Chinengu
Member
- Jan 20, 2019
- 92
- 85
je wewe binafsi uliwahi kumtamkia?Ni kawaida siku hizi. Unakuta mdada anampenda kijana alafu huyo kijana hamfahamu yaani hampi attention yeyote anaamua aseme tu maana asipo sema haji kugundulika ata kama ana exist... Na wengine ni uhuni tu..... kama kwa wanaume tu sababu ni nyingi