Kwa kasi hii ya kuzaliana kwa watu, Umasikini utazidi kukita mizizi Kanda ya Ziwa

Opportunity Cost

JF-Expert Member
Dec 10, 2020
9,035
6,907
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri kwa sauti ya Iron Lady SSH,kiboko ya wanasiasa uchwara.

Moja kwa moja kwenye mada,kuna msemo unasomeka kwamba starehe ya maskini ni ngono,bila shaka unasadifu kwa kasi ya kuzaana inayoendelea kwa mikoa yote ya Kanda ya Ziwa.

Kwa wastani uzazi huko kwenye hiyo mikoa ni wastani wa 4% kwa mikoa yote 7 kitu ambacho ni hatari sana kwa ustawi wa jamii za huko.

Case study ni Mkoa wa Mwanza ambao unakadiriwa kuwa na wakaazi takribani Mil.4 huku growth rate ikiwa 4.1% .Inamaana Sensa ya 2032 huenda Mkoa wa Mwanza utakuwa na Wakaazi karibu Mil.8 huku na ndio utakuwa Mkoa wenye Idadi kubwa zaidi ya Watu Nchini na kutupita Mkoa wa /Jiji la wa Dar es Salaam.Hali hiyo itakuwa hivyo kwa Kanda nzima ya ziwa

Cha kusikitisha sasa ni kwamba ukuaji wa kipato hauendani na ongezeko la watu na matokeo yake itakuwa ni umaskini wa kutisha.Kwa mfano Takwimu za 2020 zinaonesha GDP per Capita ya Mwanza ni 2.6Mil ,ambapo kwa Kanda hiyo nzima ni chini ya hicho kiasi ukilinganisha na Mikoa ya Dar (4.6),Iringa(4.0) na Mbeya(3.7).Tayari kuna umaskini mkubwa sasa huo mwaka 2030 Hali itakuaje?

Ndugu zetu wa Kanda ya Ziwa wanaotakiwa Kusaidiwa hasa kwenye Elimu Ili wapunguze uzazi na wadhibiti Umaskini badala ya kuwajengea madaraja nk . Rasilimali kubwa za Mikoa hiyo ni Migodi ambayo haihusishi watu wengi na ambayo haina uhakika wa sustainability.

Nitoe wito kwa Serikali ilitazame jambo hili kwa jicho la upekee na wasaidiwe kwa maslahi mapana ya Nchi.Takwimu hizo hapo za mwaka 2020 kwa mujibu wa NBS 👇👇

Screenshot_20210722-073848.png


Screenshot_20210722-073447.png


Screenshot_20210722-074252.png


Screenshot_20210722-074318.png
 
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri kwa sauti ya Iron Lady SSH,kiboko ya wanasiasa uchwara.

Moja kwa moja kwenye mada,kuna msemo unasomeka kwamba starehe ya maskini ni ngono,bila shaka unasadifu kwa kasi ya kuzaana inayoendelea kwa mikoa yote ya Kanda ya Ziwa.

Kwa wastani uzazi huko kwenye hiyo mikoa ni wastani wa 4% kwa mikoa yote 7 kitu ambacho ni hatari sana kwa ustawi wa jamii za huko.

Case study ni Mkoa wa Mwanza ambao unakadiriwa kuwa na wakaazi takribani Mil.4 huku growth rate ikiwa 4.1% .Inamaana Sensa ya 2032 huenda Mkoa wa Mwanza utakuwa na Wakaazi karibu Mil.8 huku na ndio utakuwa Mkoa wenye Idadi kubwa zaidi ya Watu Nchini na kutupita Mkoa wa /Jiji la wa Dar es Salaam.Hali hiyo itakuwa hivyo kwa Kanda nzima ya ziwa

Cha kusikitisha sasa ni kwamba ukuaji wa kipato hauendani na ongezeko la watu na matokeo yake itakuwa ni umaskini wa kutisha.Kwa mfano Takwimu za 2020 zinaonesha GDP per Capita ya Mwanza ni 2.6Mil ,ambapo kwa Kanda hiyo nzima ni chini ya hicho kiasi ukilinganisha na Mikoa ya Dar (4.6),Iringa(4.0) na Mbeya(3.7).Tayari kuna umaskini mkubwa sasa huo mwaka 2030 Hali itakuaje?

Ndugu zetu wa Kanda ya Ziwa wanaotakiwa Kusaidiwa hasa kwenye Elimu Ili wapunguze uzazi na wadhibiti Umaskini badala ya kuwajengea madaraja nk . Rasilimali kubwa za Mikoa hiyo ni Migodi ambayo haihusishi watu wengi na ambayo haina uhakika wa sustainability.

Nitoe wito kwa Serikali ilitazame jambo hili kwa jicho la upekee na wasaidiwe kwa maslahi mapana ya Nchi.Takwimu hizo hapo za mwaka 2020 kwa mujibu wa NBS

View attachment 1862939

View attachment 1862940

View attachment 1862941

View attachment 1862942
Halafu wanataka elimu bure watoto watibiwe bure ,wasomeshwe bure ,wajifungue bure
 
Amiri Jeshi aliyepita alitutaka tuzae na tuache uoga. Atasomesha yeye, kazi yetu itakuwa ni kulisha tu. Na akaenda mbali zaidi kututolea mfano nchi zenye maendeleo makubwa ni zile zenye idadi kubwa ya watu kama Nigeria n.k
 
Huko sahihi mkuu watu wa kanda ya ziwa hasa hawa wa mwanza wanazaana kama kuku,kuna jamaa mmoja ananiuzia mkaa nyumbani kwangu ,mpaka sasa ana watoto 9 na ndoto yake wafike 10-12 ,nlimtembelea nyumbani kwake siku moja baada ya kuniambia anauza kiwanja asee anaishi kwenye umaskini wa kutupwa watoto wamepauka balaa hadi mke wake kachoka kazeeka na bado ana umri mdogo tu
 
Hebu fuatilia history za nchi zilizokuws na watu wengi baadaye ndo maendeleo yakawafuata like China India Nigeria Brazil si unaona zinakuja juu kiuchumi.
Mkishakuwa wengi afu umasikini upo na njaaa ndo akili kumkichwa zinakuja watu wanaumiza akili mpaka wanatoboa.
Usiwe brainwashed na wazungu mkuu.
Ivi unajua kuwa eneo la Norway kwa Tz inaingia Mara 5 Ila sie idadi yetu tunaingia kwao Mara sita.
Mkishabanana hata eneo la urithi likakosa ndo kunakuwepo na akili za kuwaza nje ya Box.
Huku mbona maliasili zipo Sana mbuga kubwa kuliko zote duniani, cows ,migodi na ardhi mzuri kwa kilimo.
 
Nakubaliana na wewe!
Kwa utafiti mdogo nilioufanya baadhi ya maeneo ya kanda ya ziwa nimegundua

mabinti wanapata mimba wangali bado wadogo kiumri chini ya miaka 15 ndio hao ma single maza.
Vijana wanaoa chini ya miaka 18 badae ndoa zinawashinda wanaachana

Jamii nyingi bado inaona ufahari wa kuzaa watoto wengi hasa jamii ya kisukuma utakuata familia moja ina watoto 9 au zaidi

lakini pia Birth rate ni kubwa zaidi kuliko derth rate

Kuwepo wa Vyakula vingi mfano maindi, mchele, mihogo uzalishaji wake ni mkubwa sababu ya mvua zakutosha na ardhi bado ina rutuba,
Samaki-sato,sangara na dagaa kwa wingi wanachangia ufanyaji wa tendo la ngono

Ukosefu wa elimu ni tatizo
BAADHI ya wazazi wa kanda ya ziwa ni WABISHI narudia tena WABISHI kufanikisha zoezi la elimu pale kunapojitokeza changamoto kama vile. Upungufu wa walimu mashuleni, vyumba vya madarasa hata pale wanapojitoa bado wanahisi wanaibiwa.

Pia kanda ya ziwa nishemu nzuri sana ya kuishi tofauti na kanda zote hapa tanzania. Hii huchangia uhamiaji wa watu kotoka kanda zingine kujakufanya Biashara na utumishi.

Ongezeko la idadi ya watu linapunguza rasilimali na kuongeza umasikini kama jitihada binafsi hazitofanywa, kuanzia ngazi yaa familia hadi Taifa.

Demographic changes- technological invetion and innovation- Agricuture changes- industrial changes= national development
 
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri kwa sauti ya Iron Lady SSH,kiboko ya wanasiasa uchwara.

Moja kwa moja kwenye mada,kuna msemo unasomeka kwamba starehe ya maskini ni ngono,bila shaka unasadifu kwa kasi ya kuzaana inayoendelea kwa mikoa yote ya Kanda ya Ziwa.

Kwa wastani uzazi huko kwenye hiyo mikoa ni wastani wa 4% kwa mikoa yote 7 kitu ambacho ni hatari sana kwa ustawi wa jamii za huko.

Case study ni Mkoa wa Mwanza ambao unakadiriwa kuwa na wakaazi takribani Mil.4 huku growth rate ikiwa 4.1% .Inamaana Sensa ya 2032 huenda Mkoa wa Mwanza utakuwa na Wakaazi karibu Mil.8 huku na ndio utakuwa Mkoa wenye Idadi kubwa zaidi ya Watu Nchini na kutupita Mkoa wa /Jiji la wa Dar es Salaam.Hali hiyo itakuwa hivyo kwa Kanda nzima ya ziwa

Cha kusikitisha sasa ni kwamba ukuaji wa kipato hauendani na ongezeko la watu na matokeo yake itakuwa ni umaskini wa kutisha.Kwa mfano Takwimu za 2020 zinaonesha GDP per Capita ya Mwanza ni 2.6Mil ,ambapo kwa Kanda hiyo nzima ni chini ya hicho kiasi ukilinganisha na Mikoa ya Dar (4.6),Iringa(4.0) na Mbeya(3.7).Tayari kuna umaskini mkubwa sasa huo mwaka 2030 Hali itakuaje?

Ndugu zetu wa Kanda ya Ziwa wanaotakiwa Kusaidiwa hasa kwenye Elimu Ili wapunguze uzazi na wadhibiti Umaskini badala ya kuwajengea madaraja nk . Rasilimali kubwa za Mikoa hiyo ni Migodi ambayo haihusishi watu wengi na ambayo haina uhakika wa sustainability.

Nitoe wito kwa Serikali ilitazame jambo hili kwa jicho la upekee na wasaidiwe kwa maslahi mapana ya Nchi.Takwimu hizo hapo za mwaka 2020 kwa mujibu wa NBS 👇👇

View attachment 1862939

View attachment 1862940

View attachment 1862941

View attachment 1862942
Kwanza nakupongeza kwa kuchambua.

Ongezeko kubwa la watu linaathiri utoaji huduma, kipato cha mtu mmoja mmoja hasa kutokana na tija ndogo hivyo ongezeko la umaskini.
Ingawa umezungumzia zaidi kanda ya ziwa lakini pia mikoa ya Katavi, Songwe, na Pemba iko levo moja yote ikiwa na ongezeko lisilopungua asilimia 4.

Tanzania inapaswa kufanya kampenu kubwa kushusha birth rate mpaka asilimia 2.1 kwa nchi nzima. Watu wanaotetea uzazi mkubwa ndio hao hao wanaolalamika hakuna maji, wanafunzi wanakaa chini, huduma za afya ni mbovu nk. Kama ongezeko litaendelea kubakia au kungezeka zaidi basi serikali badala ya kujikita kuboresha huduma za afya, elimu, maji nk itakuwa kila mwaka inapanua miundombinu.

Kuwa na watu wengi wasio na kipato haina manufaa kiuchumi ndio maana nchi ndogo ndogo kama Denmark yenye watu kama milioni tano ni soko kubwa kuliko Afrika mashariki yote yenye watu takribani milioni 160. Pia kuwa na watu wengi wasio na kipato huzalisha matatizo ya kijamii kama uhalifu .
 
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri kwa sauti ya Iron Lady SSH,kiboko ya wanasiasa uchwara.

Moja kwa moja kwenye mada,kuna msemo unasomeka kwamba starehe ya maskini ni ngono,bila shaka unasadifu kwa kasi ya kuzaana inayoendelea kwa mikoa yote ya Kanda ya Ziwa.

Kwa wastani uzazi huko kwenye hiyo mikoa ni wastani wa 4% kwa mikoa yote 7 kitu ambacho ni hatari sana kwa ustawi wa jamii za huko.

Case study ni Mkoa wa Mwanza ambao unakadiriwa kuwa na wakaazi takribani Mil.4 huku growth rate ikiwa 4.1% .Inamaana Sensa ya 2032 huenda Mkoa wa Mwanza utakuwa na Wakaazi karibu Mil.8 huku na ndio utakuwa Mkoa wenye Idadi kubwa zaidi ya Watu Nchini na kutupita Mkoa wa /Jiji la wa Dar es Salaam.Hali hiyo itakuwa hivyo kwa Kanda nzima ya ziwa

Cha kusikitisha sasa ni kwamba ukuaji wa kipato hauendani na ongezeko la watu na matokeo yake itakuwa ni umaskini wa kutisha.Kwa mfano Takwimu za 2020 zinaonesha GDP per Capita ya Mwanza ni 2.6Mil ,ambapo kwa Kanda hiyo nzima ni chini ya hicho kiasi ukilinganisha na Mikoa ya Dar (4.6),Iringa(4.0) na Mbeya(3.7).Tayari kuna umaskini mkubwa sasa huo mwaka 2030 Hali itakuaje?

Ndugu zetu wa Kanda ya Ziwa wanaotakiwa Kusaidiwa hasa kwenye Elimu Ili wapunguze uzazi na wadhibiti Umaskini badala ya kuwajengea madaraja nk . Rasilimali kubwa za Mikoa hiyo ni Migodi ambayo haihusishi watu wengi na ambayo haina uhakika wa sustainability.

Nitoe wito kwa Serikali ilitazame jambo hili kwa jicho la upekee na wasaidiwe kwa maslahi mapana ya Nchi.Takwimu hizo hapo za mwaka 2020 kwa mujibu wa NBS 👇👇

View attachment 1862939

View attachment 1862940

View attachment 1862941

View attachment 1862942
Jirani yangu ni mwenyeji wa kanda ya ziwa, ana maisha ya chini sana na anazaa sana. Ana miaka 14 kwenye ndoa, ana watoto 6 na kwa sasa mke wake ni mjamzito. Mwanae mdogo (wa 6) ana umri wa mwaka mmoja na miezi 3. Ajabu pia ni kwamba watoto wake hawapeleki clinic.
 
Jirani yangu ni mwenyeji wa kanda ya ziwa, ana maisha ya chini sana na anazaa sana. Ana miaka 14 kwenye ndoa, ana watoto 6 na kwa sasa mke wake ni mjamzito. Mwanae mdogo (wa 6) ana umri wa mwaka mmoja na miezi 3. Ajabu pia ni kwamba watoto wake hawapeleki clinic.
Hizi clinic kabla ya wazungu hazikuwepo
 
Jirani yangu ni mwenyeji wa kanda ya ziwa, ana maisha ya chini sana na anazaa sana. Ana miaka 14 kwenye ndoa, ana watoto 6 na kwa sasa mke wake ni mjamzito. Mwanae mdogo (wa 6) ana umri wa mwaka mmoja na miezi 3. Ajabu pia ni kwamba watoto wake hawapeleki clinic.
Ndio shida ya maskini na wasukuma kiujumla.Starehe ya maskini ni ngono.

Mimi nawafahamu wengi Sana ila wako Vijijini zaidi,mwanamke miaka 32 ana watoto 10
 
Jirani yangu ni mwenyeji wa kanda ya ziwa, ana maisha ya chini sana na anazaa sana. Ana miaka 14 kwenye ndoa, ana watoto 6 na kwa sasa mke wake ni mjamzito. Mwanae mdogo (wa 6) ana umri wa mwaka mmoja na miezi 3. Ajabu pia ni kwamba watoto wake hawapeleki clinic.
Nawafaham wengi sana ambao hawapeleki watoto wao klinik lakini watoto wana afya za kutosha. Kwo usishangae hilo. Na usimwamini mzungu kwa kila kitu. Chanjo nyingi zina ajenda kubwa na ya siri ndani yake
 
Back
Top Bottom