nyboma
JF-Expert Member
- Aug 29, 2021
- 2,199
- 6,890
Kauli ya Mama yetu Raisi Samiah Suluhu Hassan wakati akishuhudia utiaji saini wa awamu ya tatu ya reli ya SGR
"..Ubora wa vifaa vinavyonunuliwa uendane na reli inayojengwa kwa sababu miezi michache niliyokaa serikali, nimeona mambo mengi sana ambayo huko nyuma yalikuwa hayafanyiki lakini sasa yanataka kufanyika, sitakubaki yafanyike”
Kwa upande wangu ningependa kumshauri Mtukufu Mama na Rais wetu Samiah Suluhu Hassani kwamba
“Itakuwa vyema kwa yeye kukaa pembeni mwaka 2025 ili kuepuka kutoa malalamiko kama haya katika hotuba zake pindi ahutubiapo Taifa”
Mpaka Sasa najiulizia Mama yetu Samiah hajatambua nguvu aliyonayo hadi kushauriwa mambo ambayo anaona kabisa yanampotezea credit kwa wananchi na hii inanipa picha ya kwamba kuna watendaji wa ngazi za juu kabisa wanamdharau Mama yetu huyu.
Nihitimishe kwa kusema awe makini na washauri wake maana wamegundua mama ni mpole na ni mgumu wa kuchukua maamuzi.
"..Ubora wa vifaa vinavyonunuliwa uendane na reli inayojengwa kwa sababu miezi michache niliyokaa serikali, nimeona mambo mengi sana ambayo huko nyuma yalikuwa hayafanyiki lakini sasa yanataka kufanyika, sitakubaki yafanyike”
Kwa upande wangu ningependa kumshauri Mtukufu Mama na Rais wetu Samiah Suluhu Hassani kwamba
“Itakuwa vyema kwa yeye kukaa pembeni mwaka 2025 ili kuepuka kutoa malalamiko kama haya katika hotuba zake pindi ahutubiapo Taifa”
Mpaka Sasa najiulizia Mama yetu Samiah hajatambua nguvu aliyonayo hadi kushauriwa mambo ambayo anaona kabisa yanampotezea credit kwa wananchi na hii inanipa picha ya kwamba kuna watendaji wa ngazi za juu kabisa wanamdharau Mama yetu huyu.
Nihitimishe kwa kusema awe makini na washauri wake maana wamegundua mama ni mpole na ni mgumu wa kuchukua maamuzi.