Kwa Kauli hii tata na iliyojaa Mafumbo Mbunge Nape Nnauye amemaanisha nini na kamlenga nani Tanzania?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,418
108,517
Katika Mahojiano yake na Azam Tv dhidi ya Tamthilia maarufu ya Sultan Mbunge Nape Nnauye alisikika akisema kuwa Damu ya Mtu Inadai na hata wakati anaisema hii Kauli Usoni mwake alionekana ni Mtu aliye serious kabisa kana kwamba kuna Jambo linamuumiza au limetokea na limemuumiza.

Kwa wale mliobobea katika Mafumbo kwa Kauli hii ya Nape kuwa Damu ya Mtu Inadai analenga nini?

Tujadili.
 
Katika Mahojiano yake na Azam Tv dhidi ya Tamthilia maarufu ya Sultan Mbunge Nape Nnauye alisikika akisema kuwa Damu ya Mtu Inadai na hata wakati anaisema hii Kauli Usoni mwake alionekana ni Mtu aliye serious kabisa kana kwamba kuna Jambo linamuumiza au limetokea na limemuumiza.

Kwa wale mliobobea katika Mafumbo kwa Kauli hii ya Nape kuwa Damu ya Mtu Inadai analenga nini?

Tujadili.
Nimependa pale aliposema kuhusu maamuzi ya busara ya kiongozi.
 
Katika Mahojiano yake na Azam Tv dhidi ya Tamthilia maarufu ya Sultan Mbunge Nape Nnauye alisikika akisema kuwa Damu ya Mtu Inadai na hata wakati anaisema hii Kauli Usoni mwake alionekana ni Mtu aliye serious kabisa kana kwamba kuna Jambo linamuumiza au limetokea na limemuumiza.

Kwa wale mliobobea katika Mafumbo kwa Kauli hii ya Nape kuwa Damu ya Mtu Inadai analenga nini?

Tujadili.
Halengi damu ya mtu kweli, bali damu ya mtu kwenye tamthilia.

Nape alikuwa ni shujaa enzi zile akisema ”kinyago uchonge mwenyewe, hakiwezi kukutisha" lakini tangu alipotishwa na hiki kinyago alichokichonga mwenyewe, sasa Nape ni kwisha kabisa habari yake, hadi akiona kivuli tuu, anatishika.
P.
 
Katika Mahojiano yake na Azam Tv dhidi ya Tamthilia maarufu ya Sultan Mbunge Nape Nnauye alisikika akisema kuwa Damu ya Mtu Inadai na hata wakati anaisema hii Kauli Usoni mwake alionekana ni Mtu aliye serious kabisa kana kwamba kuna Jambo linamuumiza au limetokea na limemuumiza.

Kwa wale mliobobea katika Mafumbo kwa Kauli hii ya Nape kuwa Damu ya Mtu Inadai analenga nini?

Tujadili.
He is just a loser na hana busara.
 
Halengi damu ya mtu kweli, bali damu ya mtu kwenye tamthilia.

Nape alikuwa ni shujaa enzi zile akisema ”kinyago uchonge mwenyewe, hakiwezi kukutisha" lakini tangu alipotishwa na hiki kinyago alichokichonga mwenyewe, sasa Nape ni kwisha kabisa habari yake.
P.
Vugu_vugu
 
Huu ndio ukweli halisi!
Kifupi Nape ametepeta!
Halengi damu ya mtu kweli, bali damu ya mtu kwenye tamthilia.

Nape alikuwa ni shujaa enzi zile akisema ”kinyago uchonge mwenyewe, hakiwezi kukutisha" lakini tangu alipotishwa na hiki kinyago alichokichonga mwenyewe, sasa Nape ni kwisha kabisa habari yake.
P.
 
Halengi damu ya mtu kweli, bali damu ya mtu kwenye tamthilia.

Nape alikuwa ni shujaa enzi zile akisema ”kinyago uchonge mwenyewe, hakiwezi kukutisha" lakini tangu alipotishwa na hiki kinyago alichokichonga mwenyewe, sasa Nape ni kwisha kabisa habari yake.
P.
Nape ameendelea kutotishwa na kinyago alichokichonga mwenyewe. Angetishwa angefunga mdomo.
 
Halengi damu ya mtu kweli, bali damu ya mtu kwenye tamthilia.
Nape alikuwa ni shujaa enzi zile akisema ”kinyago uchonge mwenyewe, hakiwezi kukutisha" lakini tangu alipotishwa na hiki kinyago alichokichonga mwenyewe, sasa Nape ni kwisha kabisa habari yake.
P.


Alichonga kinyago gani?
 
Back
Top Bottom