GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,466
- 108,621
Jana alipokuwa katika Ziara ya Kujitambulisha huko Visiwani Zanzibar Mkuu mpya wa Jeshi la Polisi nchini IGP Sirro alisikika na kuonekana akiwa na hasira sana aliposema kuwa namnukuu “ Sitaki kuona ama kusikia kuna Askari wa Jeshi la Police ni Muoga / Mwoga. Hii Kazi mliitaka wenyewe sasa kwanini siku hizi kumezuka na Kundi kubwa la Askari Police waoga? Hivi kwa style hii tutaweza kupambana na Wahalifu kweli? Katika Uongozi wangu sitaki kuona au kusikia kuwa nina Askari waoga tafadhali kwani hii ni Kazi ya Kishujaa hivyo tuonyeshe Ushujaa wetu katika kuwalinda Raia na Mali zao “ mwisho wa Kumnukuu
Je kwa hii Kauli ya IGP Sirro haitoshi kuwa ni Kielelezo tosha kuwa Jeshi la Police Tanzania
1.Ni Goigoi
2.Hawana Ueledi
3.Wanapewa Mafunzo mabovu
4.Si Wazalendo
5.Wameajiri wataka Mishahara na si Watendaji / Wachapa Kazi wa Kutukuka
6.Hawajui Majukumu yao
7.Usaili wao una walakini / matataizo
Nawasilisha.
Je kwa hii Kauli ya IGP Sirro haitoshi kuwa ni Kielelezo tosha kuwa Jeshi la Police Tanzania
1.Ni Goigoi
2.Hawana Ueledi
3.Wanapewa Mafunzo mabovu
4.Si Wazalendo
5.Wameajiri wataka Mishahara na si Watendaji / Wachapa Kazi wa Kutukuka
6.Hawajui Majukumu yao
7.Usaili wao una walakini / matataizo
Nawasilisha.