliulizwa kama unahitaji huduma.Nilipita corner bar pale Sinza nikatongozwa. It happens.
acha hasira ,siri moja ya kutongoza ni kutokua na hasira,kutokata tamaa,kutokua na aibu,uvumilivu unahitajika.mtongoze bana huyo wala sio mgumu,utampata mara moja.Basi nimeghairi.