jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Haya sio maneno yangu bali ni maneno kutoka kwa mbunge jimboni Mtama ndugu Nape Nnauye.
Wanamtama zaidi ya 2600 wamewawakilisha wananchi wenzao kusaini form za udhamini za Rais Magufuli ili aweze kupata fursa ya kugombea Urais kupitia CCM.
Hongera wana Mtama kwa kutambua kazi zilizofanywa na Rais Magufuli na hivyo kuendelea kumuaminia!
Wanamtama zaidi ya 2600 wamewawakilisha wananchi wenzao kusaini form za udhamini za Rais Magufuli ili aweze kupata fursa ya kugombea Urais kupitia CCM.
Hongera wana Mtama kwa kutambua kazi zilizofanywa na Rais Magufuli na hivyo kuendelea kumuaminia!