Mngulu anasema hayuko tayari kuona wapinzani wakisherehekea ushindi hata kama watakuwa wameshinda .Haya ni matatizo kwani mwaka jana majimbo mengi ambayo wapinzani walishinda yalitangazwa baada ya maandamano.Anaposema anamsubiri kiongozi furani aandamane kudai ushindi ili yeye mwenyewe apambane naye inaonyesha hatetei haki bali maovu.SOURCE CHANNEL 10