zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Angalia haya maneno ya Spika:
=====================================================================================================
Hata hivyo Spika Makinda alikataa kuahirisha shughuli za Bunge akisema kanuni hiyo inatumika vibaya, kwani ilitakiwa jambo hilo liwe limetokea eneo lililo karibu na Bunge.
Alisema watahitajika wabunge wawahi kutoa damu au msaada wowote wa haraka lakini kwakuwa limetokea Zanzibar, wabunge hawawezi kutoa msaada wowote kwa haraka, zaidi ya kupiga simu kujua kilichotokea.
"Nimeshawasiliana na waziri anayehusika na majanga na wamekubaliana kuwa awasiliane na wahusika waliopo kwenye eneo la tukio na kisha tutajua tutakavyojipanga," alisema Makinda.
=========================================================================================
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
Nini kibaya hapo? Halafu siyaoni kwenye post yako ya mwanzo.