Isayalussy11
JF-Expert Member
- Mar 8, 2019
- 694
- 1,052
Hivi kati ya CDM na CCM kipi chama cha kihuni ?.Chama mmeshindwa kujenga hata ofisi yenye hadhi ya kichama,chama kimeshindwa kuwa na sera mbadala za kuikabili CCM,Chama ambacho wabunge wake wanapelekeshwa tu kama nyumbu na kususia bunge alafu unasema CCM chama cha kihuni!.Nyie hamstuki tu kila mtu anakimbia chama chenu ,Badilikeni mshapoteza dira!.Ni Msigwa! By the way Msigwa, Kubenea wataenda ccm hao wanajulikana!
Waende waunge juhudi ila watakao baki upinzani ndio wanaume, mwanaume halisi huwezi kupewa ahadi na kutongozwa kama demu ni upumbavu!
Hata kama sehemu ina matatizo unatakiwa ujiuzulu kabisa na kusitaafu siasa watu tutakuelewa ila kulia na kuomba cheo cha kufagia kwenye chama cha kihuni kama ccm ni upumbavu.