GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,418
- 108,517
He said:
I have never stolen and I am rich - Ugandan President Yoweri Museveni
Yaani akimaanisha ya kwamba:
Hajawahi kuiba tokea awe madarakani, wala kuwaibia chochote kile Waganda lakini yeye ni bonge la tajiri.
Je, Waswahili (ukimuondoa GENTAMYCINE tu) mnaomsakama Museveni 24 / 7 mnakubaliana naye au mnamkatalia?
Chanzo Habari: The Citizen
I have never stolen and I am rich - Ugandan President Yoweri Museveni
Yaani akimaanisha ya kwamba:
Hajawahi kuiba tokea awe madarakani, wala kuwaibia chochote kile Waganda lakini yeye ni bonge la tajiri.
Je, Waswahili (ukimuondoa GENTAMYCINE tu) mnaomsakama Museveni 24 / 7 mnakubaliana naye au mnamkatalia?
Chanzo Habari: The Citizen