Kwa kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?

Kwa maana hiyo ni lazima watanzania tuwe na huruma kwa mwenzetu, 2020 tumsaidie ili apumzike tu asiendelee kujitesa bure maana walio tayari kuongoza bila kulalamika wapo.
Kwa vile taifa letu linatatizo, limepinda vibaya kupindukia, na mtu pekee mwenye uwezo wa kulinyoosha ni yeye, kwa nini tusimuombe Mungu amuimarishe, hata ikibidi kuiweka katiba pembeni, na tuiweke ili kumpatia muda wa kutosha tuinyooshe kwanza nchi. Nimeuliza nini muhimu zaidi kati ya nchi na katiba, au kati ya watu na katiba, hakuna anayejibu. Ninawaeleza watu humu kuwa katiba ni kipande tuu cha karatasi ya mkataba lakini muhimu zaidi kuliko hata katiba ni watu, we the people, ndio tengeneza katiba tunataka nini, tukiona kuna jambo zuri lakini hali po kwenye katiba yetu, tunaibadili katiba na kuliongeza. Ndivyo alivyofanya Nyerere wakati tunaanzisha mfumo wa chama kimoja na ndivyo alivyofanya Mwinyi ile 1992, , hivyo ikitokea we the people tukiona mfumo wa vyama vingi haujawahi kufanya kazi kwenye urais, tunaweza kubadili katiba na kutoa exclusivity ya uurais kwa CCM pekee, na tukaondoa ule ukomo ili kumpa extension of time, kuna ubaya gani?.
PaskaliPaskal
 
Wanabodi.

Kwa Kasi Hii ya Rais Wetu Mpendwa, Dr. John Pombe Joseph Magufuli na Falsafa yake ya "Hapa Kazi Tuu", na kama hiki tunachokiona sasa, sio nguvu ya soda tuu, yaani ataendelea kwa kasi hii hii hadi 2020, kuna haja kweli ya kufanya tena uchaguzi wa rais?, si tumwache tuu aendelee mpaka pale tutakaapoona tumetosheka?.

1. Pamoja na ukanyagaji wake wa katiba ya nchi, lakini kwa kazi hii nzuri anayoifanya rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, kuinyoosha nchi hii iliyopinda kupindukia kwa rushwa, uzembe na ufisadi, hivi kweli Tanzania, tuna haja tena ya kufanya uchaguzi wa rais kwa mwaka 2020?, au tumwache tuu aendelee mpaka 2025? na kama bado anatosha, aendelee tuu?.

2. Jee hatuwezi kufanya uchaguzi wa wabunge tuu na madiwani, bila kufanya uchaguzi wa rais, na kumwacha Magufuli kupita bila kupingwa, ili kuokoa muda, pesa na mali?, hivyo Magufuli apewe tuu a walkover ya kuendelea hadi 2025 and beyond?.

3. Au kwa vile Uchaguzi wa Rais ni takwa la kikatiba, hivyo uchaguzi huo lazima tuu ufanyike kwa mujibu wa katiba, hata kama uchaguzi huo ni wastage of time, money and resources?!. Kwani katiba ndio nini hata iheshimiwe hivyo?.

4. Na hiyo 2025 tukimuona Magufuli bado anaweza, na anatufaa, jee kuna ubaya kuibadili hiyo katiba yetu ili tumpatie extension of time ya kutosha kuinyoosha Tanzania hadi inyooke kabisa?!.

5. Kwani katiba ni nini?, si ni kipande tuu cha karatasi?!, ingekuwa katiba ni muhimu kihivyo kama ambavyo watu wanataka kutuaminisha humu, ingekanyagwa kirahisi rahisi na kupuuzwa, huku watu wakiangalia tuu?, nini muhimu zaidi kwa taifa letu Tanzania, kati ya katiba ambayo ni kipande tuu cha karatasi na maamuzi ya rais Magufuli ambaye ni rais wa nchi, aliyechaguliwa na watu, katika uchaguzi huru na wa haki?.

6. Na Katiba ni ya nani?!, ni yetu?!, na iko kwa manufaa ya nani?!, si ipo kwa manufaa yetu?!, hivyo sisi ndio muhimu kuliko katiba, hivyo kama sisi Watanzania, katika umoja wetu, tukiamua tunamtaka Magufuli aendelee tuu idefinately, si tunaweza kuiweka tuu pembeni hiyo katiba, na tukaendelea na Magufuli wetu mpaka tutosheke naye?!.

7. Sasa kama Magufuli anatufaa sana kuliko hata katiba na ndio maana anaweza hata kuikanyaga, na katiba haitamruhusu kuendelea baada ya 2025, kuna ubaya gani kuibadili katiba kwa manufaa yetu, na kumwacha aendelee tuu kama Kagame, Museveni na Mugabe?.

8. Au kwani Katiba ni Msahafu kusema haiwezi kubadilishwa?!. Kama katiba inakanywa na hakuna kinachofanyika, Jee kuna ubaya kama tutaibadili katiba na Magufuli akapatiwa muda wa kutosha kabisa wa kuinyoosha nchi yetu kama Kagame anainyoosha Rwanda, , Museveni anavyoinyoosha Uganda na Mugabe anavyoinyoosha Zimbabwe?.

9. Na baada ya katiba kukanyagwa, kwa mikutano ya siasa kuzuiwa, jee kuna ubaya wowote kama wapinzani wa Tanzania mkiamua kwa kauli moja msisimamishe tena mgombea urais, haswa kwa kuzingatia the playing field is not level, na badala yake CCM tuu ndio iwe pekee inatoa mgombea urais siku zote kufuatia long eksipirience ya uzoefu wa muda mrefu wa CCM wa kumtoa rais ambaye siku zote huchaguliwa kwa ushindi wa kishindo kwenye uchaguzi huru na wa haki?.

10. Na kufuatia somo la demokrasia ya Kiafrika, na mfano hai wa matokeo ya urais wa Zanzibar, na kilichofanyika kwenye urais wa JMT, kweli wapinzani makini bado kweli watahitaji kusimamisha mgombea urais wa kushindana na mgombea wa chama dola, CCM?, yaani by now tumeishajua mgombea wa CCM kwa 2020 ni Magufuli?, kuna chama kiko tayari kumteua mgombea wake kushindana na Magufuli ambaye ni a sitting president, huku kutakuwa ni kugombea au kujifurahisha tuu?!, au hata ikitokea huyo mgombea wa upinzani ameshinda atatangazwa?!.

Hayo ni maswali tuu nimeanza kujiuliza aloud?!.

Jee wewe una maoni gani kuhusu hoja zangu hizi?!.

Paskali
Paschal wewe si umesomea sheria na unajua maana ya katiba, demokrasia? Unawafundisha nini wasio na elimu hiyo au somo la constitutional and administrative law uliyaona magumu, najua unaandika katika satire style una maana ya kile umeandika. Vinginevyo wewe kama mwandishi ungejua freedom of expression, nakumbuka ulimuuliza maswali akakujibu kwamba mayala kwenu usukumani ni njaa kwa maana ya kwamba unasumbuliwa na njaa? Au alikuwa na maana gani ukiwa msomi wa sheria unajua abuse of power, police power rule of law etc. Najua unataka kutwambia wananchi wako na furaha na mauaji yanayoendelea na watu kuwekwa ndani, utawala wa mkono wa chuma. Watu majumba yanabomolewa najua wanafurahi na watampa kura za kutosha. Hata wale waliofukuzwa kazi kisa vyeti fake baada ya kuitumikia nchi miaka wao na jamii zao wanapenda watampa kura. Ohooo!! Unasema hasigombee? Woga wa nini na khali anapendwa, si agombee apate kura za kumwaga?
 
Kwa vile taifa letu linatatizo, limepinda vibaya kupindukia, na mtu pekee mwenye uwezo wa kulinyooshaurais kwa CCM pekee, na tukaondoa ule ukomo ili kumpa extension of time, kuna ubaya gani?.
PaskaliPaskal
Nadhani umeamua kufanya makusudi, hata Nyerere wakati anaachia Nchi bado watu walikuwa wakimpenda, hata vyama vingi waliokubali ni asilimia 20 tu. Tunatakiwa tufikirie Tanzania itaendelea kuwepo ila mimi na wewe tutapita, hivyo hatuhitaji kuwa na Mungu mtu, mkuu keshasema anajuta kuomba kazi hii, tumsikilize tu maana Nchi hii ina watu wengi tu wenye sifa.
 
Wanabodi.

Kwa Kasi Hii ya Rais Wetu Mpendwa, Dr. John Pombe Joseph Magufuli na Falsafa yake ya "Hapa Kazi Tuu", na kama hiki tunachokiona sasa, sio nguvu ya soda tuu, yaani ataendelea kwa kasi hii hii hadi 2020, kuna haja kweli ya kufanya tena uchaguzi wa rais?, si tumwache tuu aendelee mpaka pale tutakaapoona tumetosheka?.

1. Pamoja na ukanyagaji wake wa katiba ya nchi, lakini kwa kazi hii nzuri anayoifanya rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, kuinyoosha nchi hii iliyopinda kupindukia kwa rushwa, uzembe na ufisadi, hivi kweli Tanzania, tuna haja tena ya kufanya uchaguzi wa rais kwa mwaka 2020?, au tumwache tuu aendelee mpaka 2025? na kama bado anatosha, aendelee tuu?.

2. Jee hatuwezi kufanya uchaguzi wa wabunge tuu na madiwani, bila kufanya uchaguzi wa rais, na kumwacha Magufuli kupita bila kupingwa, ili kuokoa muda, pesa na mali?, hivyo Magufuli apewe tuu a walkover ya kuendelea hadi 2025 and beyond?.

3. Au kwa vile Uchaguzi wa Rais ni takwa la kikatiba, hivyo uchaguzi huo lazima tuu ufanyike kwa mujibu wa katiba, hata kama uchaguzi huo ni wastage of time, money and resources?!. Kwani katiba ndio nini hata iheshimiwe hivyo?.

4. Na hiyo 2025 tukimuona Magufuli bado anaweza, na anatufaa, jee kuna ubaya kuibadili hiyo katiba yetu ili tumpatie extension of time ya kutosha kuinyoosha Tanzania hadi inyooke kabisa?!.

5. Kwani katiba ni nini?, si ni kipande tuu cha karatasi?!, ingekuwa katiba ni muhimu kihivyo kama ambavyo watu wanataka kutuaminisha humu, ingekanyagwa kirahisi rahisi na kupuuzwa, huku watu wakiangalia tuu?, nini muhimu zaidi kwa taifa letu Tanzania, kati ya katiba ambayo ni kipande tuu cha karatasi na maamuzi ya rais Magufuli ambaye ni rais wa nchi, aliyechaguliwa na watu, katika uchaguzi huru na wa haki?.

6. Na Katiba ni ya nani?!, ni yetu?!, na iko kwa manufaa ya nani?!, si ipo kwa manufaa yetu?!, hivyo sisi ndio muhimu kuliko katiba, hivyo kama sisi Watanzania, katika umoja wetu, tukiamua tunamtaka Magufuli aendelee tuu idefinately, si tunaweza kuiweka tuu pembeni hiyo katiba, na tukaendelea na Magufuli wetu mpaka tutosheke naye?!.

7. Sasa kama Magufuli anatufaa sana kuliko hata katiba na ndio maana anaweza hata kuikanyaga, na katiba haitamruhusu kuendelea baada ya 2025, kuna ubaya gani kuibadili katiba kwa manufaa yetu, na kumwacha aendelee tuu kama Kagame, Museveni na Mugabe?.

8. Au kwani Katiba ni Msahafu kusema haiwezi kubadilishwa?!. Kama katiba inakanywa na hakuna kinachofanyika, Jee kuna ubaya kama tutaibadili katiba na Magufuli akapatiwa muda wa kutosha kabisa wa kuinyoosha nchi yetu kama Kagame anainyoosha Rwanda, , Museveni anavyoinyoosha Uganda na Mugabe anavyoinyoosha Zimbabwe?.

9. Na baada ya katiba kukanyagwa, kwa mikutano ya siasa kuzuiwa, jee kuna ubaya wowote kama wapinzani wa Tanzania mkiamua kwa kauli moja msisimamishe tena mgombea urais, haswa kwa kuzingatia the playing field is not level, na badala yake CCM tuu ndio iwe pekee inatoa mgombea urais siku zote kufuatia long eksipirience ya uzoefu wa muda mrefu wa CCM wa kumtoa rais ambaye siku zote huchaguliwa kwa ushindi wa kishindo kwenye uchaguzi huru na wa haki?.

10. Na kufuatia somo la demokrasia ya Kiafrika, na mfano hai wa matokeo ya urais wa Zanzibar, na kilichofanyika kwenye urais wa JMT, kweli wapinzani makini bado kweli watahitaji kusimamisha mgombea urais wa kushindana na mgombea wa chama dola, CCM?, yaani by now tumeishajua mgombea wa CCM kwa 2020 ni Magufuli?, kuna chama kiko tayari kumteua mgombea wake kushindana na Magufuli ambaye ni a sitting president, huku kutakuwa ni kugombea au kujifurahisha tuu?!, au hata ikitokea huyo mgombea wa upinzani ameshinda atatangazwa?!.

Hayo ni maswali tuu nimeanza kujiuliza aloud?!.

Jee wewe una maoni gani kuhusu hoja zangu hizi?!.

Paskali

Mhu! Maoni haya mbona yanaturudisha tena miaka ya zamani? Kwa nini iwe tu 2025 na isiwe muda wote? Hili ndilo tatizo maana ukishaanza na moja si rahisi kukataa lingine.
 
Wanabodi.

Kwa Kasi Hii ya Rais Wetu Mpendwa, Dr. John Pombe Joseph Magufuli na Falsafa yake ya "Hapa Kazi Tuu", na kama hiki tunachokiona sasa, sio nguvu ya soda tuu, yaani ataendelea kwa kasi hii hii hadi 2020, kuna haja kweli ya kufanya tena uchaguzi wa rais?, si tumwache tuu aendelee mpaka pale tutakaapoona tumetosheka?.
...

9. Na baada ya katiba kukanyagwa, kwa mikutano ya siasa kuzuiwa, jee kuna ubaya wowote kama wapinzani wa Tanzania mkiamua kwa kauli moja msisimamishe tena mgombea urais, haswa kwa kuzingatia the playing field is not level, na badala yake CCM tuu ndio iwe pekee inatoa mgombea urais siku zote kufuatia long eksipirience ya uzoefu wa muda mrefu wa CCM wa kumtoa rais ambaye siku zote huchaguliwa kwa ushindi wa kishindo kwenye uchaguzi huru na wa haki?.

10. Na kufuatia somo la demokrasia ya Kiafrika, na mfano hai wa matokeo ya urais wa Zanzibar, na kilichofanyika kwenye urais wa JMT, kweli wapinzani makini bado kweli watahitaji kusimamisha mgombea urais wa kushindana na mgombea wa chama dola, CCM?, yaani by now tumeishajua mgombea wa CCM kwa 2020 ni Magufuli?, kuna chama kiko tayari kumteua mgombea wake kushindana na Magufuli ambaye ni a sitting president, huku kutakuwa ni kugombea au kujifurahisha tuu?!, au hata ikitokea huyo mgombea wa upinzani ameshinda atatangazwa?!.

Hayo ni maswali tuu nimeanza kujiuliza aloud?!.

Jee wewe una maoni gani kuhusu hoja zangu hizi?!.

Paskali
Tunapowauliza kama kuna haja ya kufanya uchaguzi mwaka 2020, watu humu mnatubeza, haya sasa haya ni matokeo ya udiwani tuu, jee kwa wanasiasa wote serious, kama mambo yenyewe ndio kama haya, kweli 2020, tunahaja ya kufanya uchaguzi wa rais?.

Paskali
 
Mleta mada amekuja na humorous writing style , maana amegundua kwamba kusema ukweli moja kwa moja aidha inachosha au inaweza kumletea matatizo. We' funguka tu, usiogope, hii style yako ya uandishi wa kimafumbofumbo na kifalsafa, wengi hapa unawapa shida maana hawakuelewi, na unawaacha kwenye mataa. Najua kabisa katika nafsi yako haitaki kuona wala kusikia katiba ikikanyagwa, hutaki kuona wala kusikia Tanzania kufananishwa na Rwanda, Uganda na Zimbabwe, najua inakukera sana, kwa maana Tanzania inapaswa iwe zaidi ya hizo nchi. Hutaki kuona wala kusikia kiongozi wa nchi yetu na kwa kuzingatia historia ya nchi hii akifananishwa na Mugabe, Kagame au Museveni. Unatamani alipaswa afananishwe na akina Mandela, Nkrumah, and the likes. Najua unakerwa na jinsi kiwango cha utawala bora, haki za binadamu, uhuru wa kujieleza na wa vyombo vya habari, uwekezaji kutoka nje na uchumi kwa ujumla kilivyoporomoka. Najua umekerwa na kampeni na hata uchaguzi uliofanyika Jumapili ya jana Nov 26, ulivyoendeshwa, najua.

Pale panapokukera we' funguka tu, sema moja kwa moja .... achana na mafumbo na maswali , sema tu, kosoa, mpaka kitaeleweka!
 
Nimemsikiliza Rais Magufuli na Kagame, SGR kufika hadi Rwanda, this is a very right move, hili likikamilika, then mizigo yote Rwanda itapitia bandari ya Dar es Salaam jambo ambalo ni jambo jema sana.

Kiukweli huyu Ng'wanaNgosha, John Pombe Magufuli ni kweli anapiga mzigo wa kufa mtu.
Kwa maoni yangu, Tanzania hatuhitaji kufanya uchaguzi wa rais, badala yake, fedha hizo zipelekwe SGR.
Mnaionaje hii hoja?.

Paskali
 
Wanabodi.

Kwa Kasi Hii ya Rais Wetu Mpendwa, Dr. John Pombe Joseph Magufuli na Falsafa yake ya "Hapa Kazi Tuu", na kama hiki tunachokiona sasa, sio nguvu ya soda tuu, yaani ataendelea kwa kasi hii hii hadi 2020, kuna haja kweli ya kufanya tena uchaguzi wa rais?, si tumwache tuu aendelee mpaka pale tutakaapoona tumetosheka?.

1. Pamoja na ukanyagaji wake wa katiba ya nchi, lakini kwa kazi hii nzuri anayoifanya rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, kuinyoosha nchi hii iliyopinda kupindukia kwa rushwa, uzembe na ufisadi, hivi kweli Tanzania, tuna haja tena ya kufanya uchaguzi wa rais kwa mwaka 2020?, au tumwache tuu aendelee mpaka 2025? na kama bado anatosha, aendelee tuu?.

2. Jee hatuwezi kufanya uchaguzi wa wabunge tuu na madiwani, bila kufanya uchaguzi wa rais, na kumwacha Magufuli kupita bila kupingwa, ili kuokoa muda, pesa na mali?, hivyo Magufuli apewe tuu a walkover ya kuendelea hadi 2025 and beyond?.

3. Au kwa vile Uchaguzi wa Rais ni takwa la kikatiba, hivyo uchaguzi huo lazima tuu ufanyike kwa mujibu wa katiba, hata kama uchaguzi huo ni wastage of time, money and resources?!. Kwani katiba ndio nini hata iheshimiwe hivyo?.

4. Na hiyo 2025 tukimuona Magufuli bado anaweza, na anatufaa, jee kuna ubaya kuibadili hiyo katiba yetu ili tumpatie extension of time ya kutosha kuinyoosha Tanzania hadi inyooke kabisa?!.

5. Kwani katiba ni nini?, si ni kipande tuu cha karatasi?!, ingekuwa katiba ni muhimu kihivyo kama ambavyo watu wanataka kutuaminisha humu, ingekanyagwa kirahisi rahisi na kupuuzwa, huku watu wakiangalia tuu?, nini muhimu zaidi kwa taifa letu Tanzania, kati ya katiba ambayo ni kipande tuu cha karatasi na maamuzi ya rais Magufuli ambaye ni rais wa nchi, aliyechaguliwa na watu, katika uchaguzi huru na wa haki?.

6. Na Katiba ni ya nani?!, ni yetu?!, na iko kwa manufaa ya nani?!, si ipo kwa manufaa yetu?!, hivyo sisi ndio muhimu kuliko katiba, hivyo kama sisi Watanzania, katika umoja wetu, tukiamua tunamtaka Magufuli aendelee tuu idefinately, si tunaweza kuiweka tuu pembeni hiyo katiba, na tukaendelea na Magufuli wetu mpaka tutosheke naye?!.

7. Sasa kama Magufuli anatufaa sana kuliko hata katiba na ndio maana anaweza hata kuikanyaga, na katiba haitamruhusu kuendelea baada ya 2025, kuna ubaya gani kuibadili katiba kwa manufaa yetu, na kumwacha aendelee tuu kama Kagame, Museveni na Mugabe?.

8. Au kwani Katiba ni Msahafu kusema haiwezi kubadilishwa?!. Kama katiba inakanywa na hakuna kinachofanyika, Jee kuna ubaya kama tutaibadili katiba na Magufuli akapatiwa muda wa kutosha kabisa wa kuinyoosha nchi yetu kama Kagame anainyoosha Rwanda, , Museveni anavyoinyoosha Uganda na Mugabe anavyoinyoosha Zimbabwe?.

9. Na baada ya katiba kukanyagwa, kwa mikutano ya siasa kuzuiwa, jee kuna ubaya wowote kama wapinzani wa Tanzania mkiamua kwa kauli moja msisimamishe tena mgombea urais, haswa kwa kuzingatia the playing field is not level, na badala yake CCM tuu ndio iwe pekee inatoa mgombea urais siku zote kufuatia long eksipirience ya uzoefu wa muda mrefu wa CCM wa kumtoa rais ambaye siku zote huchaguliwa kwa ushindi wa kishindo kwenye uchaguzi huru na wa haki?.

10. Na kufuatia somo la demokrasia ya Kiafrika, na mfano hai wa matokeo ya urais wa Zanzibar, na kilichofanyika kwenye urais wa JMT, kweli wapinzani makini bado kweli watahitaji kusimamisha mgombea urais wa kushindana na mgombea wa chama dola, CCM?, yaani by now tumeishajua mgombea wa CCM kwa 2020 ni Magufuli?, kuna chama kiko tayari kumteua mgombea wake kushindana na Magufuli ambaye ni a sitting president, huku kutakuwa ni kugombea au kujifurahisha tuu?!, au hata ikitokea huyo mgombea wa upinzani ameshinda atatangazwa?!.

Hayo ni maswali tuu nimeanza kujiuliza aloud?!.

Jee wewe una maoni gani kuhusu hoja zangu hizi?!.

Paskali
Heshima ya mtu inashuka zaidi kutokana na anachozungumza.

P. Mayala siku hizi baada ya kunywa chai ya ikulu umekuwa unazungumza visivyoeleweka na ambavyo hata kwenye katiba havimo.

Bora saa nyingine uwe unanyamaza tu.
Utapata Heshima
 
Wanabodi.

Kwa Kasi Hii ya Rais Wetu Mpendwa, Dr. John Pombe Joseph Magufuli na Falsafa yake ya "Hapa Kazi Tuu", na kama hiki tunachokiona sasa, sio nguvu ya soda tuu, yaani ataendelea kwa kasi hii hii hadi 2020, kuna haja kweli ya kufanya tena uchaguzi wa rais?, si tumwache tuu aendelee mpaka pale tutakaapoona tumetosheka?.

1. Pamoja na ukanyagaji wake wa katiba ya nchi, lakini kwa kazi hii nzuri anayoifanya rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, kuinyoosha nchi hii iliyopinda kupindukia kwa rushwa, uzembe na ufisadi, hivi kweli Tanzania, tuna haja tena ya kufanya uchaguzi wa rais kwa mwaka 2020?, au tumwache tuu aendelee mpaka 2025? na kama bado anatosha, aendelee tuu?.

2. Jee hatuwezi kufanya uchaguzi wa wabunge tuu na madiwani, bila kufanya uchaguzi wa rais, na kumwacha Magufuli kupita bila kupingwa, ili kuokoa muda, pesa na mali?, hivyo Magufuli apewe tuu a walkover ya kuendelea hadi 2025 and beyond?.

3. Au kwa vile Uchaguzi wa Rais ni takwa la kikatiba, hivyo uchaguzi huo lazima tuu ufanyike kwa mujibu wa katiba, hata kama uchaguzi huo ni wastage of time, money and resources?!. Kwani katiba ndio nini hata iheshimiwe hivyo?.

4. Na hiyo 2025 tukimuona Magufuli bado anaweza, na anatufaa, jee kuna ubaya kuibadili hiyo katiba yetu ili tumpatie extension of time ya kutosha kuinyoosha Tanzania hadi inyooke kabisa?!.

5. Kwani katiba ni nini?, si ni kipande tuu cha karatasi?!, ingekuwa katiba ni muhimu kihivyo kama ambavyo watu wanataka kutuaminisha humu, ingekanyagwa kirahisi rahisi na kupuuzwa, huku watu wakiangalia tuu?, nini muhimu zaidi kwa taifa letu Tanzania, kati ya katiba ambayo ni kipande tuu cha karatasi na maamuzi ya rais Magufuli ambaye ni rais wa nchi, aliyechaguliwa na watu, katika uchaguzi huru na wa haki?.

6. Na Katiba ni ya nani?!, ni yetu?!, na iko kwa manufaa ya nani?!, si ipo kwa manufaa yetu?!, hivyo sisi ndio muhimu kuliko katiba, hivyo kama sisi Watanzania, katika umoja wetu, tukiamua tunamtaka Magufuli aendelee tuu idefinately, si tunaweza kuiweka tuu pembeni hiyo katiba, na tukaendelea na Magufuli wetu mpaka tutosheke naye?!.

7. Sasa kama Magufuli anatufaa sana kuliko hata katiba na ndio maana anaweza hata kuikanyaga, na katiba haitamruhusu kuendelea baada ya 2025, kuna ubaya gani kuibadili katiba kwa manufaa yetu, na kumwacha aendelee tuu kama Kagame, Museveni na Mugabe?.

8. Au kwani Katiba ni Msahafu kusema haiwezi kubadilishwa?!. Kama katiba inakanywa na hakuna kinachofanyika, Jee kuna ubaya kama tutaibadili katiba na Magufuli akapatiwa muda wa kutosha kabisa wa kuinyoosha nchi yetu kama Kagame anainyoosha Rwanda, , Museveni anavyoinyoosha Uganda na Mugabe anavyoinyoosha Zimbabwe?.

9. Na baada ya katiba kukanyagwa, kwa mikutano ya siasa kuzuiwa, jee kuna ubaya wowote kama wapinzani wa Tanzania mkiamua kwa kauli moja msisimamishe tena mgombea urais, haswa kwa kuzingatia the playing field is not level, na badala yake CCM tuu ndio iwe pekee inatoa mgombea urais siku zote kufuatia long eksipirience ya uzoefu wa muda mrefu wa CCM wa kumtoa rais ambaye siku zote huchaguliwa kwa ushindi wa kishindo kwenye uchaguzi huru na wa haki?.

10. Na kufuatia somo la demokrasia ya Kiafrika, na mfano hai wa matokeo ya urais wa Zanzibar, na kilichofanyika kwenye urais wa JMT, kweli wapinzani makini bado kweli watahitaji kusimamisha mgombea urais wa kushindana na mgombea wa chama dola, CCM?, yaani by now tumeishajua mgombea wa CCM kwa 2020 ni Magufuli?, kuna chama kiko tayari kumteua mgombea wake kushindana na Magufuli ambaye ni a sitting president, huku kutakuwa ni kugombea au kujifurahisha tuu?!, au hata ikitokea huyo mgombea wa upinzani ameshinda atatangazwa?!.

Hayo ni maswali tuu nimeanza kujiuliza aloud?!.

Jee wewe una maoni gani kuhusu hoja zangu hizi?!.

Paskali
Niishie tu kukusalim shikamoo Paskali. Nikweli 2020 makufuli atashinda kwa kishindo kikubwa kuliko chaguzi zote zilizopita na hii itatokana na sisi tusiomtaka kugoma kabisa kwanza kwenda kupoteza muda kujiandikisha na pili kwenda kupiga kura lakini akitaka aibu aruhusu aingie kwenye uchaguzi huku tume ya uchaguzi ikiwa imeundwa na wajumbe walioteuliwa na vyama vyote vya siasa na taasisi za kiraia.
 
Nimemsikiliza Rais Magufuli na Kagame, SGR kufika hadi Rwanda, this is a very right move, hili likikamilika, then mizigo yote Rwanda itapitia bandari ya Dar es Salaam jambo ambalo ni jambo jema sana.

Kiukweli huyu Ng'wanaNgosha, John Pombe Magufuli ni kweli anapiga mzigo wa kufa mtu.
Kwa maoni yangu, Tanzania hatuhitaji kufanya uchaguzi wa rais, badala yake, fedha hizo zipelekwe SGR.
Mnaionaje hii hoja?.

Paskali

Mkuu Pascal!! Uchaguzi wa 2025 ni lazima ufanyike kutokana na katiba isemavyo__

Na bila kusahau hiki kitu:
  1. 1985-1995=Mzee Mwinyi/Muislamu
  2. 1995-2005=Mzee Mkapa/Mkiristo
  3. 2005-2015=J.M.Kikwete/Muislamu
  4. 2015-2025=J.P.Magufuli/Mkiristo
  5. 2025-2035=???

Akimaliza mhula wake aachie ngazi na wengine wakamate...hatutaki ujinga kabisa
 
Niishie tu kukusalim shikamoo Paskari. Nikweli 2020 makufuli atashinda kwa kishindo kikubwa kuliko chaguzi zote zilizopita na hii itatokana na sisi tusiomtaka kugoma kabisa kwanza kwenda kupoteza muda kujiandikisha na pili kwenda kupiga kura lakini akitaka aibu aruhusu aingie kwenye uchaguzi huku tume ya uchaguzi ikiwa imeundwa na wajumbe ambao ni vyama vyote vya siasa na taasisi za kiraia.

2020 atapita bila kipingamizi chochote, mbona inaeleweka tu Mkuu,,, issue 2025 hatutaki kusikia ukagame hapa.hii nchi ni ya wote
 
Mleta mada amekuja na humorous writing style , maana amegundua kwamba kusema ukweli moja kwa moja aidha inachosha au inaweza kumletea matatizo. We' funguka tu, usiogope, hii style yako ya uandishi wa kimafumbofumbo na kifalsafa, wengi hapa unawapa shida maana hawakuelewi, na unawaacha kwenye mataa. Najua kabisa katika nafsi yako haitaki kuona wala kusikia katiba ikikanyagwa, hutaki kuona wala kusikia Tanzania kufananishwa na Rwanda, Uganda na Zimbabwe, najua inakukera sana, kwa maana Tanzania inapaswa iwe zaidi ya hizo nchi. Hutaki kuona wala kusikia kiongozi wa nchi yetu na kwa kuzingatia historia ya nchi hii akifananishwa na Mugabe, Kagame au Museveni. Unatamani alipaswa afananishwe na akina Mandela, Nkrumah, and the likes. Najua unakerwa na jinsi kiwango cha utawala bora, haki za binadamu, uhuru wa kujieleza na wa vyombo vya habari, uwekezaji kutoka nje na uchumi kwa ujumla kilivyoporomoka. Najua umekerwa na kampeni na hata uchaguzi uliofanyika Jumapili ya jana Nov 26, ulivyoendeshwa, najua.

Pale panapokukera we' funguka tu, sema moja kwa moja .... achana na mafumbo na maswali , sema tu, kosoa, mpaka kitaeleweka!
Ndiyo, huyu Paskali nimekuwa namuelewa sana jinsi anavyochukizwa na namna nchi inavyopelekwa shimoni na hii post yake nikiwa kama oppressed mmojawapo nimemuelewa sana ila nasikitika wanufaika ambao kimsingi ni wachache wanamshangilia bila kujua kama amewavungumishia jiwe yeye akiwa gizani hawamuoni vizuri mpaka wamulikiwe.

Paskali, huyo unaemlenga humu ujumbe ameupata ila wale unaolenga kuwafumbua macho wengi bado wanaona giza. Nakuomba uvugumishe hayo mawe ukiwa kwenye mwanga ili yalete impact unayokusudia.
 
Wanabodi.

Kwa Kasi Hii ya Rais Wetu Mpendwa, Dr. John Pombe Joseph Magufuli na Falsafa yake ya "Hapa Kazi Tuu", na kama hiki tunachokiona sasa, sio nguvu ya soda tuu, yaani ataendelea kwa kasi hii hii hadi 2020, kuna haja kweli ya kufanya tena uchaguzi wa rais?, si tumwache tuu aendelee mpaka pale tutakaapoona tumetosheka?.

1. Pamoja na ukanyagaji wake wa katiba ya nchi, lakini kwa kazi hii nzuri anayoifanya rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, kuinyoosha nchi hii iliyopinda kupindukia kwa rushwa, uzembe na ufisadi, hivi kweli Tanzania, tuna haja tena ya kufanya uchaguzi wa rais kwa mwaka 2020?, au tumwache tuu aendelee mpaka 2025? na kama bado anatosha, aendelee tuu?.

2. Jee hatuwezi kufanya uchaguzi wa wabunge tuu na madiwani, bila kufanya uchaguzi wa rais, na kumwacha Magufuli kupita bila kupingwa, ili kuokoa muda, pesa na mali?, hivyo Magufuli apewe tuu a walkover ya kuendelea hadi 2025 and beyond?.

3. Au kwa vile Uchaguzi wa Rais ni takwa la kikatiba, hivyo uchaguzi huo lazima tuu ufanyike kwa mujibu wa katiba, hata kama uchaguzi huo ni wastage of time, money and resources?!. Kwani katiba ndio nini hata iheshimiwe hivyo?.

4. Na hiyo 2025 tukimuona Magufuli bado anaweza, na anatufaa, jee kuna ubaya kuibadili hiyo katiba yetu ili tumpatie extension of time ya kutosha kuinyoosha Tanzania hadi inyooke kabisa?!.

5. Kwani katiba ni nini?, si ni kipande tuu cha karatasi?!, ingekuwa katiba ni muhimu kihivyo kama ambavyo watu wanataka kutuaminisha humu, ingekanyagwa kirahisi rahisi na kupuuzwa, huku watu wakiangalia tuu?, nini muhimu zaidi kwa taifa letu Tanzania, kati ya katiba ambayo ni kipande tuu cha karatasi na maamuzi ya rais Magufuli ambaye ni rais wa nchi, aliyechaguliwa na watu, katika uchaguzi huru na wa haki?.

6. Na Katiba ni ya nani?!, ni yetu?!, na iko kwa manufaa ya nani?!, si ipo kwa manufaa yetu?!, hivyo sisi ndio muhimu kuliko katiba, hivyo kama sisi Watanzania, katika umoja wetu, tukiamua tunamtaka Magufuli aendelee tuu idefinately, si tunaweza kuiweka tuu pembeni hiyo katiba, na tukaendelea na Magufuli wetu mpaka tutosheke naye?!.

7. Sasa kama Magufuli anatufaa sana kuliko hata katiba na ndio maana anaweza hata kuikanyaga, na katiba haitamruhusu kuendelea baada ya 2025, kuna ubaya gani kuibadili katiba kwa manufaa yetu, na kumwacha aendelee tuu kama Kagame, Museveni na Mugabe?.

8. Au kwani Katiba ni Msahafu kusema haiwezi kubadilishwa?!. Kama katiba inakanywa na hakuna kinachofanyika, Jee kuna ubaya kama tutaibadili katiba na Magufuli akapatiwa muda wa kutosha kabisa wa kuinyoosha nchi yetu kama Kagame anainyoosha Rwanda, , Museveni anavyoinyoosha Uganda na Mugabe anavyoinyoosha Zimbabwe?.

9. Na baada ya katiba kukanyagwa, kwa mikutano ya siasa kuzuiwa, jee kuna ubaya wowote kama wapinzani wa Tanzania mkiamua kwa kauli moja msisimamishe tena mgombea urais, haswa kwa kuzingatia the playing field is not level, na badala yake CCM tuu ndio iwe pekee inatoa mgombea urais siku zote kufuatia long eksipirience ya uzoefu wa muda mrefu wa CCM wa kumtoa rais ambaye siku zote huchaguliwa kwa ushindi wa kishindo kwenye uchaguzi huru na wa haki?.

10. Na kufuatia somo la demokrasia ya Kiafrika, na mfano hai wa matokeo ya urais wa Zanzibar, na kilichofanyika kwenye urais wa JMT, kweli wapinzani makini bado kweli watahitaji kusimamisha mgombea urais wa kushindana na mgombea wa chama dola, CCM?, yaani by now tumeishajua mgombea wa CCM kwa 2020 ni Magufuli?, kuna chama kiko tayari kumteua mgombea wake kushindana na Magufuli ambaye ni a sitting president, huku kutakuwa ni kugombea au kujifurahisha tuu?!, au hata ikitokea huyo mgombea wa upinzani ameshinda atatangazwa?!.

Hayo ni maswali tuu nimeanza kujiuliza aloud?!.

Jee wewe una maoni gani kuhusu hoja zangu hizi?!.

Paskali

Uzuri ni kuwa Paschal Mkuu wengine tumeshakuelewa siku! Au unapima maji/ Au ni ule msemo wa kizungu!
You normally do not mean what you say/write and You do not say/write what you mean
!!

Kwa Kasi Hii ya Rais Wetu Mpendwa, Dr. John Pombe Joseph Magufuli na Falsafa yake ya "Hapa Kazi Tuu", na kama hiki tunachokiona sasa, sio nguvu ya soda tuu, yaani ataendelea kwa kasi hii hii hadi 2020, kuna haja kweli ya kufanya tena uchaguzi wa rais?, si tumwache tuu aendelee mpaka pale tutakaapoona tumetosheka?.

1. Pamoja na ukanyagaji wake wa katiba ya nchi, lakini kwa kazi hii nzuri anayoifanya rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, kuinyoosha nchi hii iliyopinda kupindukia kwa rushwa, uzembe na ufisadi, hivi kweli Tanzania, tuna haja tena ya kufanya uchaguzi wa rais kwa mwaka 2020?, au tumwache tuu aendelee mpaka 2025? na kama bado anatosha, aendelee tuu?.

"UKANYAGAJI WA KATIBA" nafahamu unajua kuwa ni uhaini!! na tulimuapisha aitumie na kuilinda!! Usitumie wala usiweke maji mambo ya kihaini!! pse. Kwa Nchi zenye ufahamu wa demokrasia na umakini asingetakiwa kuendele hata siku moja toka siku alipotangaza kwa mfano hakuna mikutano ya kisiasa!!

2. Jee hatuwezi kufanya uchaguzi wa wabunge tuu na madiwani, bila kufanya uchaguzi wa rais, na kumwacha Magufuli kupita bila kupingwa, ili kuokoa muda, pesa na mali?, hivyo Magufuli apewe tuu a walkover ya kuendelea hadi 2025 and beyond?.
Kwa sababu za Kikatiba hapo juu hakupaswa wala kuchaguliwa tena!!

3. Au kwa vile Uchaguzi wa Rais ni takwa la kikatiba, hivyo uchaguzi huo lazima tuu ufanyike kwa mujibu wa katiba, hata kama uchaguzi huo ni wastage of time, money and resources?!. Kwani katiba ndio nini hata iheshimiwe hivyo?.

Kwani katiba ndio nini hata iheshimiwe hivyo?. Hata hili swali ni kupima uelewa wa watu! Katiba ndiyo makubaliano au mkataba wetu na huyu Rais! ameshavunja mkataba aondolewe haraka

4. Na hiyo 2025 tukimuona Magufuli bado anaweza, na anatufaa, jee kuna ubaya kuibadili hiyo katiba yetu ili tumpatie extension of time ya kutosha kuinyoosha Tanzania hadi inyooke kabisa?!.

Ameshavunja mkataba wetu na yeye!! tunamuhitaji kweli tena???

5. Kwani katiba ni nini?, si ni kipande tuu cha karatasi?!, ingekuwa katiba ni muhimu kihivyo kama ambavyo watu wanataka kutuaminisha humu, ingekanyagwa kirahisi rahisi na kupuuzwa, huku watu wakiangalia tuu?, nini muhimu zaidi kwa taifa letu Tanzania, kati ya katiba ambayo ni kipande tuu cha karatasi na maamuzi ya rais Magufuli ambaye ni rais wa nchi, aliyechaguliwa na watu, katika uchaguzi huru na wa haki?.

Hata hayo maneno yako "kipande cha karatasi" unatakiwa ukamatwe kwa uhaini

6. Na Katiba ni ya nani?!, ni yetu?!, na iko kwa manufaa ya nani?!, si ipo kwa manufaa yetu?!, hivyo sisi ndio muhimu kuliko katiba, hivyo kama sisi Watanzania, katika umoja wetu, tukiamua tunamtaka Magufuli aendelee tuu idefinately, si tunaweza kuiweka tuu pembeni hiyo katiba, na tukaendelea na Magufuli wetu mpaka tutosheke naye?!.
Uhaini tena
7. Sasa kama Magufuli anatufaa sana kuliko hata katiba na ndio maana anaweza hata kuikanyaga, na katiba haitamruhusu kuendelea baada ya 2025, kuna ubaya gani kuibadili katiba kwa manufaa yetu, na kumwacha aendelee tuu kama Kagame, Museveni na Mugabe?.
Uhaini tena
8. Au kwani Katiba ni Msahafu kusema haiwezi kubadilishwa?!. Kama katiba inakanywa na hakuna kinachofanyika, Jee kuna ubaya kama tutaibadili katiba na Magufuli akapatiwa muda wa kutosha kabisa wa kuinyoosha nchi yetu kama Kagame anainyoosha Rwanda, , Museveni anavyoinyoosha Uganda na Mugabe anavyoinyoosha Zimbabwe?.
Uhaini tena
9. Na baada ya katiba kukanyagwa, kwa mikutano ya siasa kuzuiwa, jee kuna ubaya wowote kama wapinzani wa Tanzania mkiamua kwa kauli moja msisimamishe tena mgombea urais, haswa kwa kuzingatia the playing field is not level, na badala yake CCM tuu ndio iwe pekee inatoa mgombea urais siku zote kufuatia long eksipirience ya uzoefu wa muda mrefu wa CCM wa kumtoa rais ambaye siku zote huchaguliwa kwa ushindi wa kishindo kwenye uchaguzi huru na wa haki?.
Uhaini tena
10. Na kufuatia somo la demokrasia ya Kiafrika, na mfano hai wa matokeo ya urais wa Zanzibar, na kilichofanyika kwenye urais wa JMT, kweli wapinzani makini bado kweli watahitaji kusimamisha mgombea urais wa kushindana na mgombea wa chama dola, CCM?, yaani by now tumeishajua mgombea wa CCM kwa 2020 ni Magufuli?, kuna chama kiko tayari kumteua mgombea wake kushindana na Magufuli ambaye ni a sitting president, huku kutakuwa ni kugombea au kujifurahisha tuu?!, au hata ikitokea huyo mgombea wa upinzani ameshinda atatangazwa?!.

Tungekuwa tumefafanua demokrasia ya "kiafrika" na kuifafanua kwenye huo mkataba wetu na huyu rais ingekuwa salama
SASA HIVI IT IS ALL TREASON!!!

Hayo ni maswali tuu nimeanza kujiuliza aloud?!.
 
Mkuu Pascal!! Uchaguzi wa 2025 ni lazima ufanyike kutokana na katiba isemavyo__

Na bila kusahau hiki kitu:
  1. 1985-1995=Mzee Mwinyi/Muislamu
  2. 1995-2005=Mzee Mkapa/Mkiristo
  3. 2005-2015=J.M.Kikwete/Muislamu
  4. 2015-2025=J.P.Magufuli/Mkiristo
  5. 2025-2035=???

Akimaliza mhula wake aachie ngazi na wengine wakamate...hatutaki ujinga kabisa
Ili kukidhi niya yako ovu umeanzia 1985
Huku ukiacha duration ya Mwl. J.K. Nyerere ili watu wasione kuwa Katiba yaweza kubadilika kulingana na Matakwa ya wanajamii wa Taifa husika
 
Moja ya hofu inayowasumbua watu wengi akiwemo yeye ni Uchaguzi Wa 2020 tukijaliwa ni anguko la chama cha Mapinduzi
Kwao Hakuna kura ya rais isiyotokana na mbunge au diwani.

Mtu anayesema ushindi wa rais utakuwa wa kishindo hajui kura za ccm zinapatikanaje .

Hoja iliyowabeba 2015 wakadumaza watu ni kuwaghilibu watanzania eti msichague mgombea ugonjwa ; ufisadi na mwanamke wa kwanza kuwa raisi hivyo atawasaidia .

Mpaka sasa hoja ya ufisadi imewashinda.
hoja ya kuthalilisha watu eti ni wagonjwa na pushapu haina mashiko tena.
Mara kadhaa hoja ya ufisadi inajengwa Kwa tukio mmoja la pale MwembeYanga 2009 ambayo watuhumiwa 14 wa ufisadi walitajwa.

Mimi nilikuwepo pale uwanjani.Waliitajwa na skendo zile zinazolitafauna taifa hadi Leo.
Leo wako na wanapishana kila siku mjengoni
Lakini huwezi kujkuta Paskali na wengine wakihoji

:Wamebakia wanamdanganya mkuu Kwa kasi hii 2020 ni ushindi wa kishindo

Kwa maoni yangu iushindi wa kishindo watausikia kwenye bomba tu labda watafute 2015 kura za Magufili zilitokana na nini ?

Halafu watengeneze uongo mwingine lakini sio huu wa kasi hii ya kununuua ?
Watu hawajasahau wanakumbuka walidanganywa ,kasi mpya ari mpya! Nguvu mpya ?
 
Moja ya hofu inayowasumbua watu wengi akiwemo yeye ni Uchaguzi Wa 2020 tukijaliwa ni anguko la chama cha Mapinduzi
Kwao Hakuna kura ya rais isiyotokana na mbunge au diwani.

Mtu anayesema ushindi wa rais utakuwa wa kishindo hajui kura za ccm zinapatikanaje .

Hoja iliyowabeba 2015 wakadumaza watu ni kuwaghilibu watanzania eti msichague mgombea ugonjwa ; ufisadi na mwanamke wa kwanza kuwa raisi hivyo atawasaidia .

Mpaka sasa hoja ya ufisadi imewashinda.
hoja ya kuthalilisha watu eti ni wagonjwa na pushapu haina mashiko tena.
Mara kadhaa hoja ya ufisadi inajengwa Kwa tukio mmoja la pale MwembeYanga 2009 ambayo watuhumiwa 14 wa ufisadi walitajwa.

Mimi nilikuwepo pale uwanjani.Waliitajwa na skendo zile zinazolitafauna taifa hadi Leo.
Leo wako na wanapishana kila siku mjengoni
Lakini huwezi kujkuta Paskali na wengine wakihoji

:Wamebakia wanamdanganya mkuu Kwa kasi hii 2020 ni ushindi wa kishindo

Kwa maoni yangu iushindi wa kishindo watausikia kwenye bomba tu labda watafute 2015 kura za Magufili zilitokana na nini ?

Halafu watengeneze uongo mwingine lakini sio huu wa kasi hii ya kununuua ?
Watu hawajasahau wanakumbuka walidanganywa ,kasi mpya ari mpya! Nguvu mpya ?
Kama fikra zako bado ni zile za Mwembe yanga huku ukijua mbeba hoja wa Mwembe yanga alishaondoka CDM na sasa anakubali kazi inafanywa na CCM. Basi jua na wewe unapaswa uwahi kabla hujaachwa ktk safari hii ya maendeleo.
 
Kama fikra zako bado ni zile za Mwembe yanga huku ukijua mbeba hoja wa Mwembe yanga alishaondoka CDM na sasa anakubali kazi inafanywa na CCM. Basi jua na wewe unapaswa uwahi kabla hujaachwa ktk safari hii ya maendeleo.
Kama ni kutajwa Mbona husemi wengine waliotajwa ? Ungejua huyo unayedai ni mbebaba hoja naye alimtaja unayemsifia usingeandika usichokijua ?Jiulize watu wameitwa malofa na kura wametoa
 
Back
Top Bottom