KWA KAULI hii MUUNGANO UVUNJIKE TU!!!!!!

Angalia haya maneno ya Spika:
=====================================================================================================
Hata hivyo Spika Makinda alikataa kuahirisha shughuli za Bunge akisema kanuni hiyo inatumika vibaya, kwani ilitakiwa jambo hilo liwe limetokea eneo lililo karibu na Bunge.

Alisema watahitajika wabunge wawahi kutoa damu au msaada wowote wa haraka lakini kwakuwa limetokea Zanzibar, wabunge hawawezi kutoa msaada wowote kwa haraka, zaidi ya kupiga simu kujua kilichotokea.

"Nimeshawasiliana na waziri anayehusika na majanga na wamekubaliana kuwa awasiliane na wahusika waliopo kwenye eneo la tukio na kisha tutajua tutakavyojipanga," alisema Makinda.

=========================================================================================

MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!

Nini kibaya hapo? Halafu siyaoni kwenye post yako ya mwanzo.
 
BOFYA HAPA: 250 wazama Zanzibar

Naanza kwa kuwapa pole wananchi wote walipoteza ndugu zao na wale walionusurika katika ajali ya kuzama kwa meli hapo jana 18/07/2012.

RIP Marehemu wote.

Maneno aliyosema Mh. Spika na tabia ya uendeshaji wa Bunge la Muungano inaonyesha kuna ubaguzi mkubwa ambapo hakuna sababu ya kuendelea kuwa na Muungano kama pande za Muungano hazina umoja na Mshikamanao wa kweli.

Na pia kauli ya Raisi Kikwete eti anatuma salamu za Rambirambi kwa Raisi wa ZNZ, ina maana hizi ni nchi mbili kwani tulitegemea kama ni salamu za Rambirambi zitoke nje ya JMT na siyo kutoka kwa Rais wa JMT.

Waliopatwa na maafa katika tukio la kuzama meli hapo jana siyo WAZNZ peke yao bali ile meli ilikuwa inatoka DSM kwenda ZNZ hivyo bila shaka pia kuna Watu wa huko Tanzania bara walikuwmo pia.

Sas Raisi Kikwete aliwaona wa Wananchi wa tanzania Visiwani tu, hakujua kuwa tukiwa kama nchi kuna wananchi wengi toka Bara wamo na wananch wengi wa ZNZ wamo katika ile meli.

Binafsi sioni sababu za kuendelea na muungano kwani viongozi wa mihimili ya juu wamejionyesha kuwa tupo tofauti.



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!

Nini kibaya hapo? Halafu siyaoni kwenye post yako ya mwanzo.


Mkuu pale niliposema "BOFYA HAPA"

Je, uliangalia awali??



MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!
 
Mkuu pale niliposema "BOFYA HAPA"

Je, uliangalia awali??



MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!

Nimesoma post yote sijaona "swali". "kwa kauli hii" kwenye post yako ya kwanza ya uzi inaashiria kuna hiyo kauli hapo. Huko kwingine nimebofya nikapasoma nako pia sijaona "kauli" yenye utata. Jee, unaweza kuiweka hapa hiyo kauli iliyokufikishia kusisitiza "muungano uvunjike" kwa faida yako, yangu na ya wengine?
 
kutoa rambirambi hakuhusiani na muungano acheni uchonganishi.haya ni matatizo ya mawazo kuegemea sehemu moja.
 
Kwahiyo unamfananisha rais wa zenji na mkuu wa mkoa?
Alinza Dr. Sengondo Mvungi kumfananisha hivo...wakamdhihaki....Sasa inaaza kuthibitika kuwa alikuwa sahihi. Kama hakuwa sahihi iweje atumiwe salamu hizi sawa na anavyotumiwa Mkuu wa Mkoa wa Mara pale wakurya wanapochinjana? Ila rais wangu alipitiwa...hakujua kuwa hata na sisi wabara tulikuwemo melini....kwa hiyo hatupatiwi hiyo pole? ooooh labda imezama KWENYE MIPAKA ya Zanziba!
 
Hivi pale JK anapotuma rambi rambi kwa mkuu wa mkoa ajali au kitu kinapotokea hua inakuwaje?

Huu ni msiba wa Kitaifa au na wewe una mawazo kama ya Spika Makinda kuwa tuwaachie WaZNZ, na sisi tuwasiliane kwa simu kujua kinachoendelea?????

Ndani ya ile meli ilikuwa na Watu wa Bara na Visiwani, hivyo na sisi pia kuna ndugu zetu tumepoteza, je na sisi pia ni WaZNZ????

Kwa nini mnakurupuka bila kufikiria, kwa kiongozi wa Kitaifa anatakiwa kujua kuwa huu ni msiba wa kitaifa na siyo Wa ZNZ.

au ndio kusema ZNZ ni nchi inayojitegemea???

Na ndio maana binafsi nasema kwa hili ni heri Muungano ufe.




MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 

Huu ni msiba wa Kitaifa au na wewe una mawazo kama ya Spika Makinda kuwa tuwaachie WaZNZ, na sisi tuwasiliane kwa simu kujua kinachoendelea?????

Ndani ya ile meli ilikuwa na Watu wa Bara na Visiwani, hivyo na sisi pia kuna ndugu zetu tumepoteza, je na sisi pia ni WaZNZ????

Kwa nini mnakurupuka bila kufikiria, kwa kiongozi wa Kitaifa anatakiwa kujua kuwa huu ni msiba wa kitaifa na siyo Wa ZNZ.

au ndio kusema ZNZ ni nchi inayojitegemea???

Na ndio maana binafsi nasema kwa hili ni heli Muungano ufe.




MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
Jibu swali akituma kwenye ajali ilitokea kwenye mkoa inamaanisha wote ni wa mkoa huo?
Think big
 
Nimesoma post yote sijaona "swali". "kwa kauli hii" kwenye post yako ya kwanza ya uzi inaashiria kuna hiyo kauli hapo. Huko kwingine nimebofya nikapasoma nako pia sijaona "kauli" yenye utata. Jee, unaweza kuiweka hapa hiyo kauli iliyokufikishia kusisitiza "muungano uvunjike" kwa faida yako, yangu na ya wengine?

Nakuomba rejea pale BOFYA kisha nukuu kauli ya SPIKA, na inajulikana wazi kwani tulimsikia kwa kinywa chake, hii inaonyesha kuwa hajashtuka na tukio lililotokea, au alitarajia kuwa itatokea hivyo ndio maana aliona ni sawa.

Au ndio tuna maanisha ule usemi wetu mpya "LIWALO NA LIWE"????????



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Jibu swali akituma kwenye ajali ilitokea kwenye mkoa inamaanisha wote ni wa mkoa huo?
Think big

Naomba tafuta ushahidi wa kimaandishi weka hapa; kutetea hoja yako


MIZAMBWA
INAUMA SANA!!!
 
Kwa nini hamwelewi hakuna kitu kinaitwa muungano?

Nyerere na karume walishakufa nao
 
BOFYA HAPA: 250 wazama Zanzibar

Naanza kwa kuwapa pole wananchi wote walipoteza ndugu zao na wale walionusurika katika ajali ya kuzama kwa meli hapo jana 18/07/2012.

RIP Marehemu wote.

Maneno aliyosema Mh. Spika na tabia ya uendeshaji wa Bunge la Muungano inaonyesha kuna ubaguzi mkubwa ambapo hakuna sababu ya kuendelea kuwa na Muungano kama pande za Muungano hazina umoja na Mshikamanao wa kweli.

Na pia kauli ya Raisi Kikwete eti anatuma salamu za Rambirambi kwa Raisi wa ZNZ, ina maana hizi ni nchi mbili kwani tulitegemea kama ni salamu za Rambirambi zitoke nje ya JMT na siyo kutoka kwa Rais wa JMT.

Waliopatwa na maafa katika tukio la kuzama meli hapo jana siyo WAZNZ peke yao bali ile meli ilikuwa inatoka DSM kwenda ZNZ hivyo bila shaka pia kuna Watu wa huko Tanzania bara walikuwmo pia.

Sas Raisi Kikwete aliwaona wa Wananchi wa tanzania Visiwani tu, hakujua kuwa tukiwa kama nchi kuna wananchi wengi toka Bara wamo na wananch wengi wa ZNZ wamo katika ile meli.

Binafsi sioni sababu za kuendelea na muungano kwani viongozi wa mihimili ya juu wamejionyesha kuwa tupo tofauti.



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!

Kwani wewe ulikuwa hujui kuwa ni Zanzibar ni nchi inayojitegemea???!! Zanzibar ina rais wake na serikali yake, ina bunge lake, ina bendera yake, ina wimbo wa taifa, nk..............!!!! Binafsi wala huu Muungano siulewi kabisa! Ni sawa na familia mbili zilizokubaliana kula chakula kwa pamoja, cha ajabu familia moja ndo inakula chakula cha familia nyingine!!!!!...:shocked::A S-confused1:
 
Kwani mkuu ulikua hufahamu kuwa Zanzibar na rais wao ni kama mkoa na mkuu wa mkoa tu, bisha nikupe ushahidi, bajeti zao zote source of income moja wapo huwa tutapokea kiasi fulani toka Tanzania bara na nyingine kwenye vyanzo vyao, kwani bajeti za mikoa hasa majiji huwa zinakuaje? si ni hivyo hivyo tu.

Muheshimia Shein akienda nje ya nchi huwa anatambuliwa kama nani? maana'ke huwa wanasema ametoka Tanzania na sio Zanzibar, rais wa Tanzania nje ya nchi jamani si anaeleweka? Labda kimsingi tunaweza kumpa nafasi sawa na Waziri, kwani kwenye baraza la mawaziri yeye na Dr Hussein Mwinyi, tofauti zao huwa ni nini pale kikaoni? Bisheni sasa, kwanza hata hela za kuwalipa polisi wenu huwa mnatoa huku!

Asiyejua maana usimwambie maana. Huna ulijualo, kaa kimya.
 
kila kitu unataka utafuniwe tu si u google utaona andika rambirambi za JK kwa mkuu wa mkoa

Na hawa watapokea salamu za Rambi rambi kutoka nchi gani, maana Tanganyika imetuma Rambi rambi kwenda ZNZ.

Sasa hawa ni Watanganyika je wapo kundi lipi????

===================================================================================================
Maiti zilizotambuliwa

Hadi saa 10 jioni jana, maiti 63 zilikuwa zimepatikana na watu 145 kuokolewa wakiwa hai. Hata hivyo kati ya maiti hizo zilizopatikana, matiti 34 zilichukuliwa na ndugu zao.

Baadhi ya maiti waliotambuliwa pamoja na umri wao na maeneo wanayoishi katika mabano ni Anita Emanuel (42, Kibamba -Dar es Salaam), Rukiya Issa Muombwa (miezi 2, Meli nne –Fuoni Zanzibar ), Halima Ali Khamis (23, Mtopepo- Zanzibar), Kolin Krispin (miezi 9, Kunduchi - Dares Salaam) na Rahma Ali Abdalla (miaka 52, Mfenesini - Zanzibar).

Maiti wengine ni Said Jumanne Masanja (miaka 9, Nzega Tabora), Sauda Abdalla Omar (22, Ole Pemba), Said Juma Said (36, Arusha), Amina Abdalla Tindwa, (miezi 6, Fuoni), Halima Ramadhani Kilimo, (53, Morogoro), Khadija Omar Ali (58), Amina Hamir Bakari (39, Chukwani - Zanzibar), Mwanahamisi Mshauri (42, Kibandamaiti), Ali Hamdu Othman (35, Mkwajuni) na Mohamed Said Salum (40, Magomeni Mikumi - Dares Salaam).
Wengine ni Amina Ahmed Ramadhani (21, Michenzani zanzibar ), Mgeni Juma Halfani (25, Daraja Bovu), Khadija Rajab Kibune (22, Fuoni), Maua Ramadhani Feruzi (29, Mwembeladu), Hussein Ali Khamis (4, Mwanakwerekwe) na Sabiha Heri Mbarouk (25, Mgeleme, Chakechake-Pemba).

Pia wamo Halima Ali Mohamed (35, Kiwengwa- Zanzibar), Asia Juma Khamis (29, Kiembe Samaki), Yusuf Hasan Yusuf (7, Chamanzi, Dar es Salaam), Batuli Abrahmani Amir (20, Jang'ombe), Fatma Said Sultani (54, Msasani Dar es Salaam), Juma Jafari Shajak (Miezi 6, Kimaneta - Tanga) na Mohamed Ali Ngombe (41, Buguruni - Dares Salaam).


Source: Gazeti Mwananchi la leo.
===============================================================================================


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 

Na hawa watapokea salamu za Rambi rambi kutoka nchi gani, maana Tanganyika imetuma Rambi rambi kwenda ZNZ.

Sasa hawa ni Watanganyika je wapo kundi lipi????

===================================================================================================
Maiti zilizotambuliwa

Hadi saa 10 jioni jana, maiti 63 zilikuwa zimepatikana na watu 145 kuokolewa wakiwa hai. Hata hivyo kati ya maiti hizo zilizopatikana, matiti 34 zilichukuliwa na ndugu zao.

Baadhi ya maiti waliotambuliwa pamoja na umri wao na maeneo wanayoishi katika mabano ni Anita Emanuel (42, Kibamba -Dar es Salaam), Rukiya Issa Muombwa (miezi 2, Meli nne –Fuoni Zanzibar ), Halima Ali Khamis (23, Mtopepo- Zanzibar), Kolin Krispin (miezi 9, Kunduchi - Dares Salaam) na Rahma Ali Abdalla (miaka 52, Mfenesini - Zanzibar).

Maiti wengine ni Said Jumanne Masanja (miaka 9, Nzega Tabora), Sauda Abdalla Omar (22, Ole Pemba), Said Juma Said (36, Arusha), Amina Abdalla Tindwa, (miezi 6, Fuoni), Halima Ramadhani Kilimo, (53, Morogoro), Khadija Omar Ali (58), Amina Hamir Bakari (39, Chukwani - Zanzibar), Mwanahamisi Mshauri (42, Kibandamaiti), Ali Hamdu Othman (35, Mkwajuni) na Mohamed Said Salum (40, Magomeni Mikumi - Dares Salaam).
Wengine ni Amina Ahmed Ramadhani (21, Michenzani zanzibar ), Mgeni Juma Halfani (25, Daraja Bovu), Khadija Rajab Kibune (22, Fuoni), Maua Ramadhani Feruzi (29, Mwembeladu), Hussein Ali Khamis (4, Mwanakwerekwe) na Sabiha Heri Mbarouk (25, Mgeleme, Chakechake-Pemba).

Pia wamo Halima Ali Mohamed (35, Kiwengwa- Zanzibar), Asia Juma Khamis (29, Kiembe Samaki), Yusuf Hasan Yusuf (7, Chamanzi, Dar es Salaam), Batuli Abrahmani Amir (20, Jang'ombe), Fatma Said Sultani (54, Msasani Dar es Salaam), Juma Jafari Shajak (Miezi 6, Kimaneta - Tanga) na Mohamed Ali Ngombe (41, Buguruni - Dares Salaam).


Source: Gazeti Mwananchi la leo.
===============================================================================================


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
Kwa hiyo hakuna wa zanzibari wanakoaa dar es salaam yaani we ukiona dar basi sio mzazibari sio?
Hoja inabaki pale pale ajali hii imetokea zanzibar na ndio maana JK kamtumia salamu za rambi rambi Rais wa Zanzibar. Mbona kichwa chako kigumu kuelewa?
 
Kwa hiyo hakuna wa zanzibari wanakoaa dar es salaam yaani we ukiona dar basi sio mzazibari sio?
Hoja inabaki pale pale ajali hii imetokea zanzibar na ndio maana JK kamtumia salamu za rambi rambi Rais wa Zanzibar. Mbona kichwa chako kigumu kuelewa?

Swadakta!!!!!!! nilikuwa nataka jibu hilo.

Hivyo ina maana kuwa Tanzania Bara na Tanzania Visiwani ni kitu kimoja; sasa kwa nini tunawabagua kwa kauli zetu.

Kauli za Spika Makinda ni kuonyesha ubaguzi hadharani. Jinsi anavyowabagua Wabunge Wapinzani ndani ya Bunge; na sasa anaonyesha dhahiri ubaguzi na kwa WaZNZ.

Kama mnajua wazi kuwa sote tu wamoja iweje atoe kauli ile.

Mbona msiba wa Kanumba shughuili za Bunge zilisimama???

Au hawa waliopata ajali Baharini siyo muhimu kama Kanumba??

TAFAKARI Kisha CHUKUA HATUA ............



MIZAMBWA
INANUMA SANA!!!
 
tanzania ina mikoa mingapi? Itaje? ...... Zanzibar na mwisho.. Pemba! Kama huamini google it.
 
Back
Top Bottom