Kwa Kauli hii Seif kweli si UAMSHO? au kuna nini nyuma ya kauli hii?

...au ni moja ya ajenda za mkuu wa kaya kwenda Oman kutatua hili...nahisi hivyo mie.
 
Cuf baada ya kuona wameingia ktk SUK kuna mambo ambayo walikuwa wanafanya sasa haiwezekani tena, wakaanzisha tena kikundi cha kidini kinachotekeleza malengo ya kisiasa lengo ni kuondoa ukristo znz na kuondoa ccm. Mfano mzuri kauli za Jusa waliposhindwa uchaguzi huko znz, pili kauli ya sharif Hamad kuwa yeye ni muumini wa muungano wa mkataba, kufumbiwa macho na cuf na kundi lote la mwamsho ni wanachama wa cuf.
 
Jana makamu wa kwanza wa rais Zanzibar Seif kasema na nilimsikia kwamba Wazanzibar wanayo katiba Yao kwa hiyo machakato wa Katiba hauwahusu ila tu waseme maoni Yao kuhusu Muungano.

Wadau hapa Utamtofautishaje na UAMSHO?

Majuto ya mzigo wa kujitakia
 
Ulishachoma makanisa mangapi mpaka sasa na ofisi za CCM ngapi...Ukila nyama ya Mtu huwezi kuacha---Mwl nyerere said...
 
Kwani Sefu au Mwingine yeyote kuwaunga mkono Uamsho ni haramu?

Bravo, Maalim umesema ukweli lakini wengine wanakwama kusema. Zanzibar wanakatiba yao na ilipitishwa kwa maoni ya wengi. Kwa nini wasiachiwe wafanye watakalo wakati katiba yao inatamka wazi kuwa Zanzibar in dola kamili? Maalim sema na sema tena mpaka watanganyika tufunguke masikio yaliyozibwa na pamba za kijani.
 
Cuf baada ya kuona wameingia ktk SUK kuna mambo ambayo walikuwa wanafanya sasa haiwezekani tena, wakaanzisha tena kikundi cha kidini kinachotekeleza malengo ya kisiasa lengo ni kuondoa ukristo znz na kuondoa ccm. Mfano mzuri kauli za Jusa waliposhindwa uchaguzi huko znz, pili kauli ya sharif Hamad kuwa yeye ni muumini wa muungano wa mkataba, kufumbiwa macho na cuf na kundi lote la mwamsho ni wanachama wa cuf.

Lengo lao kuu ni la kisiasa zaidi i.e. kuiondoa ccm na kuvunja muungano. Wanapohusisha na mambo ya kidini ni njia ya kukuza mgogoro, lakini si nia yao ya msingi.
 
maalim hajakosea sana.yupo sahihi yewezeka pia ni uamsho kutokana kile wanacho kipigania....watu wabara tuwape sapoti ya kutosha zanzibar wapate uhuru wao kitoka tanganyika..........let zanzibar go!
 
Back
Top Bottom