GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,871
"TFF ni Simba SC na Simba SC ni TFF na tumeshaona jinsi Simba SC inavyobebwa na TFF kiasi cha wengine Kuchoshwa na Upuuzi huu ", Mbunge wa Kinondoni Tarimba Abbas Tarimba.
Chanzo: Sports Court Wasafi FM leo.
Simba SC nadhani tumeshauvumilia huu unafiki uliopitiliza wa Mbunge wa Kinondoni Tarimba Abbas.
Tarimba Abbas (Mbunge wa Kinondoni) amesahau kuwa ni Simba SC pekee kwa hapa Tanzania na Afrika Mashariki ndiyo inaipa Mileage ya kutosha Kampuni yake ya Spoti Pesa na siyo Klabu yake inayochechemea ya Yanga.
Mimi kama GENTAMYCINE (Msaga Kunguni Mkuu na Mzee wa Nongwa JamiiForums nzima) nauomba upesi sana Uongozi wa Simba SC utafakari hili la huyu Mbunge Tarimba Abbas kwa Kina ila Simba SC ikisitisha Mkataba rasmi na Spoti Pesa ndiyo itakuwa Furaha yangu na atatia Adabu.
Kampuni za Kuidhamini Simba SC ni nyingi na tena Kubwa na zenye Financial Stability na Muscles kuliko hiyo Spoti Pesa yake. Kama Mbunge Tarimba Abbas anavyoichukia Simba SC na Mimi GENTAMYCINE simpendi vile vile. Ubaya Ubayani tu Kudadadeki.
Wallace Karia miaka Minne ( 4 ) tena kwani amefanya mengi na makubwa halafu anatosha vile vile. Tena napendekeza Wallace Karia atawale (aiongoze) TFF hii daima milele Amina au mpaka pale atakapochoka Yeye.
Chanzo: Sports Court Wasafi FM leo.
Simba SC nadhani tumeshauvumilia huu unafiki uliopitiliza wa Mbunge wa Kinondoni Tarimba Abbas.
Tarimba Abbas (Mbunge wa Kinondoni) amesahau kuwa ni Simba SC pekee kwa hapa Tanzania na Afrika Mashariki ndiyo inaipa Mileage ya kutosha Kampuni yake ya Spoti Pesa na siyo Klabu yake inayochechemea ya Yanga.
Mimi kama GENTAMYCINE (Msaga Kunguni Mkuu na Mzee wa Nongwa JamiiForums nzima) nauomba upesi sana Uongozi wa Simba SC utafakari hili la huyu Mbunge Tarimba Abbas kwa Kina ila Simba SC ikisitisha Mkataba rasmi na Spoti Pesa ndiyo itakuwa Furaha yangu na atatia Adabu.
Kampuni za Kuidhamini Simba SC ni nyingi na tena Kubwa na zenye Financial Stability na Muscles kuliko hiyo Spoti Pesa yake. Kama Mbunge Tarimba Abbas anavyoichukia Simba SC na Mimi GENTAMYCINE simpendi vile vile. Ubaya Ubayani tu Kudadadeki.
Wallace Karia miaka Minne ( 4 ) tena kwani amefanya mengi na makubwa halafu anatosha vile vile. Tena napendekeza Wallace Karia atawale (aiongoze) TFF hii daima milele Amina au mpaka pale atakapochoka Yeye.