johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,761
Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Magufuli amewataka wanachama wa chama chake kuacha kugombana kwa tamaa ya kugombea madaraka na hasa ubunge na udiwani.
Rais Magufuli amewataka wana CCM kufuata taratibu na kanuni za chama kuhusiana na kura za maoni na kwamba waepuke tabia za "kukurupuka"
Rais Magufuli amewataka wana CCM kusubiri ratiba ya chama kuhusu muda wa kutangaza NIA na utaratibu wa kampeni za kura ya maoni.
Source: Star Tv
My take: Naibu Waziri Mwita Waitara ameshatangaza nia kupitia Star Tv kwamba atagombea Ubunge Tarime Bijijini, Je amekurupuka?
Rais Magufuli amewataka wana CCM kufuata taratibu na kanuni za chama kuhusiana na kura za maoni na kwamba waepuke tabia za "kukurupuka"
Rais Magufuli amewataka wana CCM kusubiri ratiba ya chama kuhusu muda wa kutangaza NIA na utaratibu wa kampeni za kura ya maoni.
Source: Star Tv
My take: Naibu Waziri Mwita Waitara ameshatangaza nia kupitia Star Tv kwamba atagombea Ubunge Tarime Bijijini, Je amekurupuka?