GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,871
- Thread starter
- #21
Tena hili lifanyike haraka sana kuanzia Leo hii. Huyu Mtu ( Mbunge Tarimba Abbas ) ni Mnafiki, Adui mkubwa wa Simba SC na hata Soka la Tanzania pia.Kwa chuki hizi za Tarimba, kuna umuhimu wa Mashabiki wa Simba kuacha kubeti kwenye Kampuni ya Sportpesa.