GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,418
- 108,517
Katika Mahojiano yake na Azam Tv dhidi ya Tamthilia maarufu ya Sultan Mbunge Nape Nnauye alisikika akisema kuwa Damu ya Mtu Inadai na hata wakati anaisema hii Kauli Usoni mwake alionekana ni Mtu aliye serious kabisa kana kwamba kuna Jambo linamuumiza au limetokea na limemuumiza.
Kwa wale mliobobea katika Mafumbo kwa Kauli hii ya Nape kuwa Damu ya Mtu Inadai analenga nini?
Tujadili.
Kwa wale mliobobea katika Mafumbo kwa Kauli hii ya Nape kuwa Damu ya Mtu Inadai analenga nini?
Tujadili.