MartinCoder
JF-Expert Member
- Feb 20, 2018
- 700
- 629
...
Endelea kuota, labda kama hawakushtakiwa na Feleshi, DPP yule alikuwa mtu wa haki sana na issue ya hao jamaa si ya kitoto, mnapiga mayowe tu sababu hamuijui na hamjui tulikokuwa tunaelekea kama hao wasingeshughulikiwa.
Kwanini kesi yao haisikilizwi kama kuna ushahidi wahukumiwe? Kesi zote zingekua zinaendeshwa na kuamuliwa kwa msingi huo kama unavyosema wewe kwamba "NYIE HAMJUI TU TULIPOKUA TUNAELEKE" basi ingekua hatari sanaEndelea kuota, labda kama hawakushtakiwa na Feleshi, DPP yule alikuwa mtu wa haki sana na issue ya hao jamaa si ya kitoto, mnapiga mayowe tu sababu hamuijui na hamjui tulikokuwa tunaelekea kama hao wasingeshughulikiwa.
WATU WANAPIGA BLABLA BILA KUJUA NDO MAANA HATA LISSU ILIBIDI TUMPE STOP KUBWA MAANA NAYE ALIKUWA NI WALE WALEEndelea kuota, labda kama hawakushtakiwa na Feleshi, DPP yule alikuwa mtu wa haki sana na issue ya hao jamaa si ya kitoto, mnapiga mayowe tu sababu hamuijui na hamjui tulikokuwa tunaelekea kama hao wasingeshughulikiwa.
Tueleze wewe unaejua haki huu mwaka wangapi hao masheikh wapo mahabusu hawajahukumiwa.Endelea kuota, labda kama hawakushtakiwa na Feleshi, DPP yule alikuwa mtu wa haki sana na issue ya hao jamaa si ya kitoto, mnapiga mayowe tu sababu hamuijui na hamjui tulikokuwa tunaelekea kama hao wasingeshughulikiwa.
Namshangaa huyo hapo juu anaesema hatujui kilichokuwa kinaendelea. Hivi mtuhumiwa akishathibitika si anahukumiwa? Sasa masheikh wawatu karibu mwaka wa 5 huu hakuna hukumu hakuna linaloendelea utasema Luna haki hapo.hii nchi imejaa uonevu Sana'a.Kawanini kesi yao haisikilizi kama kuna ushahidi wahukumiwe? Kesi zote zingekua zinaendeshwa na kuamuliwa kama unavyosema wewe kwamba "NYIE HAMJUI TU TULIPOKUA TUNAELEKEA HAMJUI" basi ingekua hatari sana
Watu wanowatete hawa jamaa wanasema hawataki wapendelewe, kama wamefanya kosa na wahukumie lakini pia wasionewe kama hivi ambavyo wapo ndani kama wamewekwa detention without trial
Mie Nakubaliana na hiloEndelea kuota, labda kama hawakushtakiwa na Feleshi, DPP yule alikuwa mtu wa haki sana na issue ya hao jamaa si ya kitoto, mnapiga mayowe tu sababu hamuijui na hamjui tulikokuwa tunaelekea kama hao wasingeshughulikiwa.
Mlikusudia Kumpa stop au kumuua??WATU WANAPIGA BLABLA BILA KUJUA NDO MAANA HATA LISSU ILIBIDI TUMPE STOP KUBWA MAANA NAYE ALIKUWA NI WALE WALE
Hyo kesi ya Uhujumu uchumi ya Askari wa Mwanza waliachiwa na kurudishwa kazini nadhani inaizd waliyonayo masheke wa uamsho sababu na ushahidiEndelea kuota, labda kama hawakushtakiwa na Feleshi, DPP yule alikuwa mtu wa haki sana na issue ya hao jamaa si ya kitoto, mnapiga mayowe tu sababu hamuijui na hamjui tulikokuwa tunaelekea kama hao wasingeshughulikiwa.
Basi Magufuli atakuwa yupo desperate sana akifikia kiwaachia hao watu. Desperation ya kupendwa na wengi, unafanya kila kitu kuwafurahisha
Wale wangeleta vurugu sana tu kule zenj, wangeweza hata kupindua govt sultan arudiEndelea kuota, labda kama hawakushtakiwa na Feleshi, DPP yule alikuwa mtu wa haki sana na issue ya hao jamaa si ya kitoto, mnapiga mayowe tu sababu hamuijui na hamjui tulikokuwa tunaelekea kama hao wasingeshughulikiwa.
Basi Magufuli atakuwa yupo desperate sana akifikia kiwaachia hao watu. Desperation ya kupendwa na wengi, unafanya kila kitu kuwafurahisha
Mungu atawahukumu kwa hilo Malipo ni lazimaWATU WANAPIGA BLABLA BILA KUJUA NDO MAANA HATA LISSU ILIBIDI TUMPE STOP KUBWA MAANA NAYE ALIKUWA NI WALE WALE
Mie Nakubaliana na hilo
Wale walikuwa sio watu wazuri kwa Taifa
Endelea kuota, labda kama hawakushtakiwa na Feleshi, DPP yule alikuwa mtu wa haki sana na issue ya hao jamaa si ya kitoto, mnapiga mayowe tu sababu hamuijui na hamjui tulikokuwa tunaelekea kama hao wasingeshughulikiwa.
Unasema yote hayo bila kusema kwa nini kesi yao haijasikilizwa hadi leo. Na kama ushahidi upo wazi kama mnavyodai kwa nini hauwasilishwi mahakamani ili wahukumiwe??Endelea kuota, labda kama hawakushtakiwa na Feleshi, DPP yule alikuwa mtu wa haki sana na issue ya hao jamaa si ya kitoto, mnapiga mayowe tu sababu hamuijui na hamjui tulikokuwa tunaelekea kama hao wasingeshughulikiwa.
Hyo adhabu waliokarishwa maabusu bila kuhukumiwa inatosha kama Askari 8 wa Mwanza waliokaa maabusu takriban miezi 5. Kwa miezi hiyo askari waliokaa maabusu imetosha kuwa fundisho kwa askari wengine kama Rais alivyosemaWale wangeleta vurugu sana tu kule zenj, wangeweza hata kupindua govt sultan arudi
Hiyo mada umeitoa wapiHao Askari 8 wa Mwanza wanauzuri gani kwa Taifa zaidi ya kuihujumu kwa tamaa za Kimaisha za haraka haraka