GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,383
- 108,441
Ni Mbunge ambaye kwa Wiki hii ya Pili sasa amekuwa akionyesha ' Ukomavu ' wake Kisiasa lakini ' Ucha Mungu ' mkubwa uliojawa na Hekima hadi Busara kwa upande Watendaji wa Chama Tawala ( sasa Wastaafu ) Lakini kama hiyo haitoshi kwa Kauli zake za Leo Bungeni ni kama ameshajua hatorejea tena Bungeni ila kwa anavyopendwa huko kama akihamia CCM ataendelea kuwa Mbunge.
Namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwamba kwa takribani miezi Miwili nimeweza kutembelea Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini kama ya Mbeya, Katavi, Iringa, Rukwa na Njombe ila GENTAMYCINE sijawahi kuvutiwa na Mji mzuri kama wa Iringa Mjini ambao kiukweli umejengeka vyema kabisa kuliko hiyo Miji mingine. Nikipata tena Nauli ni lazima tu nitarejea tena hapo Iringa Mjini nimepapenda.
Niliwahi Kukutana na Mwanasaikolojia Mmoja ' Mahiri ' sana ambapo katika Mazungumzo yetu nakumbuka aliwahi Kuniambia GENTAMYCINE kuwa Siku zote hata kama ukiwa na Uadui na Familia fulani lakini kama hiyo Familia imeoa Kwenu au mmeoa Kwao hapo inakuwa ni Kiini Macho tu na kwamba muda wowote ' Uhusiano ' huo utakuja Kuwaunganisha na mtakuwa pamoja tu daima.
Namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwamba kwa takribani miezi Miwili nimeweza kutembelea Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini kama ya Mbeya, Katavi, Iringa, Rukwa na Njombe ila GENTAMYCINE sijawahi kuvutiwa na Mji mzuri kama wa Iringa Mjini ambao kiukweli umejengeka vyema kabisa kuliko hiyo Miji mingine. Nikipata tena Nauli ni lazima tu nitarejea tena hapo Iringa Mjini nimepapenda.
Niliwahi Kukutana na Mwanasaikolojia Mmoja ' Mahiri ' sana ambapo katika Mazungumzo yetu nakumbuka aliwahi Kuniambia GENTAMYCINE kuwa Siku zote hata kama ukiwa na Uadui na Familia fulani lakini kama hiyo Familia imeoa Kwenu au mmeoa Kwao hapo inakuwa ni Kiini Macho tu na kwamba muda wowote ' Uhusiano ' huo utakuja Kuwaunganisha na mtakuwa pamoja tu daima.